Pre GE2025 Samia Challenge: kampeni kwa niaba ya mama?

Pre GE2025 Samia Challenge: kampeni kwa niaba ya mama?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ighughuyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2023
Posts
306
Reaction score
666
Najiuliza tamasha hili nani anafadhili?

Limejaa watumishi wa Mkoa wa Mwanza nadhani ndiyo wameanzia mwanza ila hii CHALLENGE inaenda mikoa YOTE!

Walimu hawajaachwa nyuma. wana kwaya nzuri sana.

Kuna waimba mashairi na wacheza ngoma.

Je, mfadhili ni nani? Nilishuhudia mwaka 2015 Lowasa akienguliwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa kigezo cha kuanza KAMPENI mapema!

Je, hiki kinachofanyika saivi ni tamasha ambalo nani kabuni na mfadhili ni nani?

Tukisema ni KAMPENI za mapema tunakosea?

Huu uchawa mwisho wake lini?

Walimu wameonekana wakimchangia fedha, Leo hii wapo wanaimba kwaya kumpigia mama kampeni maisha ya Mwl ni duni sana.

Pia soma: Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?

Halafu Leo hii ndo kiherehere cha kumpigia mama KAMPENI.

Walimu mnafanya kazi kubwa sana ila ndo sekta ambayo hata baloz anaweza kukupangia Cha kufanya, na mna madeni kila Kona kutoka a na kazi yenye kutokuwa na posho ispokuwa ukienda kusimamia mtihani au kusaisha.

Lakini na uchawa huu maisha yenu yatabaki ya omba omba tu.

HONGERA SANA SAMIA CHALLENGE, UMEONESHA KUWA WEWE NI MBUNIFU KWA KUANGALIA UJE NA NINI KABLA YA KAMPENI KUU 2025
 
Najiuliza tamasha hili nani anafadhili?

Limejaa watumishi wa Mkoa wa Mwanza nadhani ndiyo wameanzia mwanza ila hii CHALLENGE inaenda mikoa YOTE!

Walimu hawajaachwa nyuma. wana kwaya nzuri sana.

Kuna waimba mashairi na wacheza ngoma.

Je, mfadhili ni nani? Nilishuhudia mwaka 2015 Lowasa akienguliwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa kigezo cha kuanza KAMPENI mapema!

Je, hiki kinachofanyika saivi ni tamasha ambalo nani kabuni na mfadhili ni nani?

Tukisema ni KAMPENI za mapema tunakosea?

Huu uchawa mwisho wake lini?

Walimu wameonekana wakimchangia fedha, Leo hii wapo wanaimba kwaya kumpigia mama kampeni maisha ya Mwl ni duni sana.

Halafu Leo hii ndo kiherehere cha kumpigia mama KAMPENI.

Walimu mnafanya kazi kubwa sana ila ndo sekta ambayo hata baloz anaweza kukupangia Cha kufanya, na mna madeni kila Kona kutoka a na kazi yenye kutokuwa na posho ispokuwa ukienda kusimamia mtihani au kusaisha.

Lakini na uchawa huu maisha yenu yatabaki ya omba omba tu.

HONGERA SANA SAMIA CHALLENGE, UMEONESHA KUWA WEWE NI MBUNIFU KWA KUANGALIA UJE NA NINI KABLA YA KAMPENI KUU 2025
Kuenguliwa ni suala la muda tu.
Ameanza kampeni mapema mno. Sijui hata anajiamini nini huyu bibi?
Akagombee kwao
 
Najiuliza tamasha hili nani anafadhili?

Limejaa watumishi wa Mkoa wa Mwanza nadhani ndiyo wameanzia mwanza ila hii CHALLENGE inaenda mikoa YOTE!

Walimu hawajaachwa nyuma. wana kwaya nzuri sana.

Kuna waimba mashairi na wacheza ngoma.

Je, mfadhili ni nani? Nilishuhudia mwaka 2015 Lowasa akienguliwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa kigezo cha kuanza KAMPENI mapema!

Je, hiki kinachofanyika saivi ni tamasha ambalo nani kabuni na mfadhili ni nani?

Tukisema ni KAMPENI za mapema tunakosea?

Huu uchawa mwisho wake lini?

Walimu wameonekana wakimchangia fedha, Leo hii wapo wanaimba kwaya kumpigia mama kampeni maisha ya Mwl ni duni sana.

Halafu Leo hii ndo kiherehere cha kumpigia mama KAMPENI.

Walimu mnafanya kazi kubwa sana ila ndo sekta ambayo hata baloz anaweza kukupangia Cha kufanya, na mna madeni kila Kona kutoka a na kazi yenye kutokuwa na posho ispokuwa ukienda kusimamia mtihani au kusaisha.

Lakini na uchawa huu maisha yenu yatabaki ya omba omba tu.

HONGERA SANA SAMIA CHALLENGE, UMEONESHA KUWA WEWE NI MBUNIFU KWA KUANGALIA UJE NA NINI KABLA YA KAMPENI KUU 2025
Hayo ndiyo malipo ya masikini, yaani hawa walimu Chawa
Abdul anachukua pesa kutoka kwa waarabu na anaenda kuhonga akina Msigwa
Walimu wao wanachanga pesa yao kiduchu, ndiyo walivyooshwa bongo zao huwezi kuwabadirisha
 
Kuenguliwa ni suala la muda tu.
Ameanza kampeni mapema mno. Sijui hata anajiamini nini huyu bibi?
Akagombee kwao
Hizi zote ni kampeni... Ukitazama Namna ambavyo majaji wasimamizi wa challenge utakuta yamekaa kama yenyewe ndo SAMIA! NAONA KABISA HII CHALLENGE IMERATIBIWA KWA UMAKINI SANA.. MAMILIONI YA PESA YAMEMWAGWA KURATIBU SHUGHULI,,,,,, KUANZIA SARE ZA WAIMBAJI, MALAZI, UKUMBI, KUREKODI NA PESA ZA POSHO... KUNA UBADHIRIFU MKUBWA UNAENDELEA
 
Najiuliza tamasha hili nani anafadhili?

Limejaa watumishi wa Mkoa wa Mwanza nadhani ndiyo wameanzia mwanza ila hii CHALLENGE inaenda mikoa YOTE!

Walimu hawajaachwa nyuma. wana kwaya nzuri sana.

Kuna waimba mashairi na wacheza ngoma.

Je, mfadhili ni nani? Nilishuhudia mwaka 2015 Lowasa akienguliwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa kigezo cha kuanza KAMPENI mapema!

Je, hiki kinachofanyika saivi ni tamasha ambalo nani kabuni na mfadhili ni nani?

Tukisema ni KAMPENI za mapema tunakosea?

Huu uchawa mwisho wake lini?

Walimu wameonekana wakimchangia fedha, Leo hii wapo wanaimba kwaya kumpigia mama kampeni maisha ya Mwl ni duni sana.

Halafu Leo hii ndo kiherehere cha kumpigia mama KAMPENI.

Walimu mnafanya kazi kubwa sana ila ndo sekta ambayo hata baloz anaweza kukupangia Cha kufanya, na mna madeni kila Kona kutoka a na kazi yenye kutokuwa na posho ispokuwa ukienda kusimamia mtihani au kusaisha.

Lakini na uchawa huu maisha yenu yatabaki ya omba omba tu.

HONGERA SANA SAMIA CHALLENGE, UMEONESHA KUWA WEWE NI MBUNIFU KWA KUANGALIA UJE NA NINI KABLA YA KAMPENI KUU 2025
Hivi tumebakisha kipi kukiita jina lake
 
Najiuliza tamasha hili nani anafadhili?

Limejaa watumishi wa Mkoa wa Mwanza nadhani ndiyo wameanzia mwanza ila hii CHALLENGE inaenda mikoa YOTE!

Walimu hawajaachwa nyuma. wana kwaya nzuri sana.

Kuna waimba mashairi na wacheza ngoma.

Je, mfadhili ni nani? Nilishuhudia mwaka 2015 Lowasa akienguliwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa kigezo cha kuanza KAMPENI mapema!

Je, hiki kinachofanyika saivi ni tamasha ambalo nani kabuni na mfadhili ni nani?

Tukisema ni KAMPENI za mapema tunakosea?

Huu uchawa mwisho wake lini?

Walimu wameonekana wakimchangia fedha, Leo hii wapo wanaimba kwaya kumpigia mama kampeni maisha ya Mwl ni duni sana.

Halafu Leo hii ndo kiherehere cha kumpigia mama KAMPENI.

Walimu mnafanya kazi kubwa sana ila ndo sekta ambayo hata baloz anaweza kukupangia Cha kufanya, na mna madeni kila Kona kutoka a na kazi yenye kutokuwa na posho ispokuwa ukienda kusimamia mtihani au kusaisha.

Lakini na uchawa huu maisha yenu yatabaki ya omba omba tu.

HONGERA SANA SAMIA CHALLENGE, UMEONESHA KUWA WEWE NI MBUNIFU KWA KUANGALIA UJE NA NINI KABLA YA KAMPENI KUU 2025
Hivi tumebakisha kipi kukiita jina lake
 
Hayo ndiyo malipo ya masikini, yaani hawa walimu Chawa
Abdul anachukua pesa kutoka kwa waarabu na anaenda kuhonga akina Msigwa
Walimu wao wanachanga pesa yao kiduchu, ndiyo walivyooshwa bongo zao huwezi kuwabadirisha
Hakuna sector cheap labour kama teaching..Yaaaan acha tu
 
Hizi zote ni kampeni... Ukitazama Namna ambavyo majaji wasimamizi wa challenge utakuta yamekaa kama yenyewe ndo SAMIA! NAONA KABISA HII CHALLENGE IMERATIBIWA KWA UMAKINI SANA.. MAMILIONI YA PESA YAMEMWAGWA KURATIBU SHUGHULI,,,,,, KUANZIA SARE ZA WAIMBAJI, MALAZI, UKUMBI, KUREKODI NA PESA ZA POSHO... KUNA UBADHIRIFU MKUBWA UNAENDELEA
Chadema wakipewa nchi hao ndio watu wa hatari sana
 
Najiuliza tamasha hili nani anafadhili?

Limejaa watumishi wa Mkoa wa Mwanza nadhani ndiyo wameanzia mwanza ila hii CHALLENGE inaenda mikoa YOTE!

Walimu hawajaachwa nyuma. wana kwaya nzuri sana.

Kuna waimba mashairi na wacheza ngoma.

Je, mfadhili ni nani? Nilishuhudia mwaka 2015 Lowasa akienguliwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa kigezo cha kuanza KAMPENI mapema!

Je, hiki kinachofanyika saivi ni tamasha ambalo nani kabuni na mfadhili ni nani?

Tukisema ni KAMPENI za mapema tunakosea?

Huu uchawa mwisho wake lini?

Walimu wameonekana wakimchangia fedha, Leo hii wapo wanaimba kwaya kumpigia mama kampeni maisha ya Mwl ni duni sana.

Halafu Leo hii ndo kiherehere cha kumpigia mama KAMPENI.

Walimu mnafanya kazi kubwa sana ila ndo sekta ambayo hata baloz anaweza kukupangia Cha kufanya, na mna madeni kila Kona kutoka a na kazi yenye kutokuwa na posho ispokuwa ukienda kusimamia mtihani au kusaisha.

Lakini na uchawa huu maisha yenu yatabaki ya omba omba tu.

HONGERA SANA SAMIA CHALLENGE, UMEONESHA KUWA WEWE NI MBUNIFU KWA KUANGALIA UJE NA NINI KABLA YA KAMPENI KUU 2025
Huyu mama muimba taarab ana uchu mkubwa wa madaraka, anafurahia kutoa roho za watu ili abaki ikulu
 
Back
Top Bottom