Samia Suluhu awa Rais wa Kwanza nchini kumiliki application yake kwa ajili ya kazi Siasa na Uongozi

Samia Suluhu awa Rais wa Kwanza nchini kumiliki application yake kwa ajili ya kazi Siasa na Uongozi

wee ni maskini kama wengine tu nimekuuliza So what? umejibu? acha uchawa wa rejareja kimsingi huyo ajuza hamna kitu kwanza angekua na akili angeendelea kula makonyagi huko brazili wakati nchi iko kwenye janga la ghorofa.
Nakubaliana na wewe, mimi ni maskini tu... Na nimekujibu kuwa hakuna uchawa... Maelekezo mengine na lawama zinazomhusu yeye, naomba uzielekeze moja kwa moja kwake... Post yangu haihusiani na malalamiko ya wananchi kwa Rais

Nenda kwenye App kalalamike
 
Tafiti hujibiwa kwa tafiti... Kanusha Tafiti yangu kwa reference ya tafiti yako
Donald trump, uchaguzi wa 2020, alikuwa na app (official trump 2020 app) -ilikuwa inafanya the same job, baadae iliondolewa na kuzaliwa kwa truth social

Barack obama - Obama for america , uchaguzi 2012

Narendra modi, waziri mkuu wa india, Namo App uchaguzi wake wa kwanza , app ilibalika jina to Narendra Modi App mpaka leo ipo

Paul kagame - paul kagame app japo ni unofficial, still active

Muhammad Buhari ex president wa nigeria - app ya PMB alitumia sana wakati wa campaign

Uhuru kenyata - app name team uhuru, ilitumika sana 2017 wakati wa uchaguzi

Hakainde ichilema - HH app alitumia wakati wa uchaguzi wake ku connet wapiga kura wake

Na hao ni wachache tu

So Yes wapo si wa kwanza
 
Donald trump, uchaguzi wa 2020, alikuwa na app (official trump 2020 app) -ilikuwa inafanya the same job, baadae iliondolewa na kuzaliwa kwa truth social

Barack obama - Obama for america , uchaguzi 2012

Narendra modi, waziri mkuu wa india, Namo App uchaguzi wake wa kwanza , app ilibalika jina to Narendra Modi App mpaka leo ipo

Paul kagame - paul kagame app japo ni unofficial, still active

Muhammad Buhari ex president wa nigeria - app ya PMB alitumia sana wakati wa campaign

Uhuru kenyata - app name team uhuru, ilitumika sana 2017 wakati wa uchaguzi

Hakainde ichilema - HH app alitumia wakati wa uchaguzi wake ku connet wapiga kura wake

Na hao ni wachache tu

So Yes wapo si wa kwanza
Mkuu nilimwambia kuwa yeye ni kiazi akaanza kubisha , chawa wanashida kubwa mno yaani , wewe fikiria hawa vijana wa shule za Kata unadhani wanaweza kuwa na IQ ya maana kweli? na hawa ndio wamejazwa katika ma position yakiwemo yale yanayohitaji akili namaanisha akili sio za kuvukia barabara.
 
Mkuu nilimwambia kuwa yeye ni kiazi akaanza kubisha , chawa wanashida kubwa mno yaani , wewe fikiria hawa vijana wa shule za Kata unadhani wanaweza kuwa na IQ ya maana kweli? na hawa ndio wamejazwa katika ma position yakiwemo yale yanayohitaji akili namaanisha akili sio za kuvukia barabara.
kama hawa ndio viongozi wajao (chawa), sitoshangaa wakiendelea na maamuzi ya ajabu. Wenyewe wana dunia yao ambayo wanaamini wao ndio the best, is why wakienda uga wa kimataifa wanaambulia aibu
 
kama hawa ndio viongozi wajao (chawa), sitoshangaa wakiendelea na maamuzi ya ajabu. Wenyewe wana dunia yao ambayo wanaamini wao ndio the best, is why wakienda uga wa kimataifa wanaambulia aibu
Exactly ndiomaana hata mama yao baada ya majanga kutokea Kariakoo badala ya kusitisha liziara lisilo na kichwa wala miguu mara moja yeye anaendelea kula makonyagi kule kwenye nchi za watu na wala hajali kabisa.NI Janga kubwa mkuu.
 
Mitandao na Apps zimeshamiri kipindi cha Kikwete... Labda kama wewe ni mgeni wa mitandao
sawa, ungeandika kati ya marais watatu wa hivi karibuni Samia ni rais wa kwanza kuwa na app
 
siku hizi MACHOKO mmejificha JF
Kwa hiyo wewe unataka kusema Baba yako alikojoa Nje ndio ukazaliwa wewe au unamaanisha nini... Maana kila mtu kuzaliwa baada ya baba yake kukojoa ndani... Wewe mwenzetu itakuwa baba yako alipiga bao la nyeto kwa mama yako ndio ukazaliwa
 
Donald trump, uchaguzi wa 2020, alikuwa na app (official trump 2020 app) -ilikuwa inafanya the same job, baadae iliondolewa na kuzaliwa kwa truth social

Barack obama - Obama for america , uchaguzi 2012

Narendra modi, waziri mkuu wa india, Namo App uchaguzi wake wa kwanza , app ilibalika jina to Narendra Modi App mpaka leo ipo

Paul kagame - paul kagame app japo ni unofficial, still active

Muhammad Buhari ex president wa nigeria - app ya PMB alitumia sana wakati wa campaign

Uhuru kenyata - app name team uhuru, ilitumika sana 2017 wakati wa uchaguzi

Hakainde ichilema - HH app alitumia wakati wa uchaguzi wake ku connet wapiga kura wake

Na hao ni wachache tu

So Yes wapo si wa kwanza
Nimekwambia Samia Suluhu Hassan ni Raisi wa Kwanza Nchini.... Au hujaelewa maana ya Nchini
 
Mkuu nilimwambia kuwa yeye ni kiazi akaanza kubisha , chawa wanashida kubwa mno yaani , wewe fikiria hawa vijana wa shule za Kata unadhani wanaweza kuwa na IQ ya maana kweli? na hawa ndio wamejazwa katika ma position yakiwemo yale yanayohitaji akili namaanisha akili sio za kuvukia barabara.
Wewe unasapoti bangi kama jina lako... Kusoma hujui mpaka husomewe, ona sasa unasapoti fact za mtu asiyejua kusoma kama wewe... Huyo mwenzako ananiorodheshea marais wa nchi nyingine... Wewe na bichwa lako kama boflo unamjibu kwa kunidhihaki mimi

Mimi nimeandika Samia ni Rais wa kwanza Nchini kumiliki App, anakuja mtu anaorodhesha marais wa Kenya, na Marekani, wewe na bangi zako unaleta maoni ya bangi... Hivi unaelewa maana ya neno "Nchini" kwenye kichwa cha habari hapo juu
 
sawa, ungeandika kati ya marais watatu wa hivi karibuni Samia ni rais wa kwanza kuwa na app
Hakuna haja ya kuandika marais watatu wa hivi karibuni... Kwani kabla ya hao watatu nani amewahi kumiliki App...

Ndio maana ninasema yeye ni Rais wa kwanza Nchini kumiliki App
 
Back
Top Bottom