Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Vizuri kutalii sasa.. mwanya mwingine ni akiamua mwenyewe au kurudi 2050 kuwania tena.. kwa sasa.. bora anazunguka watu waone nani yule aliyetendwa na wanachama wenza mwaka uleee.. tabu ngonjera zake wengi.. hawamuelewi.. wala awaangukii lia lia yake ya kusaka huruma..
Magufuli 2020 π―
Kwa mateso watu waliyoyapata kwa miaka mitano hakuna mtu asiyetaka mabadiliko , labda wapambe wa Jiwe na wanufaika wachache majority hawataki hata kumsikia Jiwe ,polisi ,tiss ,jeshi ,wanashangaza Sana kuegemea kwa mtu badala ya umma.Nyakati za Lissu hizi na hakuna wa kuzuia.
Umewahi ata kuwa Montress?Lisu amna ki2
Nyakati za Lissu hizi na hakuna wa kuzuia.
Umenena vema mkuu.Akajifunze Kwanza kuandika ndo aje kwenye forum makini Kama hizi.Huyo ni mhutu. Cheki MTU anamwita "muntu", MTAJE anasema " mutaje"
Ni mnywaranda pasi na shaka. Huyu na Meko asili yao ni moja.
Vizuri kutalii sasa.. mwanya mwingine ni akiamua mwenyewe au kurudi 2050 kuwania tena.. kwa sasa.. bora anazunguka watu waone nani yule aliyetendwa na wanachama wenza mwaka uleee.. tabu ngonjera zake wengi.. hawamuelewi.. wala awaangukii lia lia yake ya kusaka huruma..
Magufuli 2020 [emoji817]
Pole sana najua sio kosa lako, Shida ipo kwenye hilo jina lako la mwishoLisu amna ki2
Ccm bana wakiona mpinzani kakaa na mzungu, wanasema yupo na mabeberu...mtu wa ccm akikaa na mzungu mnasema yupo na mtalii/mfadhili au mtoa misaada,,,
Mwanzo mlidai 2020 chadema itakuwa imekufa, sasa leo mbona povu limekujaa?? Shwain nguruwe ww
Utataga Mwaka huu!!