Samehe kabla hujalala

Samehe kabla hujalala

Ili iweje kamanda?

Yaani nimetuma nauli mpaka na ya kutolea halafu kazima simu ndo unasema nisamehe? Tena siku hiyo hiyo? Come on man! [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Umeongea la maana sana japo utekelezaji wake ni mgumu. Nijuavyo mimi kusamehe, hasa kwa makosa makubwa yenye kuumiza, ni process na siyo kitendo cha kufumba na kufumbua.
 
Ili iweje kamanda?

Yaani nimetuma nauli mpaka na ya kutolea halafu kazima simu ndo unasema nisamehe? Tena siku hiyo hiyo? Come on man! [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Umeongea la maana sana japo utekelezaji wake ni mgumu. Nijuavyo mimi kusamehe, hasa kwa makosa makubwa yenye kuumiza, ni process na siyo kitendo cha kufumba na kufumbua.
Kweli Mkuu ndo maana kwenye Law of Omerta wanaani kwamba "Vendetta is the best forgiveness" kwani haiumizi tena moyo.
 
Back
Top Bottom