Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Hivi hawa watu hawajui kuwa kuzipa hizi bonds majina ya wanasiasa tayari wanapunguza clientelle?Wale wawekezaji bond mpya imeanzishwa na CRDB Kwa lengo la kukusanya mtaji wa kurngeneza na kuboresha miundo mbinu. Niwakatu wenu kununua mpate mrabaha. Baadaye nitaaambia kuhusu Gawio la hati fungani hii
CRDB wanaona bibi ni deal,kumbe wengi tunamkimbia mwisho tunaikimbia na bank yenyeweHivi hawa watu hawajui kuwa kuzipa hizi bonds majina ya wanasiasa tayari wanapunguza clientelle?
Bank ikishaendeshwa kisiasa watu wenye akili lazima waikimbie.CRDB wanaona bibi ni deal,kumbe wengi tunamkimbia mwisho tunaikimbia na bank yenyewe
Viongozi wa nchi hawako creative na shida ninayoiona ni kuchanganya biashara na siasa.hizo bonds si kitu kipya wenzetu kule Marekani zilianza muda mrefu sana.hapo jirani tu kenya hizo bonds ziko kwa muda mrefu tu.ni aibu bonds kupewa majina ya wanasiasaNi mwendo wa mapambio na kuabudu
Ni aibu mno lakini ni aibu zaidi kwa hao wataalam wa masuala ya bonds kuiita hivyo.Viongozi wa nchi hawako creative na shida ninayoiona ni kuchanganya biashara na siasa.hizo bonds si kitu kipya wenzetu kule Marekani zilianza muda mrefu sana.hapo jirani tu kenya hizo bonds ziko kwa muda mrefu tu.ni aibu bonds kupewa majina ya wanasiasa
Walikosa jina lingine mpaka kuiita "samia"?Wale wawekezaji bond mpya imeanzishwa na CRDB Kwa lengo la kukusanya mtaji wa kurngeneza na kuboresha miundo mbinu. Niwakatu wenu kununua mpate mrabaha. Baadaye nitaaambia kuhusu Gawio la hati fungani hii
Nawaza kwa mwendo wa kila kitu kupewa jina la Samia, mkapa nadhani taasisi zote alizoanzisha zingeitwa mkapa au william si tungechanganyikiwaWale wawekezaji bond mpya imeanzishwa na CRDB Kwa lengo la kukusanya mtaji wa kurngeneza na kuboresha miundo mbinu. Niwakatu wenu kununua mpate mrabaha. Baadaye nitaaambia kuhusu Gawio la hati fungani hii