Samia Suluhu for PRESIDENT (2025-2035)


Yaani kabisa mtu achangie pesa yake yake ili walipwe maembe na yule mwanamke
 
Ni watanzania sio Mimi mkuu. Wangepigia chama kingine kura CCM haingeshinda.
Mkuu,
Kwani CCM inashinda kwa Kura au wizi??

Angalia rais mstaafu anavyosema hapa:

 
CCM ni ya wezi kweli
 
Kutokana na katiba atakaa mpka 2030.hizi zingine ni blabla tu
 
Anadaiwa Bei gani jumla?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…