Pre GE2025 Samia: Natamani kuirudisha Tanga ya Viwanda

Pre GE2025 Samia: Natamani kuirudisha Tanga ya Viwanda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Rais Samia Suluhu Hassan amesema
kuwa moja ya matamanio yake makubwa ni kuufanya Mkoa wa Tanga kurejea kwenye hadhi yake ya zamani kama mkoa wa viwanda.

Akizungumza leo Ijumaa, Februari 28, 2025, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani, alipohitimisha ziara yake ya siku sita, Rais Samia amesema kuwa tayari Serikali imeanza kupanua viwanda vilivyopo na kujenga vipya ili kuongeza ajira kwa wananchi.

Soma: Rais Samia ahahidi miradi mikubwa ya maji, barabara na bandari mkoani Tanga

Kauli hiyo ni majibu kwa ombi la Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu, aliyependekeza Serikali iufufue uchumi wa mkoa huo kupitia viwanda.

"Nataka Tanga iwe ya viwanda tena ili vijana waachane na kupoteza muda vijiweni wakinywa kahawa na kupiga majungu," amesema.

Ameahidi kulegeza masharti ya uwekezaji ili kuwavutia wawekezaji wengi zaidi na kuimarisha uchumi wa mkoa huo.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema
kuwa moja ya matamanio yake makubwa ni kuufanya Mkoa wa Tanga kurejea kwenye hadhi yake ya zamani kama mkoa wa viwanda.

Akizungumza leo Ijumaa, Februari 28, 2025, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani, alipohitimisha ziara yake ya siku sita, Rais Samia amesema kuwa tayari Serikali imeanza kupanua viwanda vilivyopo na kujenga vipya ili kuongeza ajira kwa wananchi.

Kauli hiyo ni majibu kwa ombi la Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu, aliyependekeza Serikali iufufue uchumi wa mkoa huo kupitia viwanda.

"Nataka Tanga iwe ya viwanda tena ili vijana waachane na kupoteza muda vijiweni wakinywa kahawa na kupiga majungu," amesema.

Ameahidi kulegeza masharti ya uwekezaji ili kuwavutia wawekezaji wengi zaidi na kuimarisha uchumi wa mkoa huo.
IMG_5437.jpeg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema
kuwa moja ya matamanio yake makubwa ni kuufanya Mkoa wa Tanga kurejea kwenye hadhi yake ya zamani kama mkoa wa viwanda.

Akizungumza leo Ijumaa, Februari 28, 2025, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani, alipohitimisha ziara yake ya siku sita, Rais Samia amesema kuwa tayari Serikali imeanza kupanua viwanda vilivyopo na kujenga vipya ili kuongeza ajira kwa wananchi.

Kauli hiyo ni majibu kwa ombi la Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu, aliyependekeza Serikali iufufue uchumi wa mkoa huo kupitia viwanda.

"Nataka Tanga iwe ya viwanda tena ili vijana waachane na kupoteza muda vijiweni wakinywa kahawa na kupiga majungu," amesema.

Ameahidi kulegeza masharti ya uwekezaji ili kuwavutia wawekezaji wengi zaidi na kuimarisha uchumi wa mkoa huo.
View attachment 3253311
Hakuna jipya hapo mkoa umeuwawa kisiasa na watangulizi wake yeye pia wala hana mapenzi zaidi ya kutengeneza mtaji wa kura!
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema
kuwa moja ya matamanio yake makubwa ni kuufanya Mkoa wa Tanga kurejea kwenye hadhi yake ya zamani kama mkoa wa viwanda.

Akizungumza leo Ijumaa, Februari 28, 2025, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani, alipohitimisha ziara yake ya siku sita, Rais Samia amesema kuwa tayari Serikali imeanza kupanua viwanda vilivyopo na kujenga vipya ili kuongeza ajira kwa wananchi.

Kauli hiyo ni majibu kwa ombi la Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu, aliyependekeza Serikali iufufue uchumi wa mkoa huo kupitia viwanda.

"Nataka Tanga iwe ya viwanda tena ili vijana waachane na kupoteza muda vijiweni wakinywa kahawa na kupiga majungu," amesema.

Ameahidi kulegeza masharti ya uwekezaji ili kuwavutia wawekezaji wengi zaidi na kuimarisha uchumi wa mkoa huo.
View attachment 3253311
Wapi waarabu au wamekimbia , sioni haja ya mh umiza kichwa.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema
kuwa moja ya matamanio yake makubwa ni kuufanya Mkoa wa Tanga kurejea kwenye hadhi yake ya zamani kama mkoa wa viwanda.

Akizungumza leo Ijumaa, Februari 28, 2025, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani, alipohitimisha ziara yake ya siku sita, Rais Samia amesema kuwa tayari Serikali imeanza kupanua viwanda vilivyopo na kujenga vipya ili kuongeza ajira kwa wananchi.

Kauli hiyo ni majibu kwa ombi la Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu, aliyependekeza Serikali iufufue uchumi wa mkoa huo kupitia viwanda.

"Nataka Tanga iwe ya viwanda tena ili vijana waachane na kupoteza muda vijiweni wakinywa kahawa na kupiga majungu," amesema.

Ameahidi kulegeza masharti ya uwekezaji ili kuwavutia wawekezaji wengi zaidi na kuimarisha uchumi wa mkoa huo.
View attachment 3253311
Serikali iufufue uchumi wa mkoa huo wa Tanga kupitia viwanda??? Je, nani hasa ambaye aliua uchumi wa Mkoa huo?
 
Watanzania Tunapenda sana Ujinga.

E Mungu Likomboe Hili Taifa lako takatifu.
 
Miaka hiyo ilikuwa watu wengi sana wanatoka mikoa ya bara kwenda Tanga kufanya kazi. Sasa hivi ni magofu yamebaki na magodown yamegeuzwa gereji za magari na kampuni za transport. Kuna mahali Tanga panaitwa GOFU, lile eneo limepangiliwa vizuri Sanaa, yaani Nafikiri tu kama eneo lote hili lingejaa viwanda Hadi Sasa ingekuwa Bora Kwa taifa.
 
RAIS SAMIA KUIREJESHA TANGA YA VIWANDA NA UTALII, KUKUZA AJIRA KWA VIJANA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza matamanio yake kwa Mkoa wa Tanga, akisema serikali yake imeanza taratibu za kurejesha "Tanga ya viwanda pamoja na kukuza utalii wa fukwe, historia na utamaduni.

Wakati akizungumza na wakazi wa Tanga kwenye Viwanja vya michezo vya Mkwakwani Jijini Tanga leo Februari 28, 2025, Mhe. Rais Samia aliyeingia siku yake ya sita ya ziara mkoani humo, amesema ili kufanikisha jambo hilo serikali yame imeendelea kulegeza na kufanya masharti ya uwekezaji kuwa rahisi zaidi kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ili kuwezesha utanuzi wa viwanda vilivyopo, kukarabati na kujenga viwanda vipya mkoani humo.

Lengo la kufanya hivyo kulingana na Mhe. Rais Samia ni kuendelea kukuza fursa za ajira mkoani humo pamoja na kuzalisha ajira mpya kwa Vijana, akiwataka wazazi na walezi kuwaepusha Vijana na watoto dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya kutokana na kuua nguvu kazi ya jamii.

Aidha Rais Samia ameeleza mkakati wake wa kukuza utalii wa fukwe historia na utamaduni Mkoani humo kwa kueleza kuwa maumbile ya Tanga, milima,fukwe na utajiri wa kihistorua uliopo Mkoani Tanga ni fursa nyingine muhimu kwaajili ya wananchi wa Mkoa huo.

Amewahimiza wananchi wa Tanga kuchangamkia fursa hizo zinazoibuliwa Mkoani humo, akihimiza pia vijana kujifunza taaluma za uongozaji wa utalii, kufungua makampuni ya uwakala wa forodha pamoja na kufungua makampuni ya watalii kwenye Mkoa huo.
 

Attachments

  • IMG-20250228-WA2394(1).jpg
    IMG-20250228-WA2394(1).jpg
    113 KB · Views: 1
  • IMG-20250228-WA2131(1).jpg
    IMG-20250228-WA2131(1).jpg
    345.7 KB · Views: 1
  • IMG-20250228-WA2139(1).jpg
    IMG-20250228-WA2139(1).jpg
    987.4 KB · Views: 1
  • IMG-20250228-WA2536.jpg
    IMG-20250228-WA2536.jpg
    469.7 KB · Views: 1
  • IMG-20250228-WA2535.jpg
    IMG-20250228-WA2535.jpg
    460.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom