Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #121
kwan kuchoma picha nini si mihemko na ghadhabu tu, kuna watu walisusa hadi uchaguzi. kwani iliwasaidia nini uchaguzi ulifanyika serikali ikaundwa iko madarakani mpaka sasa 🐒Huyu huyu ambaye watu wameshaanza hadi kuchoma moto picha zake endeleeni kujidanganyeni.
Kupitia sanduku la kura ccm haiwezi shinda. Ccm wanabebwa na wanaotangaza matokeo wanatangaza uongo