Samia Suluhu Hassan, Amiri Jeshi Mkuu pekee tangu uhuru aliyetoa amri mabasi yatembee usiku kucha, na hakuna anayethubutu kuyateka

Samia Suluhu Hassan, Amiri Jeshi Mkuu pekee tangu uhuru aliyetoa amri mabasi yatembee usiku kucha, na hakuna anayethubutu kuyateka

Nchi imejaa walevi na wajinga kama huyu mtu kweli itapata maendeleo? huyu unaweza kuta naye ana masters lakini ukitoa cheti kichwa kinabaki kopo tupu, badala ya kuja kuandika point na mambo ya kusaidia nchi jitu na familia ake lianandika pointless sababu tu anakulipa mshahara bila kufanya kazi na hufukuzwi.
Ficha upumbavu wako
 
SEMA ulikua hujazaliwa watu tulikua tunasafiri na mabasi usiku yanaondoka saa moja jion iringa kwenda dar yanafika saa kumi alfajiri hapo mnazi moja .alafu watu walikua wanasafiri na hela nyingi kwenye mabegi tofauti na siku hizo hela unazitanguliza kwa njia ya benki.
 
Hivi kweli mtu unashindwa kufanya research au kuuliza watu katika karne hii ya sayansi na teknolojia na information at your fingertips ?

Hivi unajua mabasi yalikuwa yanatembea usiku kucha na waliacha baadae na sio sababu ya majambazi bali ilikuwa ni ajali ?

Next time jaribu kufanya research kama unashindwa kuweka sahihi vitu ambavyo ni factual na vimetokea generations chache hapo nyuma kweli unaweza kudadavua ideas au concepts ?
 
Nchi hii imeshakuwa na majemedari mahiri na nguli, lakini wote hawakuwa na ujasiri wa kutoa amri ya kuruhusu mabasi yatembee usiku kucha. Imagine chuma kama Nyerere hakikutoa amri hiyo, chuma kama Mwinyi, Mwamba kama Mkapa, Jemedari kama Kikwete, JPM pamoja na kuwa dikteta wa kwanza nchini, lakini aliogopa kuruhusu mabasi saa 24

Wengi walihofia majambazi, hahaaa, kwa Samia, jambazi wote kimya, vyuma vinaimba masaa 24 barabarani. Uchumi sasa ni wa masaa yote 24.

Tunatumaini uwekezaji wa soko la kisasa ubungo utafanya Dsm isilale, kazi iendelee usiku na mchana.

Viva Samia
Kama umetumwa uje upige kampeni rudi kamwambie shetani hapa hapati kitu
 
Mtoa mada ukachunguzwe akili, na wala huitakii mema nchi hii zaidi ya kuwa mnafiki wakiwango cha mbwa koko
 
Tunatumaini uwekezaji wa soko la kisasa ubungo utafanya Dsm isilale, kazi iendelee usiku na mchana.
Safari za usiku raha sana Ila kwenye bus kisiwe na wale madogo wanaopenda kunya ovyo safari itakua chungu
 
Nchi hii imeshakuwa na majemedari mahiri na nguli, lakini wote hawakuwa na ujasiri wa kutoa amri ya kuruhusu mabasi yatembee usiku kucha. Imagine chuma kama Nyerere hakikutoa amri hiyo, chuma kama Mwinyi, Mwamba kama Mkapa, Jemedari kama Kikwete, JPM pamoja na kuwa dikteta wa kwanza nchini, lakini aliogopa kuruhusu mabasi saa 24

Wengi walihofia majambazi, hahaaa, kwa Samia, jambazi wote kimya, vyuma vinaimba masaa 24 barabarani. Uchumi sasa ni wa masaa yote 24.

Tunatumaini uwekezaji wa soko la kisasa ubungo utafanya Dsm isilale, kazi iendelee usiku na mchana.

Viva Samia
Ha ha haaa!! Naona Sasa tumeishiwa vitu vya kupamba na kuabudu
 
Nchi hii imeshakuwa na majemedari mahiri na nguli, lakini wote hawakuwa na ujasiri wa kutoa amri ya kuruhusu mabasi yatembee usiku kucha. Imagine chuma kama Nyerere hakikutoa amri hiyo, chuma kama Mwinyi, Mwamba kama Mkapa, Jemedari kama Kikwete, JPM pamoja na kuwa dikteta wa kwanza nchini, lakini aliogopa kuruhusu mabasi saa 24

Wengi walihofia majambazi, hahaaa, kwa Samia, jambazi wote kimya, vyuma vinaimba masaa 24 barabarani. Uchumi sasa ni wa masaa yote 24.

Tunatumaini uwekezaji wa soko la kisasa ubungo utafanya Dsm isilale, kazi iendelee usiku na mchana.

Viva Samia
Samia aongoze hadi 2040 ishallah
 
Back
Top Bottom