Samatta hana kiwango Cha kucheza EPL

Samatta ni wachezaji wenzake ndiyo wanamuangusha mbona akiwa kwenye club yake anafanya vizuri sana
 
Kitu kinachotia hasira ni pale kuona mchezaji anapatiwa mpira analazimisha kupitq eneo moja akishindwa anabutua,yani mtu hawezi kupokea mpira na kupanda nao mpira na kubadilisha uelekeo yani kocha angejua hilo angewabadilisha mentality hiyo wachezaji basi mipira ingefika mbele na kupata magoli na ndiyo maana hata samata hakunonekana maana mipira haifiki mbele
 
mtunisia alipiga goals 25 samatta 23 sema mtunisia katika hizo 25 goals 10 ni za penati kwa hiyo samatta ni wa pili siyo wa kwanza

Ni kiza kweli huyu jamaa kumbe, Mda mrefu wa ligi alikua akiongoza kwa magole tena zaidi ya tofauti ya magoli 6
 
mtunisia alipiga goals 25 samatta 23 sema mtunisia katika hizo 25 goals 10 ni za penati kwa hiyo samatta ni wa pili siyo wa kwanza
Hizo goals kazifunga akiwa mashindano ya chini ya aliyokuwa akicheza Samatta.
 
Kwenye playoffs haihesabiki maana wao wanakutana na vilaza so hapo striker anaweza funga magoli kama yote wakati huku ni vilabu vikali tena vyenye ushindani na inakuwa ngumu kupata magoli.
 
Kwenye playoffs haihesabiki maana wao wanakutana na vilaza so hapo striker anaweza funga magoli kama yote wakati huku ni vilabu vikali tena vyenye ushindani na inakuwa ngumu kupata magoli.
Hahahahahahahahah........kawadanganye wajinga wenzio vijuweni.......Kama kitu hujui ni bora kukaa kimya tu.
 
Write your reply...
mleta mada huna kiwango cha kuwa jf

labda uende fesibuku
 
Acha uwongo wabongo mna nini kuongea vitu msivyo na uhakika navyo Google top score wa Belgium league 2018 /2019 kazi uwongo tu bila sababu kwa nini lakini unashindwa hata kusoma tu unadanganya eti wa pili umetoa wapi hizo takwimu stupid
Ingia hata Google bro upate uhakika usikariri kwa kuwa muda mrefu alikuwa anaongoza ukadhani hadi mwisho,alikuja kuzidiwa mechi za mwishoni
 
Na hizo timu za EPL zilizomtaka na zikashindwana Terms na Genk zilikuwa hazijui kuwa bwana mdogo hana kiwango cha kuchezea ligi ya kwao ila we ndio ujue?
 
ni mpuuzi tu captain mzima unahojiwa unaingiza mambo ya siasa kwenye team,wendawazimu hao wa ccm stars na bashite wao hata hizo 3 hazikuwatosha walitakiwa wabebeshwe zigo la mavi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Algeria players were just too good. Quick, sharp and well organized. Na unaambiwa eti wote wale 11 ni kikosi B. Yaani kocha alibadilisha wachezajoi wote 11. Hatari sana. Hawa watu wanakwenda kubeba ndoo. Kama wewe ni mtu wa kubet, chukua huu ushauri hapa na utakuja kunishukuru siku ya fainali
 
Na hizo timu za EPL zilizomtaka na zikashindwana Terms na Genk zilikuwa hazijui kuwa bwana mdogo hana kiwango cha kuchezea ligi ya kwao ila we ndio ujue?

Timu za EPL haziwezi shindwa na Terms za Genk unless waligundua kuwa wanataka kuibiwa. Hana thamani ya walichokidai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…