saemonity
Member
- Sep 13, 2016
- 76
- 44
Wakuu habari, poleni na majukumu.
Kuna hizi scholarship zinazotolewa na Tume ya nguvu ya Atom Tanzania (TAEC) kupitia Raisi Dkt Samia Suluhu Hassan (Maelezo zaidi yapo katika tovuti ya taec.go.tz).
Sababu ya kupost ni kwamba tangu siku ya Jumatatu website husika haipatikani hewani na link ya ku apply haipatikani pia.
Kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa nilikua naomba ufafanuzi kwasababu hata namba za simu za TAEC haziwezi kuunganishwa. Shukrani.
Kuna hizi scholarship zinazotolewa na Tume ya nguvu ya Atom Tanzania (TAEC) kupitia Raisi Dkt Samia Suluhu Hassan (Maelezo zaidi yapo katika tovuti ya taec.go.tz).
Sababu ya kupost ni kwamba tangu siku ya Jumatatu website husika haipatikani hewani na link ya ku apply haipatikani pia.
Kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa nilikua naomba ufafanuzi kwasababu hata namba za simu za TAEC haziwezi kuunganishwa. Shukrani.