Samia aliandikiwa kuwa Rais wa Tanzania hata kabla hajazaliwa

Kuna linalofanyika bila ya MUNGU kutaka?!!

Kama kuna mipango ya SHETANI...basi shetani hawezi kuizidi mipango ya MUNGU.....

#SiempreChifuHangaya
#SiempreJMT

Mungu yupi anaeruhusu kuroga ??ni Mungu yupi alie wahakikishia Samia atatawala mpka 2030? acheni kumchanganya Mungu kwenye mahaba yenu binafsi
 
Mungu yupi anaeruhusu kuroga ??ni Mungu yupi alie wahakikishia Samia atatawala mpka 2030? acheni kumchanganya Mungu kwenye mahaba yenu binafsi
Endelea kuishi mashimoni kifikra.....

Mungu Mwenyezi yuko juu ya kila kitu....
 
Wee jamaa unaonekana una ngebe sana kama lilivyo jina lako...
 
kuna muda maandiko yanafikirisha sana, hayo hayo maandiko yanatueleza mwanamke hafai kua kiongozi sa sijui tushike lipi.
 
Watu wengi walimtabiria kutawala kipindi kimoja na ikatokea. Ni ajabu kweli.
Mkuu hali ilishakua worst kila mtu akawa anafkiria huyu mtu akichkua mitano mingne itakuaje..
Kila mtu alikua anaomba jamaa amalize kile kipind chake kimoja aondoke madarakani ndo ivo mungu akampenda zaid..
 
Ongea vitu conscious kama mwanaume tena vya kuisaidia nchi badala ya kutuonesha unavyoweza kupamba mtu / kulamba miguu...msifu basi muumba wako upate thawabu
Aisee!
Kwani hapo hajamsifu muumba mkuu? Mbona km ameonyesha kunyenyekea, kuamini na kukubali maamuzi yake? Au ulitakaje?
 
Ya Mungu yanakuja na pande mbili na moja kati yao ndio inakuwa imelengwa.
  • Kukuonesha ulipokosea/kuwakumbusha njia sahihi ni ipi (kupokea malipo ya makosa mliyofanya)
  • Kuwakomboa kutoka katika njia/utawala mbovu
Sasa usimsifu kwa kuchaguliwa kwake na Mungu(kama ni kweli) pasipo kujua dhumuni la Mungu kumchagua ni lipi.
 
Hata kama hatagombea 2025, kuandikiwa na Mungu kutakuwa pale pale.
 
Weka namba yako mkuu, wizara ya ulinzi kuna nafasi ya kazi
 
Aisee!
Kwani hapo hajamsifu muumba mkuu? Mbona km ameonyesha kunyenyekea, kuamini na kukubali maamuzi yake? Au ulitakaje?
Msijidai kumsemea Muumba kujidai manabii mnaooneshwa...
Vijana mjifunze kufikiri critically sio kubobea kwenye uchawa hamtoisaidia nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…