Pre GE2025 SAME: CHADEMA yaingia kwa Kishindo,yaanzia oparesheni 255 vijijini

Pre GE2025 SAME: CHADEMA yaingia kwa Kishindo,yaanzia oparesheni 255 vijijini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Chadema sasa imeingia Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya mpango wake kabambe wa kuwaelimisha wananchi kuhusu haki zao, Hii ni baada ya mikutano yao mingi yenye mafanikio Mkoani Tanga

Huu hapa ni Mkutano wa hadhara wa leo hii 05/07/2024, mapema kabisa kijijini kabisa huko Kihurio, Same Mashariki, ambako pamoja na Mkutano huu inatarajiwa mikutano kadhaa isiyo na idadi itavurumishwa kutwa nzima kwenye eneo hilo

Screenshot_2024-07-05-13-52-49-1.png
Screenshot_2024-07-05-13-52-40-1.png
Screenshot_2024-07-05-13-53-19-1.png
Screenshot_2024-07-05-13-53-06-1.png
Screenshot_2024-07-05-13-52-58-1.png
Screenshot_2024-07-05-13-52-22-1.png
Screenshot_2024-07-05-13-52-32-1.png
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Chadema sasa imeingia Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya mpango wake kabambe wa kuwaelimisha wananchi kuhusu haki zao, Hii ni baada ya mikutano yao mingi yenye mafanikio Mkoani Tanga

Huu hapa ni Mkutano wa hadhara wa leo hii 05/07/2024, mapema kabisa kijijini kabisa huko Kihurio, Same Mashariki, ambako pamoja na Mkutano huu inatarajiwa mikutano kadhaa isiyo na idadi itavurumishwa kutwa nzima kwenye eneo hilo

View attachment 3034238View attachment 3034239View attachment 3034240View attachment 3034241View attachment 3034242View attachment 3034243View attachment 3034244
hambadilikagi kwenye kushindwa kwa kishindo , why always the same styles 🐒
 
Anayeharibu chama ni mwenye chama ata kile cha Wazalendo anayeharibu chama ni mwenyeki wao kutoka kigoma
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Chadema sasa imeingia Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya mpango wake kabambe wa kuwaelimisha wananchi kuhusu haki zao, Hii ni baada ya mikutano yao mingi yenye mafanikio Mkoani Tanga

Huu hapa ni Mkutano wa hadhara wa leo hii 05/07/2024, mapema kabisa kijijini kabisa huko Kihurio, Same Mashariki, ambako pamoja na Mkutano huu inatarajiwa mikutano kadhaa isiyo na idadi itavurumishwa kutwa nzima kwenye eneo hilo

View attachment 3034238View attachment 3034239View attachment 3034240View attachment 3034241View attachment 3034242View attachment 3034243View attachment 3034244
Chadema bila lissu hamna kitu!
 
Back
Top Bottom