Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaHakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kufurahi uwepo wa CCM
Ni majangili pekee ndiyo yanafurahia uwepo wa CCMHakika
Na chawa ili waendelee kulipiwa kodi za nyumbaNi majangili pekee ndiyo yanafurahia uwepo wa CCM
hambadilikagi kwenye kushindwa kwa kishindo , why always the same styles 🐒Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Chadema sasa imeingia Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya mpango wake kabambe wa kuwaelimisha wananchi kuhusu haki zao, Hii ni baada ya mikutano yao mingi yenye mafanikio Mkoani Tanga
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara wa leo hii 05/07/2024, mapema kabisa kijijini kabisa huko Kihurio, Same Mashariki, ambako pamoja na Mkutano huu inatarajiwa mikutano kadhaa isiyo na idadi itavurumishwa kutwa nzima kwenye eneo hilo
View attachment 3034238View attachment 3034239View attachment 3034240View attachment 3034241View attachment 3034242View attachment 3034243View attachment 3034244
CCM imejaa majangili ya mali za umma tupuNa chawa ili waendelee kulipiwa kodi za nyumba
Chadema bila lissu hamna kitu!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Chadema sasa imeingia Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya mpango wake kabambe wa kuwaelimisha wananchi kuhusu haki zao, Hii ni baada ya mikutano yao mingi yenye mafanikio Mkoani Tanga
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara wa leo hii 05/07/2024, mapema kabisa kijijini kabisa huko Kihurio, Same Mashariki, ambako pamoja na Mkutano huu inatarajiwa mikutano kadhaa isiyo na idadi itavurumishwa kutwa nzima kwenye eneo hilo
View attachment 3034238View attachment 3034239View attachment 3034240View attachment 3034241View attachment 3034242View attachment 3034243View attachment 3034244
HayaChadema bila lissu hamna kitu!
Kumbe LISSU ni mwamba komredi?Chadema bila lissu hamna kitu!
Mwamba kwa chama mfu ufipa!Kumbe LISSU ni mwamba komredi?
UsilieMwamba kwa chama mfu ufipa!
2025 wimbo n ule ule 😂Chadema inapendwa nchi nzima, tatizo ccm wanaiba kura..
Mlitaka kumuua MUNGU akagoma jiwe huyooo jehanam Moja Kwa MojaMwamba kwa chama mfu ufipa!
Hata wewe utakwenda ikifika siku yako!Mlitaka kumuua MUNGU akagoma jiwe huyooo jehanam Moja Kwa Moja
Mungu FundiMlitaka kumuua MUNGU akagoma jiwe huyooo jehanam Moja Kwa Moja