Ili iweje kamanda?
Yaani nimetuma nauli mpaka na ya kutolea halafu kazima simu ndo unasema nisamehe? Tena siku hiyo hiyo? Come on man! [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Umeongea la maana sana japo utekelezaji wake ni mgumu. Nijuavyo mimi kusamehe, hasa kwa makosa makubwa yenye kuumiza, ni process na siyo kitendo cha kufumba na kufumbua.