Badala ya kuniwekea hapa unaniambia niende twitter?
watanzania bana
hahahahaMuulize mtoa mada yeye kwa mwezi anaingiza kiasi gani? Sio kushabikia hela za wanaume na ukute jamaa anafamilia kabisa inamtegemea
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu walau naweza kuja na hizi takwimu japokuwa si za uhakika ila zinatoa mwanga, mishahara ya wenzetu haifichwi.50,000 na si 35,000
Mkuu walau naweza kuja na hizi takwimu japokuwa si za uhakika ila zinatoa mwanga, mishahara ya wenzetu haifichwi.
Nimecheka kwa nguvu Sana...YaaaniYaani kazi wafanye wengine wee umekaa tu kwenye kiti chako cha plastic unakula fenesi unaanza kuwashindanisha wanaume wenzio eti nani anamzidi mwenzake kwa kipato?? .. uhannithi gani huu!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kazi wafanye wengine wee umekaa tu kwenye kiti chako cha plastic unakula fenesi unaanza kuwashindanisha wanaume wenzio eti nani anamzidi mwenzake kwa kipato?? .. uhannithi gani huu!!