Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Kupitia page ya shirikisho la mpira barani africa, wametoa orodha hiyo.
Ni hatua kubwa kwake kuwekwa kwenye orodha. Kushinda ni swala lingine.
Ningeshangaa kam asingewekwa maana kwangu alikidhi vigezo hivyo.
Kachukua Ligi Kuu Ubelgiji na kuwa wa pili kwa ufungaji, na kuwezesha team yake kucheza UEFA.
Kasaidia team ya Taifa kufuzu AFCON baada ya muda mrefu.
Pia aliyewahi kuwa mchezaji wa Simba Emmanuel Okwi na Meddie Kagere(MK14) wapo kwenye orodha ya kugombea mchezaji bora kwa wanaocheza ndani ya Afrika.
Ni hatua kubwa kwake kuwekwa kwenye orodha. Kushinda ni swala lingine.
Ningeshangaa kam asingewekwa maana kwangu alikidhi vigezo hivyo.
Kachukua Ligi Kuu Ubelgiji na kuwa wa pili kwa ufungaji, na kuwezesha team yake kucheza UEFA.
Kasaidia team ya Taifa kufuzu AFCON baada ya muda mrefu.
Pia aliyewahi kuwa mchezaji wa Simba Emmanuel Okwi na Meddie Kagere(MK14) wapo kwenye orodha ya kugombea mchezaji bora kwa wanaocheza ndani ya Afrika.