Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwehu huyu.Wewe huna uelewa mkubwa kama benchi la ufundi la Villa lililompa kandarasi ya miaka 4.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania uchawi uko kwenye damu.Najua nitashambuliwa kwasababu waTz hatupendi kuambizana ukweli, hata uone mapungufu ya wazi kabisa tuko radhi tukayaseme pembeni au kukaa nayo kimya.
Kwanza nampongeza alipofika na apangacho Mungu lazima kitimie inawezekana alipangiwa kufika hapo alipo, lakini pia kwenye maisha kuna suala na bahati, inawezekana kafika hapo kwa bahati aliyonayo ukiondoa juhudi na maarifa.
Twende kwenye hoja, ukiangalia samatta aina yake ya ushambuliji utagundua ni mtu wa kutengenezewa kila kitu yani apikiwe, apakuliwe yeye aje kula tu, ligi ya EPL inataka uhangaikaji, utafutaji na sometimes hata kama wewe ni mshambuliaji basi ujue kujitengenezea pia. Ukiangalia magoli ya Samatta toka alipokua Genk utagundua ni mzuri sana kumalizia, yani yeye ni mipira ya kichwa, kama ni mguu basi ile one touch nyavuni, hakina kujitengenezea wala kujitafutia.
Ndio maana tumeanza kusema ooh anabaniwa pasi, hakuna kitu kama hicho, angalia game zote mbili hakuna sehemu ametafuta, zote alikua na mtu anaezengea zengea golini, kibongo bongo tunaita kuibia [emoji1][emoji1]. Sasa kwa wenzetu hata wachezaj wenzie wanamchora tu ni rahis kumuona aah jamaa anasubiri tumpelekee haya aendelee kusubiri, sasa sisi tunatafsiri kama wanambania
Lakini pia Samatta akisema aanze mashambulizi ya kujitengenezea utagundua anawahi sana kuchoka, hana pumzi na hapo ndio linakuja suala la kuongeza juhudi kwenye kijijengea pumzi, tusishangae akianza kutokea benchi round ya pili ikianza. Yote ya yote kijana anajituma anastahili pongezi.
Wenzetu wale hawakawii kukuuza kwa mkopo wakiona mambo sio mambo..
Najua nitashambuliwa kwasababu waTz hatupendi kuambizana ukweli, hata uone mapungufu ya wazi kabisa tuko radhi tukayaseme pembeni au kukaa nayo kimya.
Kwanza nampongeza alipofika na apangacho Mungu lazima kitimie inawezekana alipangiwa kufika hapo alipo, lakini pia kwenye maisha kuna suala na bahati, inawezekana kafika hapo kwa bahati aliyonayo ukiondoa juhudi na maarifa.
Twende kwenye hoja, ukiangalia samatta aina yake ya ushambuliji utagundua ni mtu wa kutengenezewa kila kitu yani apikiwe, apakuliwe yeye aje kula tu, ligi ya EPL inataka uhangaikaji, utafutaji na sometimes hata kama wewe ni mshambuliaji basi ujue kujitengenezea pia. Ukiangalia magoli ya Samatta toka alipokua Genk utagundua ni mzuri sana kumalizia, yani yeye ni mipira ya kichwa, kama ni mguu basi ile one touch nyavuni, hakina kujitengenezea wala kujitafutia.
Ndio maana tumeanza kusema ooh anabaniwa pasi, hakuna kitu kama hicho, angalia game zote mbili hakuna sehemu ametafuta, zote alikua na mtu anaezengea zengea golini, kibongo bongo tunaita kuibia [emoji1][emoji1]. Sasa kwa wenzetu hata wachezaj wenzie wanamchora tu ni rahis kumuona aah jamaa anasubiri tumpelekee haya aendelee kusubiri, sasa sisi tunatafsiri kama wanambania
Lakini pia Samatta akisema aanze mashambulizi ya kujitengenezea utagundua anawahi sana kuchoka, hana pumzi na hapo ndio linakuja suala la kuongeza juhudi kwenye kijijengea pumzi, tusishangae akianza kutokea benchi round ya pili ikianza. Yote ya yote kijana anajituma anastahili pongezi.
Wenzetu wale hawakawii kukuuza kwa mkopo wakiona mambo sio mambo..
Glealish ni mpambanaji yupo kote nyuma kati na mbele nazan shida ipo kwa samata kuzengea zengea kusubil mpira hiyo kitu haipo siku hizi angalia world class no 9 kina Kane Suarez cavani nk wanatafuta mpira wanatoa pass na wanafunga kwa approach ya aston villa kweny gori mtoa Mada yupo sahihi sababu hawapig klosi za kushambulia kwa kichwa wanapiga pass mpak golin ndio maana ukiangalia takwim za samata bado Hana shot on target au off target na gori alilofunga hajapewa assist na mtu labda Kocha abadili mfumo au samata abadili uchezaji vinginevyo tutamuona Glealish mbaya sanaaa huu mwakaRound ya pili ipi hiyo ikianza mkuu? kwani sasa ni round ya ngapi? Wao Astonvilla wanachohitaji ni magoli kutoka kwa Samatta haijalishi amevizia au ametafuta. Hivi lile goli alilofunga alitengenezewa au alijitoa mwenyewe?
Kifupi Jack Glealish anajiona father wa timu anacheza mpira mwingi badala atengeneze nafasi watu wafunge.
Mfano mechi ya jana mda mwingi Samata ananyosha mkono wampigie cross lakini wapi.
Wasipo mtumia Samata vizuri watashuka daraja hawa, ila kiukweli Samatta anajua kufunga sana ila Villa ni kama wanambania hivi hasa huyu Glealish anaona kama utawala wake utapotezwa kama wa Mputu pale Mazembe.
Kweli aisee, hata wale mascout wa villa anawashindaWe jamaa kweli mkali wa soka,unajua game kuliko waliomsajili Samatta. Anzisha Ligi mtaani kwako basi.
macson
Kamsahau Filipo InzaghiDaah umenikumbusha mbali sana mambo ya Ruud van Nesteroy mtaalamu wa kumalizia tu hakua na mambo mengi huyu jamaa!! hao jamaa wanao mponda samata watakua Wachawi!! Watanzania tunalogana sisi wenyewe badala ya kumtakia mtu baraka na fanaka tele!! Eti hatamaliza maada za kipumbavu kama hizi huwa sizipendi zinanichefua sana
Hawa wakina Shafii Dauda ndio watamwaribia Samata mpira. kwa sifa za kijinga na uzuzu...Eti Shafii anauliza wazungu umeonaje performance ya samatta? Nmecheka kama zuzu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee kuwa mkweli kwa nafsi yako hivi ulitegemea siku moja kuwa samata atacheza epl?WaTz wote ni wacheza mpira? Ndio mana nikasema sisi waTz hatupendi kuambiana ukweli, hii ni kama simple analysis tu ndio mana nikasema najua nitatukanwa lakin huu ndio ukweli.
Najua nitashambuliwa kwasababu waTz hatupendi kuambizana ukweli, hata uone mapungufu ya wazi kabisa tuko radhi tukayaseme pembeni au kukaa nayo kimya.
Kwanza nampongeza alipofika na apangacho Mungu lazima kitimie inawezekana alipangiwa kufika hapo alipo, lakini pia kwenye maisha kuna suala na bahati, inawezekana kafika hapo kwa bahati aliyonayo ukiondoa juhudi na maarifa.
Twende kwenye hoja, ukiangalia samatta aina yake ya ushambuliji utagundua ni mtu wa kutengenezewa kila kitu yani apikiwe, apakuliwe yeye aje kula tu, ligi ya EPL inataka uhangaikaji, utafutaji na sometimes hata kama wewe ni mshambuliaji basi ujue kujitengenezea pia. Ukiangalia magoli ya Samatta toka alipokua Genk utagundua ni mzuri sana kumalizia, yani yeye ni mipira ya kichwa, kama ni mguu basi ile one touch nyavuni, hakina kujitengenezea wala kujitafutia.
Ndio maana tumeanza kusema ooh anabaniwa pasi, hakuna kitu kama hicho, angalia game zote mbili hakuna sehemu ametafuta, zote alikua na mtu anaezengea zengea golini, kibongo bongo tunaita kuibia [emoji1][emoji1]. Sasa kwa wenzetu hata wachezaj wenzie wanamchora tu ni rahis kumuona aah jamaa anasubiri tumpelekee haya aendelee kusubiri, sasa sisi tunatafsiri kama wanambania
Lakini pia Samatta akisema aanze mashambulizi ya kujitengenezea utagundua anawahi sana kuchoka, hana pumzi na hapo ndio linakuja suala la kuongeza juhudi kwenye kijijengea pumzi, tusishangae akianza kutokea benchi round ya pili ikianza. Yote ya yote kijana anajituma anastahili pongezi.
Wenzetu wale hawakawii kukuuza kwa mkopo wakiona mambo sio mambo..
Ila mkuu hoja inajibiwa kwa hoja, sio rungu!!!Hakika nakwambia Ukiendelea hivi bado kijana ukizeeka utakuwa Mwanga.!
Kama ni bahati watanzania tupo wangapi mbona hatujabahatika wote.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao kina mesi, ronaldo,, ni ma beki? Mbona wanatafuta mipira na kutupia kila leo? Huna hojaMbona kama mchawi ndugu yangu.
Yule ndio kazi yake kufunga,sio kutafuta mipira ndio maana akawekwa mbele huko,angekuwa wa kutafuta mipira angekaa beki au katikati.
Kwani mpira tu ndio wenye Bahati. Poor analysis.WaTz wote ni wacheza mpira? Ndio mana nikasema sisi waTz hatupendi kuambiana ukweli, hii ni kama simple analysis tu ndio mana nikasema najua nitatukanwa lakin huu ndio ukweli.
Kawaambie.Jamani wale watanzania wanaocomment page ya instagram ya Aston Villa.
Waambieni waache ushamba wanatuaibisha.
Sent using Jamii Forums mobile app