The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuqa,
Nilipokua field Nyarugusu nikimalizia thesis yangu katika Masters in Geology mida ya jioni nilikuwa najichanganya kitaa kula sambusa za mlenda.
Hizi Sambusa zinahitaji utaalam wa hali ya juu kuzila. Kwani unapomega inabidi uangalie juu kama kuku anavyokunywa maji na kuuvuta mkono ulioshikilia kipande kingine kikubwa cha sambusa juu hili uzi wa mlenda nao uvutike. Baada ya hapo unatoa mkasi mfukoni nakuukata ule uzi.
Nilipokua field Nyarugusu nikimalizia thesis yangu katika Masters in Geology mida ya jioni nilikuwa najichanganya kitaa kula sambusa za mlenda.
Hizi Sambusa zinahitaji utaalam wa hali ya juu kuzila. Kwani unapomega inabidi uangalie juu kama kuku anavyokunywa maji na kuuvuta mkono ulioshikilia kipande kingine kikubwa cha sambusa juu hili uzi wa mlenda nao uvutike. Baada ya hapo unatoa mkasi mfukoni nakuukata ule uzi.