ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Baada ya kumfuatilia Sana Samatta akiwa na Timu Ya Taifa nimeamua Kuandika Huu uzii na Kusema kuwa Simon MSUVA ni Bora Zaidiiii Kuliko Samatta Katika Timu ya Taifaa, Bado Samatta hajaonesha kiwango chochote timu Ya Taifa kama Afanyavyo Msuva, Samatta Amekuwa Akicheza kwa Tahadhari mnoooo kuliko mchezaji yoyote na amekuwa anapoteza mipira kirahisi sanaaa kwa kuhofia kuumiaa! nadhani Anajitahadhari kwa sababu Anaogopa Asije akaumia timu ya Taifa Na kushindwa kucheza ulaya! Hii inafanya ashindwe hata kujitumaa kama wachezaji wengine! Angalia Msuva Anavyocheza akiwa na Timu ya Taifa,angalia Striking force ya Msuva Na Wachezaji wengine Ni tofauti kabisa na Timu na Samatta! Yule Samatta Wa Genk sio huyu wa Timu Ya Taifa
Ni wakati sasa Wa Timu ya Taifa Kuacha Kumtegemea Samatta kama mchezaji wao anaeweza kunadiri matokeo muda wowote hapana! Ni wakati sasa Wa Timu Ya Taifa Kukomaa na Local Players Wetu pamoja na Msuvaa, ni wakati sasa wa Makocha kuanza kumfanyia Sub Samatta na Kuacha vijana wengine waoneshe Uwezo Wao!
Samatta anawadanganya hata Makocha na kusabisha makocha waogope hata kumfanyia Sub au kumuacha Kumuita Wakihofia Kusemwa na Majungu ya Watanzania ila Kiuhalisia Samatta Timu Ya Taifa Hana Msaada kama Akiwa Genk! Angalia Msuva Anavyo tafuta magoli na Ku creat chances nyingi sana tofauti sana Na Samatta
Kwangu Mimi Sijaona Kipya cha Samatta Akiwa Na Timu ya Taifa,Kwangu Mimi Msuva Ni Bora Kuliko Samatta katika Ngazi ya Timu ya Taifa,Msuva Ni wakati sasa Wakwenda Ulaya
Samatta Wa Genk sio Wa Taifa Stars
Ni wakati sasa Wa Timu ya Taifa Kuacha Kumtegemea Samatta kama mchezaji wao anaeweza kunadiri matokeo muda wowote hapana! Ni wakati sasa Wa Timu Ya Taifa Kukomaa na Local Players Wetu pamoja na Msuvaa, ni wakati sasa wa Makocha kuanza kumfanyia Sub Samatta na Kuacha vijana wengine waoneshe Uwezo Wao!
Samatta anawadanganya hata Makocha na kusabisha makocha waogope hata kumfanyia Sub au kumuacha Kumuita Wakihofia Kusemwa na Majungu ya Watanzania ila Kiuhalisia Samatta Timu Ya Taifa Hana Msaada kama Akiwa Genk! Angalia Msuva Anavyo tafuta magoli na Ku creat chances nyingi sana tofauti sana Na Samatta
Kwangu Mimi Sijaona Kipya cha Samatta Akiwa Na Timu ya Taifa,Kwangu Mimi Msuva Ni Bora Kuliko Samatta katika Ngazi ya Timu ya Taifa,Msuva Ni wakati sasa Wakwenda Ulaya
Samatta Wa Genk sio Wa Taifa Stars