cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Ccm bana wakiona mpinzani kakaa na mzungu, wanasema yupo na mabeberu...mtu wa ccm akikaa na mzungu mnasema yupo na mtalii/mfadhili au mtoa misaada,,,
Wewe ndiwo mushamba wa wazungu.. hadi unawandika utumbwo.. huyo hapana juwa wazungu.. siku itakuja atapokea 💉💉💉laivu..