Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyama anamaanisha simba, ameuliza hivyo kwakuwa simba waliweka kipengele kila samata atakapouzwa wao wana 20%Hiyo yote hela ya timu mzee, yeye anaenda kupambana na mshahara wake huko.
Wauzaji hiyo ndio hela yao.
Straika wao Wesley kaumia na atakaa nje ya uwanja mpaka msimu ujao tena.Timu inashuka daraja hiyo
Villa ni struggling team, unamjua Andre Ayew ja kiwango chake chote kile yupo Swansea championshipChance bado ipo, muhimu kutua England.
Ngoja nikukumbushe Andrew Robertson wakati Swansea inashuka daraja yeye akaenda Liverpool una kumbuka?Ameamua kwenda kushuka daraja
Unakumbuka Masherano na Robertson waliendaje timu kubwa?Timu inashuka daraja hiyo
Hiyo yote hela ya timu mzee, yeye anaenda kupambana na mshahara wake huko.
Wauzaji hiyo ndio hela yao.
Sasa hiyo vila si ndo inaelekea championshipChampions league alishacheza wakatolewa makundi,na timu yake msimu ujao ni ngumu tena kucheza ucl maana yote imeoza.
Simba yenyewe hakucheza mechi nyingi. Aligoma baada ya kushindwa kumpa gari aina ya Mark II waliyomuahidi.Safi sana, angebaki simba ungekuta sasa hivi anabebeshwa hirizi kama kagere.
Sasa unashangaa niniVilla ni struggling team, unamjua Andre Ayew ja kiwango chake chote kile yupo Swansea championship
Sio bwana. Angalia exchange rate. Hiyo ni kati ya bilioni 28 na 30 za Kitanzania.Hiyo ni shs za kibongo 23,000,000,000
Anagawa bajet za wizara kazaa tena cashSio bwana. Angalia exchange rate.Hiyo ni kati ya bilioni 28 na 30 za kitanzania.