Samatta hatomaliza misimu miwili ndani ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)

Nadhani nilikosea kujaji analysis hii, nadhani mleta uzi yupo sahihi.

Nimeangalia juzi akianzia bench ikanipa wasiwasi na asivyo kuwa mtu wa kutafuta mpira, nahisi anaweza sugua banch zaidi
Kukiri kukosea ni uungwana, si watu watz wengi wana hulka hiyo, binafsi napendezwa sana na mtu aliye huru kutoa mawazo yake lakini ambaye yuko tayari kukubali pale uhalisia unapo bainisha tofauti na fikra zake.
 
Ooooh mleta mada ana wivu, mara ooh ni Yanga, mara sijui nini ...

Kuukubali ukweli ni moja ya kukufanya ujitambue kisha kubadilika ili upige hatua moja kwenda mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo tukiambiwa ukweli tunakuwa mbogo..Samatta alikuwa utopolo pale Villa,,na hakuna kocha angeanza msimu mpya kwa kumtegemea yeye,so kuuzwa ilikuwa lazima tu
 
Huyu Samatta soon atapelekwa Uturuki kumalizia mpira wake baada ya timu yake kuwa imeshuka daraja.

Hana mpira wa kucheza EPL yule, ni kweli alibahatisha tu kwani hata spidi ya EPL hawezi.
Duhh watu na maono yenu
 
Huyu Samatta soon atapelekwa Uturuki kumalizia mpira wake baada ya timu yake kuwa imeshuka daraja.

Hana mpira wa kucheza EPL yule, ni kweli alibahatisha tu kwani hata spidi ya EPL hawezi.
Wee jamaa ni nuksii duh
 
We jamaa utakuwa Mganga wa Jadi
 
Huyu Samatta soon atapelekwa Uturuki kumalizia mpira wake baada ya timu yake kuwa imeshuka daraja.

Hana mpira wa kucheza EPL yule, ni kweli alibahatisha tu kwani hata spidi ya EPL hawezi.
Uliona mbali
 
Binafsi kucheza ulaya tu ni hatua kubwa. Habari ya lig gan acheze na ip asicheze ni mipango ya Mungu.
Kumewahi kuwa wachezaji mahiri sana na walioshindwa kuwika EPL
Majina Kama Deco, Shevi, hawakuwah kufany vizuri EPL pamoja na uwezo wao walikotoka.
Mbwana kaonesha njia, kumponda hakutuongezei wala hakutupunguzii. Wengine hata Yanga au Simba tu tumeshindwa kufika.
#Haina Kufeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…