Uchaguzi 2020 Same waupokea msafara wa Lissu, wamsubiri akiwa njiani ili awape neno la ushindi

Uchaguzi 2020 Same waupokea msafara wa Lissu, wamsubiri akiwa njiani ili awape neno la ushindi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Pale njiani Same, wananchi walijikusanya barabarani ili angalau wamsikilize shujaa Lissu.

Katika hadhara hiyo pia akafanikiwa kukutana na mwalimu aliyemfundisha kwenye shule ya watoto wenye vipaji maalumu vya akili ya Ilboru Arusha, shule ambayo Lissu alisomea na kumaliza kidato cha nne mwaka 1986.

Mwalimu huyo akamuomba kuwa akifanikiwa kuwa rais alete katiba mpya maana katiba hii ya sasa ni kikwazo cha maendeleo ya kweli!

 
Vizuri kutalii sasa.. mwanya mwingine ni akiamua mwenyewe au kurudi 2050 kuwania tena.. kwa sasa.. bora anazunguka watu waone nani yule aliyetendwa na wanachama wenza mwaka uleee.. tabu ngonjera zake wengi.. hawamuelewi.. wala awaangukii lia lia yake ya kusaka huruma..

Magufuli 2020 💯
 
Vizuri kutalii sasa.. mwanya mwingine ni akiamua mwenyewe au kurudi 2050 kuwania tena.. kwa sasa.. bora anazunguka watu waone nani yule aliyetendwa na wanachama wenza mwaka uleee.. tabu ngonjera zake wengi.. hawamuelewi.. wala awaangukii lia lia yake ya kusaka huruma..

Magufuli 2020 💯

Tulia dawa iwaingie!
 
Kwa mateso
Nyakati za Lissu hizi na hakuna wa kuzuia.
Kwa mateso watu waliyoyapata kwa miaka mitano hakuna mtu asiyetaka mabadiliko , labda wapambe wa Jiwe na wanufaika wachache majority hawataki hata kumsikia Jiwe ,polisi ,tiss ,jeshi ,wanashangaza Sana kuegemea kwa mtu badala ya umma.
 
Huyo ni mhutu. Cheki MTU anamwita "muntu", MTAJE anasema " mutaje"

Ni mnywaranda pasi na shaka. Huyu na Meko asili yao ni moja.
 
Huyo ni mhutu. Cheki MTU anamwita "muntu", MTAJE anasema " mutaje"

Ni mnywaranda pasi na shaka. Huyu na Meko asili yao ni moja.
Umenena vema mkuu.Akajifunze Kwanza kuandika ndo aje kwenye forum makini Kama hizi.
 
Mwanzo mlidai 2020 chadema itakuwa imekufa, sasa leo mbona povu limekujaa?? Shwain nguruwe ww
Vizuri kutalii sasa.. mwanya mwingine ni akiamua mwenyewe au kurudi 2050 kuwania tena.. kwa sasa.. bora anazunguka watu waone nani yule aliyetendwa na wanachama wenza mwaka uleee.. tabu ngonjera zake wengi.. hawamuelewi.. wala awaangukii lia lia yake ya kusaka huruma..

Magufuli 2020 [emoji817]
 
Mwalimu ana love sana na Lissu mpaka raha yaani anajiwekea tu kumbukumbu za mwanafunzi wake hajui ata kama watakutana that’s just love.

Hila usitulishe matango pori wanafunzi walioanza ‘form 1 na form 5’ 1994 ndio walikuwa special students wa kwanza. Kabla ya hapo ilikuwa kuingia pass ya kawaida tu.
 
Ccm bana wakiona mpinzani kakaa na mzungu, wanasema yupo na mabeberu...mtu wa ccm akikaa na mzungu mnasema yupo na mtalii/mfadhili au mtoa misaada,,,


yaani we acha tu

hata nikikupa like watasema na mie navuta bange kama Adamu Mchomvu
 
Mwanzo mlidai 2020 chadema itakuwa imekufa, sasa leo mbona povu limekujaa?? Shwain nguruwe ww

Chadema ipo ndani ya futi sita muda mrefu.. hayo unaandika unasahau.. utalii.. utalii.. kura zote ni kwa Magufuli 2020 💯

Hata wewe ukienda huko na kujitoa ndani.. nyuso yako ionekane.. nawe utapata wengi tu.. labda utapiga mipasho kama huyoo.. 😃 💉💉💉💉na bado.. 28 10 ndio siku 💚💛💚💛💚💛💚💛💚
 
Back
Top Bottom