Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Nyinyi mandubwi...macho kumulika...mtumie basi hata akili ya kwenda chooni...
Hii ni scholarship ya Tanzania nzima...kwani Zanzibar sio sehemu ya Tanzania...
Je kuna hii scholarship ya Mama specially to Zanzibar only?
Kama ni ya wote, basi tumewapunja sana kina makame haji makame....
Hii ni scholarship ya Tanzania nzima...kwani Zanzibar sio sehemu ya Tanzania...
Je kuna hii scholarship ya Mama specially to Zanzibar only?
Kama ni ya wote, basi tumewapunja sana kina makame haji makame....