kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Samatta ni mchezaji mkubwa aliepitia changamoto nyingi hadi kufika pale alipo. Sidhani kama anapaswa kuhangaika na maoni ya mashabiki wake kwenye mitandao.
Hakuna kocha au mchezaji mkubwa makini duniani ambaye atakisikiliza comments za mashabiki mitandaoni na kufanya maamuzi kuhusu mchezaji. Kumbuka kuwa Mbwana analipwa pesa nyingi za club, hivyo sidhani kuwa benchi la ufundi linaweza kumuadhibu samatta eti kwa sababu tu ya maoni ya mashabiki mitandaoni.
Wako wachezaji wanaokumbana na maneno na vitendo vichafu VYA mashabiki lakini wanabaki kuwa focused. Leo hii hapa Tanzania kila mwanahabari na chombo cha habari anawabeza mashabiki wa Mbwana wanaotoa maoni yao binafsi kuhusu Mbwana. Hivi ni vitu vya kawaida sana hapa Ulaya. Kama samatta ataanza kushughulika na maoni ya mashabiki huru mitandao atakosea sana na kuna siku mashabiki nao watamtupa mkono.
Cheza mpira kocha wako atakuona achana na mashabiki wanasema nn kuhusu we we.
Vyombo vya habari tuache kukuza mambo m adogo sana kama haya yaonekane kama jambo kubwa la kitaifa.
Hakuna kocha au mchezaji mkubwa makini duniani ambaye atakisikiliza comments za mashabiki mitandaoni na kufanya maamuzi kuhusu mchezaji. Kumbuka kuwa Mbwana analipwa pesa nyingi za club, hivyo sidhani kuwa benchi la ufundi linaweza kumuadhibu samatta eti kwa sababu tu ya maoni ya mashabiki mitandaoni.
Wako wachezaji wanaokumbana na maneno na vitendo vichafu VYA mashabiki lakini wanabaki kuwa focused. Leo hii hapa Tanzania kila mwanahabari na chombo cha habari anawabeza mashabiki wa Mbwana wanaotoa maoni yao binafsi kuhusu Mbwana. Hivi ni vitu vya kawaida sana hapa Ulaya. Kama samatta ataanza kushughulika na maoni ya mashabiki huru mitandao atakosea sana na kuna siku mashabiki nao watamtupa mkono.
Cheza mpira kocha wako atakuona achana na mashabiki wanasema nn kuhusu we we.
Vyombo vya habari tuache kukuza mambo m adogo sana kama haya yaonekane kama jambo kubwa la kitaifa.