Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
C dhani kama itawezekana kuanza upya tumefika mbali, vinginevyo hata QATAR wataomba waanze upya na EcuadorHivi Hatuwezi kuanza Upya..
Point yako hapa iwapi mkuu.Bashiru ndo yule yule,
Magufuli alikuwa mjamaa Hasa,
Isingekuwa Rahisi kwenda kinyume nae, kumbuka Ujamaa na udicteta huenda pamoja.
Ni maoni yangu.Point yako hapa iwapi mkuu.
Bashiru ni yule yule wa tume ya Warioba na wakati wa Magu?
Maneno yake na matendo yake ni Sawa vipindi hivyo viwili?
Asiye badilika ni kinana tu. yeye na rushwa ni kama pete na kidole.Ni Bashiru wawili tofauti kabisa. Hata yule Bashiru wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na yule wa wakati ule kidole chake kinachovya kwenye buyu la asali pale Lumumba na baadaye Magogoni ni viumbe wawili tofauti kabisa.
Katika dunia hii tunayoishi sisi wana wa Adamu na iliyojaa songombingo za kila aina nimejifunza jambo moja kubwa katika maisha yangu. "Kamwe usimwamini binadamu yeyote kwa 100%." Binadamu anaweza kubadilika wakati na mahali popote na akafanya jambo hadi watu mkabaki midomo wazi kwa mshituko na mshangao. Na hasa ikiwa jambo hilo litafanywa na mtu aliyekuwa anapewa heshima kubwa na wale wanaomzunguka
Hivi punde pale Kondoa Rais Samia akiwa njiani kuelekea Babati alimuita Waziri wa Kilimo ndugu Bashe na kwa msisitizo akamtaka aongelee kwa kina mambo matatu yahusuyo Sekta ya Kilimo ambayo ni Mbolea, Mbegu na Chakula.
Ajabu, kwa utulivu na umakini mkubwa ndugu Bashe amefanikiwa kuukwepa mtego aliotegewa wa ama kumzodoa Bashiru aliye-trend na issue ya kuwataka Wakulima waache u-zwazwa lau kumkosoa kwa kauli ile aliyoitoa kwenye Jukwaa la Wakulima siku chache zilizopita.
Heko Bashe.
NB: Bashiru siyo Ndugai!
bashe anajitambua si kama akina kigwa ambao matumbo yao yanategemea sana uchawa ndo yapate kushiba.Hivi punde pale Kondoa Rais Samia akiwa njiani kuelekea Babati alimuita Waziri wa Kilimo ndugu Bashe na kwa msisitizo akamtaka aongelee kwa kina mambo matatu yahusuyo Sekta ya Kilimo ambayo ni Mbolea, Mbegu na Chakula.
Ajabu, kwa utulivu na umakini mkubwa ndugu Bashe amefanikiwa kuukwepa mtego aliotegewa wa ama kumzodoa Bashiru aliye-trend na issue ya kuwataka Wakulima waache u-zwazwa lau kumkosoa kwa kauli ile aliyoitoa kwenye Jukwaa la Wakulima siku chache zilizopita.
Heko Bashe.
NB: Bashiru siyo Ndugai!
Utakufa wewe kabla ya Dr BashiruMnamkuza Bashiru bure tu. Mbona yule ni mtu mdogo Sana ambaye tu umaarufu wake umekuja baada ya kuwasaidia wabunge kuingia bungeni wengi wao bila kupingwa kwa dhulma Sana dhidi ya upinzani. Ameshirikiana na jpm kuua, kutesa na kunyanyasa halafu m amkuza. Sisi tunasimama na mama till end of this battle between you sukuma gang and we who like things move swiftly. Mi ningekuwa mwanajeshi nimeshamuua Bashiru hadharani ili atowekea Kama tulivyomuua fasta mungu wenu wa chato
Afe nchi iPone Kama alivyokufa jpm nchi iko shwali hamna kutekana tena Kama kwamba tulikuwa tunaishi cosovo. Nchi ilikuwa imepatwa chini lie habari. Never ever again should we elect people like him. Yeye alikuwa anaweza kufoka tu utafikiri alikuwa anaongoza familia yake.Utakufa wewe kabla ya Dr Bashiru
Bashe ni kijana mwanasiasa aliyepitia Mengi hadi kufikia alipo!Hivi punde pale Kondoa Rais Samia akiwa njiani kuelekea Babati alimuita Waziri wa Kilimo ndugu Bashe na kwa msisitizo akamtaka aongelee kwa kina mambo matatu yahusuyo Sekta ya Kilimo ambayo ni Mbolea, Mbegu na Chakula.
Ajabu, kwa utulivu na umakini mkubwa ndugu Bashe amefanikiwa kuukwepa mtego aliotegewa wa ama kumzodoa Bashiru aliye-trend na issue ya kuwataka Wakulima waache u-zwazwa lau kumkosoa kwa kauli ile aliyoitoa kwenye Jukwaa la Wakulima siku chache zilizopita.
Heko Bashe.
NB: Bashiru siyo Ndugai!
Utakufa kwa chuki mwaka huu. Wewe unawasemea wakulima wote wa kondoa hahahahaHao wakulima Kondoa hakuna hata aliyemsikia huyo Bashiru, mnamkuza bure tu
Tuzungumzie masuala ya umeme na maji na sio huyo Bashiru
Mbona hata wewe ni mwizi tu na tunajua?🤣🙏Msomari mwizi uyo weka mbali na mali
Clip iko wp?Hivi punde pale Kondoa Rais Samia akiwa njiani kuelekea Babati alimuita Waziri wa Kilimo ndugu Bashe na kwa msisitizo akamtaka aongelee kwa kina mambo matatu yahusuyo Sekta ya Kilimo ambayo ni Mbolea, Mbegu na Chakula.
Ajabu, kwa utulivu na umakini mkubwa ndugu Bashe amefanikiwa kuukwepa mtego aliotegewa wa ama kumzodoa Bashiru aliye-trend na issue ya kuwataka Wakulima waache u-zwazwa lau kumkosoa kwa kauli ile aliyoitoa kwenye Jukwaa la Wakulima siku chache zilizopita.
Heko Bashe.
NB: Bashiru siyo Ndugai!