Nyumba la Taifa (NHC) ujulikanao Samia Housing Scheme (SHS) wa nyumba 5000 pekee unatarajiwa kutoa ajira zipatazo 26,400(direct 17,600 na indirect 8,800), taarifa hiyo imetolewa na Meneja Habari na Uhusiano wa NHC.
Amesema utakuza mapato ya serikali mfano mradi wa SHS 5000 unatarajiwa kutengeneza mapato ya kodi mbalimbali za serikali Tsh. bilioni 50 (mauzo ya nyumba) bilioni 10( ununuzi vifaa vya ujenzi), PAYE Tsh. 17.8 bilion, Kodi ya majengo Tsh. milioni 55, corporate Tax kutoka NHC na wajenzi wengine bilioni 77, VAT 60bilioni Aidha, itakuza sekta ya fedha kupitia mikopo ya nyumba watengenezaji, wauzaji na wakondarasi watakopa asilimia hadi 60 ambayo ni sawa na Tsh. 194.8 bilioni(SHS)
Rais Samia Suluhu anakuja na mikakati mingi ya kuongeza pato la taifa pia kuondokana na tatizo la ajira maana kila mradi unakuja na ajira kwa Watanzania.
Amesema utakuza mapato ya serikali mfano mradi wa SHS 5000 unatarajiwa kutengeneza mapato ya kodi mbalimbali za serikali Tsh. bilioni 50 (mauzo ya nyumba) bilioni 10( ununuzi vifaa vya ujenzi), PAYE Tsh. 17.8 bilion, Kodi ya majengo Tsh. milioni 55, corporate Tax kutoka NHC na wajenzi wengine bilioni 77, VAT 60bilioni Aidha, itakuza sekta ya fedha kupitia mikopo ya nyumba watengenezaji, wauzaji na wakondarasi watakopa asilimia hadi 60 ambayo ni sawa na Tsh. 194.8 bilioni(SHS)
Rais Samia Suluhu anakuja na mikakati mingi ya kuongeza pato la taifa pia kuondokana na tatizo la ajira maana kila mradi unakuja na ajira kwa Watanzania.