Samia Suluhu Personal Security is Porous

True.Her zanzibar culture played a huge part in making that decision.
She doesn't want the ndaganyi(ass) to keep piping on a makaliyo 24/hrs. Least the youtuber will be flooding her image worldwide websites.
 
Hii ni dalili ya kukosa mada za kuongelea.

Mzee hao sio walinzi pekee, zaidi sana hao ni wasaidizi wa rais.
Mambo ya kike atasaidiwa na mwanaume!?
Umemaliza kila watu wanaleta ujuaji kwa vitu wasivyoelewa
 
Mkuu, wahusika wanajua wanachokifanya, acha wafanye kazi yao. Hukumbuki wakati JPM anaingia alikuwa na bodyguard mwanamama? Hukumbuki pia kwamba hayati Ghaddafi alikuwa na timu ya walinzi wanawake tupu?
 
The good news ni kwamba Rais wa nchi ya kiafrika akifa ni faida kwa sababu wameingia madarakani kwa wizi wa kura lakini above all hakuna la maana ambalo wanafanya.
Usitake kuona rais wenu akiuwawa akiwa madarakani maana italeta instability katika nchi. Prime minister wa kwanza wa Drc Patrice Lumumba aliangamizwa lakini nchi hio haijawahi kuwa sawa tangu hio siku.
 
Kuna wanaume hapo wasiionekana wanamzunga Rais kuhakikisha usalama wake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…