Tairi inapotaka kuchomoka lazima utasikia ishara ya gari kuvaibrate na kelele upande husika. Luck of SkillAlphad imechomoka tairi ikakosa muelekeo ndio ikagonga haisi ilio kua na abiria wanao toka hedaru kuelekea same, na hata hvyo tumepoteza majirani zetu na ndugu pia. Innalillah wainna ilayranjuin.
Asante sanaDuh pole kwa wote waliopatwa na kuguswa na msiba huo.
kuna watu washakariri kika hitilafu ye anakimbilia brake kama mkomboz wake, burst ya nyuma ukituliza akili na kupanic unaokokaShida ya kuwa na madereva wasio na weledi. Bust ya tairi ya nyuma haiwezi kufanya gari ipoteze uelekeo iwapo dereva hakukanyaga break.Hutakiwi kukanyaga break pale tairi inapopasuka,.Eneo la Same lina Upepo mkali muda wote. hutakiwi kwenda kasi inayozidi km 80 kwa saa.Hapa ni uzoefu ulikosekana. Pole kwa wafiwa, na Mungu awajalie wepesi wa kupona wale majeruhi.
Duh Luck of skill tena? Si tulikubaliana kutumia kiswahiliTairi inapotaka kuchomoka lazima utasikia ishara ya gari kuvaibrate na kelele upande husika. Luck of Skill
Ulimwengu wa gizaDuh hilo eneo mbona uono upo vizuri wanagongaje uso kwa uso?
Kwa hiyo watu walokufa walikuwa guestAlfad asee...hizo gari nasikia watu wanazigeuzaga guest
Baadhi ya waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea leo jioni Jumanne Aprili 13, 2021 baada ya gari aina ya Toyota Alphard kugongana uso kwa uso na gari jingine aina ya Toyota Noah,
Amesema abiria waliokuwamo katika Alphard walikuwa wakitokea Arusha kwenda Lushoto kwenye msiba na kwamba Noah ilikuwa ikitoka Hedaru kwenda Same.
Mara Noah mara Hiece“Alphard ilipata tyre bust (kupasuka gurudumu) ya nyuma ikayumba ikaenda kugongana na hiyo Hiace na wamekufa watu 10 na majeruhi 12. Watu 12 waliojeruhiwa walipelekwa hospitali ya wilaya ya Same.”
Kwenye hiyo Picha huo mlango ni mweupe ni Toyota HiaceMara Noah mara Hiece
Tairi likipasuka vision is useless mkuu, hata uwe mkeka wa aina ganiDuh hilo eneo mbona uono upo vizuri wanagongaje uso kwa uso?
Maelezo ya kupasuka tairi yaliletwa baadae mkuuTairi likipasuka vision is useless mkuu, hata uwe mkeka wa aina gani
umeambiwa burst ya tairiDuh hilo eneo mbona uono upo vizuri wanagongaje uso kwa uso?
Wameandika ni NoahKwenye hiyo Picha huo mlango ni mweupe ni Toyota Hiace
Sasa huenda wamekosea au hawajuiWameandika ni Noah