Samia Suluhu: Nyumba isiyolongwa haimei

Samia Suluhu: Nyumba isiyolongwa haimei

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Kwamba nyumba ambayo makosa yake hayasemwi na kufunikwa nyumba hiyo haiishi. Bila ya kusema makosa hayo ipo siku yatakuwa mengi na madhara yake yatakuwa makubwa lakini yakisemwa basi utapatikana muda wa kujirekebisha.

Asipojirekebisha je, basi anaamishwa sehemu nyingine akaendeleze madudu yake? Alisikika mlevi mmoja akipayuka!
 
Back
Top Bottom