Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Hivi punde pale Kondoa Rais Samia akiwa njiani kuelekea Babati alimuita Waziri wa Kilimo ndugu Bashe na kwa msisitizo akamtaka aongelee kwa kina mambo matatu yahusuyo Sekta ya Kilimo ambayo ni Mbolea, Mbegu na Chakula.
Ajabu, kwa utulivu na umakini mkubwa ndugu Bashe amefanikiwa kuukwepa mtego aliotegewa wa ama kumzodoa Bashiru aliye-trend na issue ya kuwataka Wakulima waache u-zwazwa lau kumkosoa kwa kauli ile aliyoitoa kwenye Jukwaa la Wakulima siku chache zilizopita.
Heko Bashe.
NB: Bashiru siyo Ndugai!
Ajabu, kwa utulivu na umakini mkubwa ndugu Bashe amefanikiwa kuukwepa mtego aliotegewa wa ama kumzodoa Bashiru aliye-trend na issue ya kuwataka Wakulima waache u-zwazwa lau kumkosoa kwa kauli ile aliyoitoa kwenye Jukwaa la Wakulima siku chache zilizopita.
Heko Bashe.
NB: Bashiru siyo Ndugai!