Samia Suluhu baada ya kutembelea ziara Korea Kusini, wamarekani watoa uzushi

Huyu ngeti kaandika kwa kukurupuka

Ova

Nafikiri umefika wakati hata kiongozi wa nchi inabidi tumjue uelewa wake vizuri.
Je, ni mchumi ,au mwanqsheria ,au Mwanasayansi asiyekubali mambo bila fact na data za kutosha au shujaa wa kivita kama Kagame au Mwenye kipaji tu kama Paulo Makonda !!
Lakini inawezekana tunaongozwa na mtu aliyeshinikizwa tu kushika dola la watu mil.65 kutokana na nchi kuwa na watu wasiofuatilia mambo yanayohusu taifa lao na vizazi vijavyo zaidi ya kuimba ,"Ni ile ile ooh ni ile itajulikana " Mbele kwa mbele ".

Tutaangamiza taifa letu kiuchumi,kiutamaduni na kiusalama kwa sababu ya wanasiasa na watawala wanaowaza kujilimbikizia mali binafsi na familia zao kwa kushirikiana na wageni.


Hivi wangekua na nia njema wangeshindwa kuwaorganize wafanyabiashara wa ndani wakajenga mahoteli na viwanja vya ndege Kwenye mbuga za wanyama kama ilivyo kwa Wageni.

Hivi hawajui kuwa pale kilipojengwa kiwanja cha ndege cha Kia ndipo yalipo Madini ya Tanzanite na kilijengwa kimkakati na sio kama wanavyofikiri kuwa ni kwa ajili ya utalii. ingekua utalii si kingejengwa Arusha ?
Pale KIA ndipp penye madini hasa ya Tanzanite.
Sasa wamepewa Waarabu wajifanye kuwa wanafanya upanuzi wa Kiwanja.
Yetu macho , tumeamua kumpa mjukuu wa Sultani wa Oman urithi wetu .

Ndugai alisema ,2025 mtaamua wenyewe nchi ipigwe mnada au tuendelee kukopa kopa na kutembeza bakuli
 
nilikuwa natafuta hii koment, nimechoka na kuchoka kusoma kuwa korea kusini imewekewa vikwazo,

Hao ndio machawa wanaoishi kijanja janja na kuwakoromea watu wanazuoni mahiri na wataalamu wa sheria na siasa kama Tundu Lisu, Mwabukusi, Warioba, Butiku, Ndugai, Polepole n.k .

Na utakuta mleta mada amepigiwa na simu ya pongezi kwa uzalendo na kumtetea mama . Mwishowe anapata uteuzi .
 
Bollen Ngeti,

Sijuie kwanini huyu jamaa Huwa namfananisha na kampani ya kina Benard Membe,William malechela na Lazaro nyalandu!

Mwenye uelewa tafadhali!!
 
Kwa nini ujenge kiwanja cha KIA juu ya deposits za Tanzanite?
 
Marekani inailalia Korea ya Kaskazini na kuiona Korea ya Kusini kama “nunda”?

Hapo umechanganya madesa!
Na Mimi nikasugua macho yangu nikadhani na usingizi ndiyo sababu naona Kinyume nyume...Kha!
 
Mwandishi ni mmoja wa wasomi wajinga waliojaa hapa nchini.
Kuna mtu nilisoma nae high school,mpaka anafika form 5 alikuwa anajua USA ipo bara la Ulaya,ukijaribu kumuelimisha anakuwa mtata.
 
Kwa nini unaweka siri za jeshi letu hadharani hivi? Hicho kibali umekipata wapi? Uzuri umetuwekea na namba yako ya simu hapo tutajua namna ya kufanya!
 
Marekani inailalia Korea ya Kaskazini na kuiona Korea ya Kusini kama “nunda”?

Hapo umechanganya madesa!
Hata mimi nimeshangaa! Tangu lini Marekani akawa rafiki wa Korea Kaskazini na kuisulubu Korea Kusini?
 
Mimi nikisikia tu Marekani wanalalamika hata kama sijasoma mkataba najua fika lazima itakuwa na tija Kwa nchi kwakua wao huwa hawapendi nchi ipate kitu chenye tija

Huku ndiyo kuishiwa uelewa.

Pesa ya USA ya MCC ilipeleka umeme vijijini kwa 80%, ilijenga barabara toka Tunduma mpaka Sumbawanga. Na pia miradi minhine mingi mbalimbali. Kwako hivyo vyote havikuwa na tija kwa Tanzania? Kweli wengi humu wanachojua ni kuandika, kusoma na kuhesabu tu!!!
 
Marekani inailalia Korea ya Kaskazini na kuiona Korea ya Kusini kama “nunda”?

Hapo umechanganya madesa!
Nimesoma nikarudia, sijamwelewa inaonekana jambo analolizungumzia ni kubwa kuliko uwezo wake kichwani.
 

Hili andiko lote ni takataka kabisa kwa sababu mwandishi inaonekana ni mtu ama asiyejua chochote na ni mropokaji au mtu mnafiki na mwongo anayemini kuwa ana uelewa wa kuwadanganya watu wote.

Fikiria mtu ambaye ama haijui kabisa nchi ya Korea Kusini au anayeamua kusema uwongo dhidi ya Korea Kusini. Yaani kwa Ulimwengu huu wa leo, ukiona mtu haijui Korea Kusini wala Kaskazini, haijui Marekani, unadhani uduni wa uelewa wa mtu huyu ni wa kiwango gani??

Fikiria mtu mwongo aliyekosa uelewa kama huyu Bollen Ngetti anayeweza kuubadilisha urafiki na ushirikiano mkubwa uliopo kati ya South Korea na USA, na kuugeuza kuwa eti ni uadui, anastahili kuwekwa kwenye kundi gani?

Huyu Bollen Ngetti ameandika uwongo huu kwa sababu ni mbumbumbu sana au kwa sababu ni mtu mwongo, mnafiki?

Korea Kusini ni rafiki mkubwa wa USA, ni nchi iliyopokea misaada mingi kutoka USA kuifikisha kiuchumi hapo ilipo. Ni nchi ambayo ilipewa privileges nyingi kwa soko la USA ili iinuke. Ni nchi ambayo, USA imepeleka FDI kubwa sana. Ni nchi ambayo hata jeshi lake lilijengwa sana na USA, na mpaka sasa wanashirikishana sana kwenye taarifa za kiulinzi na usalama na kufanya drills za kijeshi kwa pamoja, karibia kila mwaka. Halafu mtu, sijui kama ni kwa kudhamiria au kukosa uelewa, anasema kuwa ni nchi maadui!!

Bollen Ngetti apuuzwe kwa andiko hili la uwongo, uzushi na lililokosa weledi.
 
Kwani RUTO MAREKANI walimpa nini?
Hii pesa USangeitoa ingetangazwa dunia nzima.
 
Marekani ni Nchi ya kipumbavu,wao Misaada Yao ni ya ujinga ujinga na hawawezi kukupa hela yote Kwa pamoja.
Kama Marekani ni nchi ya kipumbavu kama unavyoropoka hapa huyo Sa100 alikwendaga kutafuta nn huko??
Na akitoka Korea anarudi tena huko Marekani muambie basi asiende kwa wapumbavu!.
Pale chawa anapokosa kumbukumbu!
 
Mama hajioendekezi kwa mtu na sisi pia sera yetu kimataifa inafahamika vyema kabisa. Hatuna budi mtu wala kufungamana na mtu yeyote yule waka kupewa adui wa kumchukia na kutokushirikiana naye.

Sera inasema hivyo lakini mbona wewe kada unaonekana unaupande unaoukubali zaidi
 
Unajua wao walichukua ngapi kupitia energy and mineral sector? We mwenzetu hata kujua kiasi hiki Cha Kusoma, kuhesabu na kuandika hujafikia pengine unajua tu kuuanisha rangi na picha za vitu😂😂😂
 

Acha uzwazwa, walio toa taarifa ya mikataba hiyo ni wakorea wenyewe, na iko wazi, acha porojo.
 
Reactions: Ame
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…