johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiongozi unawachukuliaje JW?Ni Ushauri tu maana Niko hapa Kisarawe wanaccm wameshalipasisha hili vazi
Wenzetu wa Chadema Wana zile Gwanda zao kama Migambo
Jumaa Mubarak π
Ww unalo tiariNi Ushauri tu maana Niko hapa Kisarawe wanaccm wameshalipasisha hili vazi
Wenzetu wa Chadema Wana zile Gwanda zao kama Migambo
Jumaa Mubarak π
mbona kama ni vazi la dini moja?Ni Ushauri tu maana Niko hapa Kisarawe wanaccm wameshalipasisha hili vazi
Wenzetu wa Chadema Wana zile Gwanda zao kama Migambo
Jumaa Mubarak π
Kuna tofauti yoyote Kati ya taifa na CCM?Nilijua unataka kusema liwe vazi rasmi la taifa nikutukane
CCM mna majukwaa yenu huko X , Instagram, Facebook n.k nenda kaposti huko
Wanaume mumekubali kuvalishwa dela bado mvalishwe kanga na shanga tu kudadeq.Ni Ushauri tu maana Niko hapa Kisarawe wanaccm wameshalipasisha hili vazi
Wenzetu wa Chadema Wana zile Gwanda zao kama Migambo
Jumaa Mubarak π
Tana mbatataWewe ni kiazi
Acha wehu wewe Watu Wanawaza Satellite nyie mnawaza Vazi la taifa?Ni Ushauri tu maana Niko hapa Kisarawe wanaccm wameshalipasisha hili vazi
Wenzetu wa Chadema Wana zile Gwanda zao kama Migambo
Jumaa Mubarak π
Huyo sio kijana ni mzee wa hovyoAcha wehu wewe Watu Wanawaza Satellite nyie mnawaza Vazi la taifa?
Mbona vijana mmekua wa hovyo hivi?
Uliwufula mwagitoNi Ushauri tu maana Niko hapa Kisarawe wanaccm wameshalipasisha hili vazi
Wenzetu wa Chadema Wana zile Gwanda zao kama Migambo
Jumaa Mubarak π
naunga mguu hojaNilijua unataka kusema liwe vazi rasmi la taifa nikutukane
CCM mna majukwaa yenu huko X , Instagram, Facebook n.k nenda kaposti huko