Samatta kafungua akaunti ya magoli Fenerbahce

Samatta kafungua akaunti ya magoli Fenerbahce

Forgotten

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,518
Reaction score
10,839
Ndiyo! Kunako dakika ya 24 ya mchezo alioanza katika first XI, Samatta hajawaangusha kocha na mashabiki zake kaingia kambani na katimiza kazi aliyopewa. Hii ni hatua nzuri ya kuzidi kuaminika na kocha na kupewa nafasi zaidi.

One of our own scored. 🇹🇿

Mwisho wa msimu tunarudi zetu Aston Villa ila sijui watakuwa ligi gani England! 😁
 
Nina matumaini dhaifu sana kwa Samatta kurudi EPL achilia mbali Aston Villa!

Nachokiona ni kuendelea kukipiga katika timu za mataifa "madogo kisoka" ulaya Maghafibi, baadae atatimkia zake Uarabuni akavune madola then south Africa na jumaliza soka lake Uarabuni tena kama sio Simba!
 
Nina matumaini dhaifu sana kwa Samatta kurudi EPL achilia mbali Aston Villa!

Nachokiona ni kuendelea kukipiga katika timu za mataifa "madogo kisoka" ulaya Maghafibi, baadae atatimkia zake Uarabuni akavune madola then south Africa na jumaliza soka lake Uarabuni tena kama sio Simba!
Kama akiwa na msimu mzuri katika ligi ya Turkey, Aston Villa wanaweza kumrudisha au kumuuza kabisa ila itategemea na hali yao katika safu ya ushambuliaji.
 
Timu haina kufeli.

Mungu mwema ampe mafanikio makubwa zaidi Samagoal.
 
Nina matumaini dhaifu sana kwa Samatta kurudi EPL achilia mbali Aston Villa!

Nachokiona ni kuendelea kukipiga katika timu za mataifa "madogo kisoka" ulaya Maghafibi, baadae atatimkia zake Uarabuni akavune madola then south Africa na jumaliza soka lake Uarabuni tena kama sio Simba!
Yaani ndo ligi anazoweza.
 
Dah, washamfanyia sub, no hat trick anymore
 
Lakini alishindwa kuitumia Villa?
Mi naona alionekana "kama" alishindwa, kutokana na aina ya mchezo wanaocheza Villa. Ukiangalia mchezo, na aina ya mipira anayopelekewa Fehnerbahce ni kama kule Genk. Kwa aina hiyo, sina shaka atafunga magoli mengi huko. Hebu angalia magoli hayo mawili aliyofunga. Tena anajiamini sana!
 

Attachments

  • Fenerbah%C3%A7e+2-1+Fatih+Karag%C3%BCmr%C3%BCk+%C3%96zet+_+03.10.2020+%28+480+X+854+%29.mp4
    17 MB
"na nimesikia samatta ameanza kufunga magoli huko uturuki, kwahiyo nawaahidi ndugu zangu kama mtanipa mitano tena, nitahakikisha nainunua timu ya fenebache ili magoli yote yafungiwe HAAPA .. ccm oyeee! "
 
Nampa hongera kwa kuanza kurudisha uwezo wake wa kujiamini na hivyo kufunga magoli.

Nitamshangaa sana iwapo atarudi tena mwishoni mwa msimu kwenye ligi ya Uingereza iliyojaa mashabiki wenye dharau na kejeli kwa wachezaji wanaotoka nchi ndogo kisoka kama Tanzania.

Ligi ambayo makocha na viongozi wa timu hawatoi nafasi kwa mchezaji ambaye bado hajayazoea mazingira na mfumo wa uchezaji wa timu! Zaidi wakitaka tu matokeo ya uwanjani kwa lazima.
 
Kila la heri kwake....
Kwani ngapi ngapi mpaka muda huu?
 
Back
Top Bottom