Pre GE2025 Samia atakuwa Rais mwenye umri mkubwa zaidi kuchaguliwa katika historia ya Tanzania endapo atashinda Uchaguzi Mkuu

Pre GE2025 Samia atakuwa Rais mwenye umri mkubwa zaidi kuchaguliwa katika historia ya Tanzania endapo atashinda Uchaguzi Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
Kesho ni Januray 27.

Miongoni mwa watu maarufu wanaozaliwa kesho ni Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Atakuwa anafikisha miaka 65.

Ni mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025.

Endapo atashinda uchaguzi huo, kwa umri wa miaka 65 atakuwa ndio Rais mwenye umri mkubwa kuchaguliwa kwenye kiti cha Urais. Itakuwa ni rekodi ya kipekee kando ya ile rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa Rais pengine tangu mfumo wa vyama vingi uanze.

Happy birthday in advance Madam President.
 
Utabiri: Kesho ni siku ya akina Lucas Mwashambwa, Dotto Magari, Mwijaku, Baba Levo na wengineo wa kariba hiyo kupost kwa wingi kwenye platform mbalimbali kuhusu “basdei ya taifa”
 
Utabiri: Kesho ni siku ya akina Lucas Mwashambwa, Dotto Magari, Mwijaku, Baba Levo na wengineo wa kariba hiyo kupost kwa wingi kwenye platform mbalimbali kuhusu “basdei ya taifa”
Machawa promax 🙌
 
Miaka ya kustaafu ni 60 kwa lazima, sasa mtu ana 65 anafanya nini ofisini?
 
Samia ana birthday January, same as me.

Way back in 2016 nikapata maono kuwa 2025 Rais atakuwa mwanamke, naona inakwenda kuwa kweli.

Hapo nimefanya uchawa kidogo.
 
Happy
Kesho ni Januray 27.

Miongoni mwa watu maarufu wanaozaliwa kesho ni Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Atakuwa anafikisha miaka 65.

Ni mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025.

Endapo atashinda uchaguzi huo, kwa umri wa miaka 65 atakuwa ndio Rais mwenye umri mkubwa kuchaguliwa kwenye kiti cha Urais. Itakuwa ni rekodi ya kipekee kando ya ile rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa Rais pengine tangu mfumo wa vyama vingi uanze.

Happy birthday in advance Madam President.
Happybirthday mh Rais
 
Ccm haiwezi kubali hayo!desturi imekua ni kuingiza Rais mdogo kiumri Ili na chama kile umri wake akitangulia mbele ya haki!!akatumikie baada ya kusaidiwa na chama!!

Nadhani wa kwenda deep wanaelewa !!
 
Samia tunampa tena nchi hadi 2035,akimaliza tunampa Abdul nchi,

Kwahiyo muandae panadol za kutosha kupooza maumivu mzee!
Hadi kufikia 2035 sisi Wazee tutakuwa tumekufa

Kazi mnayo nyie Vijana, mtauziwa Kila kitu huku mkibaki watumwa kwenye Nchi yenu
 
Kesho ni Januray 27.

Miongoni mwa watu maarufu wanaozaliwa kesho ni Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Atakuwa anafikisha miaka 65.

Ni mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025.

Endapo atashinda uchaguzi huo, kwa umri wa miaka 65 atakuwa ndio Rais mwenye umri mkubwa kuchaguliwa kwenye kiti cha Urais. Itakuwa ni rekodi ya kipekee kando ya ile rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa Rais pengine tangu mfumo wa vyama vingi uanze.

Happy birthday in advance Madam President.

..pia mwenye uwezo mdogo kiakili.
 
Kikubwa awe na uwezo wa kuona, kusoma, kusikia, kuzungumza na kusafiri nchi za nje.
 
Back
Top Bottom