Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji

Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Rais Samia amewashangaa watendaji wa Serikali kutoa leseni za biashara ndogo ndogo Kwa wageni akitokea mfano Mchina muuza Mitumba Kariakoo.

Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.

Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.

Rais Samia Suluhu amemwagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuangalia suala la raia wa kigeni kupewa leseni za kufanya biashara zinazofaa kufanywa na wenyeji.

Pia soma Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa

My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.

Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?

Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.
 
Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.

Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.

View: https://www.instagram.com/reel/C9DChjJqwrg/?igsh=bmhndjFrNzN0OHE3

My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.

Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?

View: https://www.instagram.com/reel/C9C340ttEbV/?igsh=MWxleHc2b29vbGJsdA==

Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.

Kwani hao wachina/wageni wana ingia Tanzania kwa ungo au wanapita pale immigration airport?

Africa tulibarikiwa kila kitu, isipokuwa kitu kimoja tuu.
 
Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.

Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.

View: https://www.instagram.com/reel/C9DChjJqwrg/?igsh=bmhndjFrNzN0OHE3

My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.

Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?

View: https://www.instagram.com/reel/C9C340ttEbV/?igsh=MWxleHc2b29vbGJsdA==

Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.

Those are pet issues!! Tusiuze Rasilimali za nchi Kwa wageni. Period
 
Hii inajitaji Raisi? by the way hao wachina wana nguvu sana msiwachukulie poa,
Haya yote wanayataka mafisiem....

Kila jambo likifanyika utasikia wanamshukuru na kumpongeza Rais.... Mpaka mvua ikinyesha utasikia ni juhudi za mheshimiwa Rais...

Sasa hata wachina kuuza mahindi ya kuchoma lazima juhudi za Rais zitumike kuwaondoa

Nchi ya malamiko... Mwananchi analalamika, mbunge analalamika, waziri analalamika, Mkuu wa Mkoa analalamika, Rais analalamika....
 
Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.

Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.

View: https://www.instagram.com/reel/C9DChjJqwrg/?igsh=bmhndjFrNzN0OHE3

My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.

Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?

View: https://www.instagram.com/reel/C9C340ttEbV/?igsh=MWxleHc2b29vbGJsdA==

Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.

Tatizo anaomba watendaji wenye kumradharau kwa kila ombi lake ,hasemi ni marufuku nisione tena!
 
Tujiulize anayewaruhusu ni nani?.. Serikali imeweka mazingira rafiki sana Kwa wageni ndiyo maana wanadiriki kufanya hivyo. Hayupo wa kuzuia kama Serikali haitaweka nia ya dhati kusaidia wenyeji.
Tupo nyuma sana, tunaishi kama maisha ya digidigi na Simba katika eneo moja.
 
Utakuta wamehonga wamepewa permit za uwekezaji
Diaspora wakitaka kuwekeza wanambiwa una $200,000 wewe uwekeze?
Shame on you
 
Sasa mkuu maneno ya mwanasiasa yanakufariji! Samia hana ubavu wa kumpangia mchina.
 
Wachina wanapaswa kuwa watengenezaji wa bidhaa na sio wauzaji.
Sheria iwekwe hivyo

Maduka yao ya Ubungo yatakuwa kero, ni swala la muda tu
 
Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.

Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.

View: https://www.instagram.com/reel/C9DChjJqwrg/?igsh=bmhndjFrNzN0OHE3

My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.

Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?

View: https://www.instagram.com/reel/C9C340ttEbV/?igsh=MWxleHc2b29vbGJsdA==

Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.

Inasikitisha, kuna watendaji hawafanyi kazi hadi waelekezwe.
 
Hii nchi hata jambo la kutekelezwa na Mtendaji wa Kata litasubiri maamuzi ya Rais sasa unajiuliza hawa watendaji wapo kwenye hizo nafasi kwa kazi gani?
Sijui ni mifumo yetu au incompetence ya watendaji au nini yaani inakera..Si ulikuwa unaona yaani wafanyabiashara eti wanagaoma wanamtaka Rais wakati wahusika wa biashara wapo.

Stendi,vyoo,sijui madarasa, nk Bado Rais ataulizwa,Huwa nakasirika sana .
 
Sijui ni mifumo yetu au incompetence ya watendaji au nini yaani inakera..Si ulikuwa unaona yaani wafanyabiashara eti wanagaoma wanamtaka Rais wakati wahusika wa biashara wapo.

Stendi,vyoo,sijui madarasa, nk Bado Rais ataulizwa,Huwa nakasirika sana .
Yeye Rais ndiyo ametengeneza mfumo wa hovyo wa kuona kila kinachofanyika kinafanywa na Rais, taifa star ikishinda mechi atasifiwa Rais, choo cha shule atasifiwa Rais so watu wanaona kumbe mambo yote ni Rais hawatendaji wengine hawana majawabu.
 
Back
Top Bottom