The Traveller1
Member
- Jan 6, 2020
- 36
- 139
Unaendelea kubishana na ukweli? Unajitakia shida ya "akili".Watanzania wana vipaji vya uchawi toka wanazaliwa, mtoa mada hakuwa sahihi. Na pia hadi sasa hayupo sahihi, Samatta katoka EPL Kwasababu ya kutopewa nafasi pale. Hajapata muda wa kuzoeana na wenzake kabisa
Mtoa mada aliwatabiria kifo, wameshakufa 😂😂😂Wale Waliokutukana kwamba wewe mchawi wako wapi??
Jamii ilikuwa inawaangalia tuu 😂😂😂mtaambia nn watu
Mkuu nasubir utabiri wako kwangu, au haujaona comment yangu.?Niliwahi kusema hili kwa uzuri tu. Sio kwasababu ya wivu lakini ilikua UHALISIA. Naona tunaanza kuyaona, kitu muhimu ni kuandaa watoto tokea chini kabisa kwaajili ya masafa ya ligi kama EPL. Hongera kwake pia kwa kutuandikia historia ambayo haijawahi kuandikwa na yeyote yule
We nawe poyoyo
[/QUOTE
Hujui chochote kwenye soka na mbaya zaidi hujijui kama hujui. Unaliaibisha hilo jina la pili maana tunaliheshimu kwa soka la Tanzania
Duuh wewe ni kiona mbaliHuyu Samatta soon atapelekwa Uturuki kumalizia mpira wake baada ya timu yake kuwa imeshuka daraja.
Hana mpira wa kucheza EPL yule, ni kweli alibahatisha tu kwani hata spidi ya EPL hawezi.
Ha ha haaa basi kumbe mchawi🏃♂️Mtoa mada aliwatabiria kifo, wameshakufa 😂😂😂
Hakika nakwambia Ukiendelea hivi bado kijana ukizeeka utakuwa Mwanga.!
Kama ni bahati watanzania tupo wangapi mbona hatujabahatika wote.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kumbe hujui hata idadi ya mechi alizocheza alafu unabwabwaja hapa aisee.Timu yenyewe ilikuwa mbovu.
Na hakuwa na muda wa kutosha. Kwani kacheza mechi ngapi pale villa?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Tanzania tunajua kupiga domo tu hakuna kingine.Sijasema najua, boss
We jamaa kweli mkali wa soka,unajua game kuliko waliomsajili Samatta. Anzisha Ligi mtaani kwako basi.
macson
Tanzania tunajua kupiga domo tu hakuna kingine.
Bahati sio oksijeni kila mtu anayo, bila shaka sasa mwanga umejulkana.Hakika nakwambia Ukiendelea hivi bado kijana ukizeeka utakuwa Mwanga.!
Kama ni bahati watanzania tupo wangapi mbona hatujabahatika wote.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote wanaofunga hua wanapewa mpira na wenzao.?Unakuja kumponda kwa kucheza mechi sita na kufunga goli tatu, hapo hakupewa mipira ya kutosha na wenzake. Utadhani alicheza misimu kumi, kwa jinsi mnavyomshambulua
Samatta hajacheza av mechi 16 acha uzuzu weweYani kumbe hujui hata idadi ya mechi alizocheza alafu unabwabwaja hapa aisee.
Samatta kacheza mechi 16 akiwa amefunga goli moja tu, huyo ni striker au Utopolo?