SAMBUSA

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
*Kuna sehemu nikipita huwa nanunua sambusa za kula kama tano hivi[emoji4][emoji4], sasa j'pili tulipokuwa kanisani mchungaji akasema watu tutubu dhambi zetu [emoji120]. Yule mzee muuza sambas akanyanyuka akaenda kutubu, basi akasema anaomba Mungu amsamehe kwa sababu huwa anaweka nyama ya mbwa kwenye sambusa[emoji15][emoji15]. Yaani sijui hata yale mawe yalitoka wapi ndani ya kanisa, lakini hata mchungaji alirusha* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…