Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?Samia scholarship ni definition sahihi ya mwenye nacho ataongezewa.
Ask me how?
30+ wanatoka shule ya baba ake AHMESHow?
Gharama za kusoma shule kama FEZA schools kwa mwaka mmoja unalipa ada ya miaka zaidi ya mitatu kusoma Bachelor degree yoyote kwenye public institution za Tanzania30+ wanatoka shule ya baba ake AHMES
Pia waliofaulu zaidi ni private schools je wanashindwa kusomeshwa vyuo?
Wakat asilimia yao kubwa huend kusoma abroad.
Hili nilishalisema sehemu kama mchangiaji.
Watoto bora zaidi ni wale waliosoma shule za gharama zaidi.
Je, maskini alisomesha St. Peter, FEZA girls?
Feza watoto wa matajiri wanalipa ada ila watoto wa masikini ambao ni Vichwa wanasoma bure ama wanalipia kidogo. Si kila aliesoma Feza ni tajiri.G
Gharama za kusoma shule kama FEZA schools kwa mwaka mmoja unalipa ada ya miaka zaidi ya mitatu kusoma Bachelor degree yoyote kwenye public institution za Tanzania
fezaschools.org
Nimeisoma hiyo attchmnt imenivutia sana hakika Feza schools ni shule bora kwa Elimu kwanz kuw admitted unaitajika uwe na shule kichwani haswa pia katika sheria zake ni more seriously and deadfullFeza watoto wa matajiri wanalipa ada ila watoto wa masikini ambao ni Vichwa wanasoma bure ama wanalipia kidogo. Si kila aliesoma Feza ni tajiri.
Pitia hapa kujua zaidi ni namna gani watu wanakuwa Admitted Feza
STUDENTS ADMISSION POLICY - Feza Schools
STUDENTS ADMISSION POLICY 1.0. Whom do we serve? FEZA serves the educational needs of the Tanzanian community as well as the educational needs of the International students who are committed to access to the better education in both locally and internationally curricula. We welcome boys and...fezaschools.org
Hongera sana kwa kipindi kile ulipambana sana lakini now days ata shule za government zinaongoza na mtu anatoka akiwa na A flat na Rais Samia Suluhu anaendelea kuboresha sekta ya elimu kwaiyo tutarajie mambo makubwa zaidiHili nilishalisema sehemu kama mchangiaji.
Watoto bora zaidi ni wale waliosoma shule za gharama zaidi.
Je, maskini alisomesha St. Peter, FEZA girls?
Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na viongozi wenye akili sana.
Mimi nilipata
Kiswahili B
Maarifa A
Hisabati A
Sayansi B
English A
Ila nilichaguliwa shule ya vipaji maalumu kwa kuzingatia hoja kuu 2.
1. Sisi ndio la saba wa kwanza
2. Shule iko kijijini (mashambani) hakuna tuition wala nini.
Nilipofila shule tuliburuzana na wale waliokuja shule na A flat na wengi tu niliwapita, nilihitimu form four nikiwa mwanafunzi wa sita katika shule yetu huku nikitoka na one .
Sio kweli Samia Scholarship imefata haki imecahgua wanafunzi wenye ufaulu wa juu na waliotoka shuke za kata wamo mzee kwaiyo punguza makasilikoSamia scholarship ni definition sahihi ya mwenye nacho ataongezewa.
Ask me how?
Sasa na hawa wanafunzi wa government school wakaze msuli ili wachaguliwe na kwingi30+ wanatoka shule ya baba ake AHMES
Pia waliofaulu zaidi ni private schools je wanashindwa kusomeshwa vyuo?
Wakat asilimia yao kubwa huend kusoma abroad.
You sure tulete list utuonesheSio kweli Samia Scholarship imefata haki imecahgua wanafunzi wenye ufaulu wa juu na waliotoka shuke za kata wamo mzee kwaiyo punguza makasiliko
Kuna wanafunz uko wamefaulu kwenda vyuo ufaulu mzur tu but awana ada wanategemea mkopo.Sasa na hawa wanafunzi wa government school wakaze msuli ili wachaguliwe na kwingi