Huo ni mtazamo wa Gazetti la The Economist, hata raia wanaojielewa ninaamini wana mtazamo huo huo pia.
Katika kitu natamani ndugu mwandishi, siku moja uje kuanzisha thread kuichambua REPORT YA CAG ya mwaka huu bila kuwa biased kwa kusaka uteuzi. Bwana mkubwa hayupo nasi tena. Cha kusikitisha bungeni hayupo Zitto wa kuichambua vizuri hio report.
Key points;
1) ATCL kuendeshwa kwa hasara ya Billion 60 tokea 2016 - 2021.
Au ndio tuseme CAG pengine ana mhujumu Marehemu Rais Magufuli alietuaminisha kwa nguvu kubwa sana kwamba shirika linafanya kazi kwa faida, kufikia hatua shirika kupewa tuzo ya usafiri bora wa mwaka kuliko Turkey Airlines na serikali kupewa Hundi Ya Gawio La Faida na shirika???
Na je, Rais Magufuli angekua hai, angepewa hii hii report ya CAG yenye kulikosoa shirika la ATCL na TTCL, au kuna report nyingine iliopo kwenye makabati yenye mahesabu yaliopikwa ndio angepewa kumtukuza na kutuficha raia???
2) Matumizi ya hela nyingi zilizokua zinapelekwa Wizara Ya TAMISEMI na kutokujulikana matumizi yake, kufikia Rais Samia kumsimanga Waziri Selemani Jafo wazi wazi mbele ya vyombo vya habari, na kumtaka awasilishe mahesabu ya Wizara yake ndani ya muda mfupi, ila kabla hata ya Waziri Jafo ya kuwasilisha hayo mahesabu alioamrishwa na Rais, Rais akaamua kumhamisha Wizara baada ya Siku Mbili (Pengine baada ya kujua kwamba mahesabu hayo akipelekewa hata ridhika nayo kabisa).
3) TPA kukoroga mambo kwenye matumizi ya hela (Kwa viashiria vya ufisadi uliokithiri) mpaka kufikia hatua Rais Samia kumsimamisha kazi Mkurugenzi TPA na TAKUKURU kumshikilia na kufanya upelelezi wa Mabillioni kupotea kwenye account za TPA (Za BOT na NMB).
4) Matumizi ya hela HAZINA kuchotwa hovyo na wachache kwa kigezo cha matumizi (Matumizi yasio na mashiko wala sababu wala kujulikana). Kupelekea Rais Samia kumpa maelekezo CAG afanye ukaguzi upya wa matumizi ya hela zilizotoka hazina kuanzia January 2021 - March 2021.
Rais Samia kifupi, ana mashaka makubwa na matumizi ya hazina kuanzia mwaka huu kuanza (Ni aibu kwa watendaji kumfanya Rais awe ana mashaka na taasisi zao) na ana mashaka makubwa hasa na TPA.
Tulikua tunaaminishwa katika utawala ya 2015 - 2021 kulikua hakuna ufisadi kabisa, na mafisadi walikomeshwa kisawasawa sambamba na kutothubutu kuifisadi nchi. Raia walifurahi na kushangilia sana kwa hilo kwani mpambanaji wa mafisadi hatimae alipatikana kuwatetea wanyonge.
Ila katika hali ya kushangaza, na haya yaliotokea hivi karibuni kuna sintofahamu na imani imeanza kubadilika kabisa, kwamba ufisadi ulikuwepo ila "VITISHO VYA KUOGOPA KUIKOSOA NA KUIHOJI SERIKALI YA AWAMU YA 5" ndio sababu ya raia kuaminishwa kwamba hakuna ufisadi na mengineyo, ila sasa raia wanaanza kuamini ufisadi ulikuwepo kama awamu zilizopita (Na wengine wakiamini ufisadi umezidi awamu zilizopita - tuvute subira).
Na sisi wengine tunaamini, waliokua wanapata taarifa za ufisadi (Hasa waandishi wa habari wa kipelelezi) walikua wakiogopa sana kuweka wazi taarifa hizo, kwa kuhofia kupotezwa kama kina Azory Gwanda au kupewa kesi za uhujumu uchumi. Kasoro waandishi mliokua mnasaka uteuzi kwa kusifia hata yasio sifika.
NOTE THAT: baada ya awamu ya 6 kuingia madarakani, ndani ya week moja tu baadhi ya magazeti (Mfano Raia Mwema) wameanza kuisaidia serikali kutoa taarifa za ufisadi unaofanyika katika taasisi za serikali, kama hela zilizotolewa hazina kuanzia January 2021 mpaka March 2021 kwa kuweka wazi mpaka Account Number za benki na kiasi cha pesa zilizokua zikitolewa bila maelezo.
Issue ya Makontena Ya Makinikia, imeanza kuchukua taswira mpya, leak zimeanza kusambaa kwamba tume ya Prof fulani baada ya kufanya uchunguzi, ili baini kwenye makontena ya mchanga ule katika kila kontena la 20Ft kulikua na 0.7% ya dhahabu na sio 7.0% kama walivyolazimishwa kuandika kwenye report na Marehemu Boss Kazi baada ya kuona alikurupuka kwenye maamuzi (For the sake of political sympathy and legal consequences).
Acacia, mtoto wa ndani ya ndoa ya Barrick alikua akilipia kodi ya 0.7% ya dhahabu katika kila kontena la 20Ft kama ilivyotakiwa kisheria, na baada ya Boss Kazi kukurupuka na kufanya maamuzi bila kujiridhisha kwa kuunda tume ya uchunguzi aliamua kuyazuia makontena yale, report ilivyotoka ya tume ilibidi data kugeuzwa na kupikwa kuwa 7.0% ya dhahabu katika kila kontena badala ya 0.7%, Acacia ndio wakakutwa wanakwepa kodi.
Tulisubiri sana, zile NOAH moja kwa kila Raia kutoka kwa Acacia, ila kimya kilitanda mpaka umauti ukamfika alietupa ahadi ile. Tuliogopa ku hoji kipindi cha uhai wake, kwani tulimzoea kwamba hapendi kubanwa kwenye kona kwa hoja zenye mashiko. Pia tulimzoea alivokua akimaanisha pindi anaongea kwa kutumia maneno kuhusiana na serikali ya awamu ya tano SERIKALI YANGU, MIMI NINATAKA, tofauti na Mama anavyotumia maneno hayo na jinsi alivyoyabadilisha SERIKALI YETU, SISI TUNATAKA.
Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kwa mwaka huu, kwanza tutakiane heri ya mwaka mpya.
Pili tupeana pole sana kwa msiba mkubwa wa kumpoteza JPM.
Tatu, nitoe pongezi kwa President Samia kuwa rais wa JMT, kuongoza awamu ya Sita, hongera sana Mama Samia, umeanza vizuri kwa kuonyesha kuwa japo una nia ya kuyaenzi mazuri yote ya mtangulizi wako, umeonyesha kila mtu ana size yake ya viatu, sio vema kuvaa viatu vya mtu yoyote, bali viatu vyako vya size yako. Magufuli anazikwa na viatu vyake, huku ametuachia only mazuri yake ambayo ndio yanabebeka, na kwasababu he was a human being, lets carry only his good luggages, but not his baggages zake on his human side.
President Samia umeonyeshwa uwezo kwanza ni kwa kulibwaga hilo zigo ulilolikuta hapo mlangoni kwako Ikulu. Pia asante kutuletea a real diplomat pale MFA na sio yule Mwalimu wangu Orator mzuri tuu, pale hapahitaji oration ni diplomacy. Mtihani pekee mkubwa kwako ni kuukubali ukweli kuhusu Corona and do the right thing. Kwenye hili nimewahi kushauri mahali na hapa nashauri tena, "Kwavile Magufuli alikuwa hapendi kupangiwa na hatukumpangia, nawaombeni members humu, tusimpangie Samia". Samia Suluhu yuko vizuri sana, anajua nini cha kufanya, tumwache afanye vile anaona inafaa, please let's give her space ".
Kabla sikaanza, naomba kutoa angalizo muhimu. Kwa vile sasa Samia ndie rais, kuna watu sasa ndio wataanza kujipendekeza kwa Samia, hivyo kila mtu atakayeandika jambo lolote zuri kumhusu Samia akaonekana ana jipendekeza. Naomba usome bandiko hili uone nilisema nini kumhusu Samia na ni lini!.
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...
www.jamiiforums.com
Baada ya hayo sasa nije kwenye topic hii.
Kwanza mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, everything that happens, it happens for a reason, hivyo lolote likitokea, hakuna ubaya kulitafakari bila kumuuliza Mungu sababu, Mungu ana sababu zake kumchukua Magufuli na pia ana sababu zake kumleta Samia, we don't question God's authority.
Japo kifo cha rais Magufuli ni kazi ya Mungu, lakini pia kuna vitu vya kibinaadamu vimechangia, kama heshima kwa marehemu, naomba nisivitaje, lakini kama kuna kitu unakijua kumhusu Magufuli na kinaweza kuwa kimechangia, na sasa unakiona kinaanzishwa mdogo mdogo kuelekezwa kwa Samia, ukiweza kukizuia, kizuie, mimi sina uwezo wa kukizuia, ila nina uwezo tuu wa kukisema ili wenye uwezo wazuie, wakiona hakuna haja ya kuzuia ni kupuuzia tuu, let it be, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu, to inform.
Siku zote nimekuwa nikihubiri humu, kauli huumba, hakuna kitu kina nguvu humu duniani kama kauli. Pia nikasema uongo ukisemwa sana na kuachwa kujirudia rudia bila kukanushwa, huwa na mtindo sio wa kuonekana kama ukweli, bali kauli hizo za uongo kuumba huo uongo in reality na kuufanya ukatokea kweli.
Moja ya majarida makubwa kabisa ya kimataifa ya kibeberu, The Economist, kwa miaka yote mitano limekuwa likiandika makala za uongo mwingi na ukweli kidogo za kumsakama rais Magufuli. Uongo huu umekuwa ukirudiwa rudiwa bila kukanushwa, na matokeo yake ukaja kugeuka ukweli, sasa Magufuli hatunaye tena, sasa tuna Samia, jarida hili sasa linajipanga kuanza na Samia!. Jee Tanzania tuendelee kuacha uongo ukisemwa kuhusu taifa letu na viongozi wetu hatu lini?!. Hivi ni hatuna uwezo wa kukanusha, au ni tunapuuza kwa hoja kuwa wasomaji wao hawatuhusu, sisi wanaotuhusu ni Watanzania tuu?!. Sasa tunaishi kwenye global world, ulimwengu wa kiganjani, uongo ukisemwa popote unaingizwa kwenye social media, kila mtu anausoma, mkisingiziwa uongo, msipo kanusha, uongo huo unaonekana ndio ukweli. Tanzania ya Samia must do something on this.
Katika toleo lake la wiki inayoanzia April 3, The Economist limeibuka na makala hii kuihusu Tanzania ya Samia. Katika toleo hili this time angalau limeanza kwa kuonyesha Tumaini Jipya Tanzania: The Economist Baada ya Kumsakama Sana Rais Magufuli, Sasa Angalau Lina Matumaini na Rais Samia!, Laanza Nae Vizuri kwa kumtaka aachane na makosa ya Magufuli kwenye kudeal na Covid!. Yakwepa kuzungumzia chianzo cha kifo kilichotangazwa rasmi, waisingizia...
Hoping for change
Tanzania’s new president surely can’t be worse than the old one
Uongo humu ni upi na una madhara gani, endelea kuandamana nami.
Huo ni mtazamo wa Gazetti la The Economist, hata raia wanaojielewa ninaamini wana mtazamo huo huo pia.
Katika kitu natamani ndugu mwandishi, siku moja uje kuanzisha thread kuichambua REPORT YA CAG ya mwaka huu bila kuwa biased kwa kusaka uteuzi. Bwana mkubwa hayupo nasi tena. Cha kusikitisha bungeni hayupo Zitto wa kuichambua vizuri hio report.
Key points;
1) ATCL kuendeshwa kwa hasara ya Billion 60 tokea 2016 - 2021.
Au ndio tuseme CAG pengine ana mhujumu Marehemu Rais Magufuli alietuaminisha kwa nguvu kubwa sana kwamba shirika linafanya kazi kwa faida, kufikia hatua shirika kupewa tuzo ya usafiri bora wa mwaka kuliko Turkey Airlines na serikali kupewa Hundi Ya Gawio La Faida na shirika???
Na je, Rais Magufuli angekua hai, angepewa hii hii report ya CAG yenye kulikosoa shirika la ATCL na TTCL, au kuna report nyingine iliopo kwenye makabati yenye mahesabu yaliopikwa ndio angepewa kumtukuza na kutuficha raia???
2) Matumizi ya hela nyingi zilizokua zinapelekwa Wizara Ya TAMISEMI na kutokujulikana matumizi yake, kufikia Rais Samia kumsimanga Waziri Selemani Jafo wazi wazi mbele ya vyombo vya habari, na kumtaka awasilishe mahesabu ya Wizara yake ndani ya muda mfupi, ila kabla hata ya Waziri Jafo ya kuwasilisha hayo mahesabu alioamrishwa na Rais, Rais akaamua kumhamisha Wizara baada ya Siku Mbili (Pengine baada ya kujua kwamba mahesabu hayo akipelekewa hata ridhika nayo kabisa).
3) TPA kukoroga mambo kwenye matumizi ya hela (Kwa viashiria vya ufisadi uliokithiri) mpaka kufikia hatua Rais Samia kumsimamisha kazi Mkurugenzi TPA na TAKUKURU kumshikilia na kufanya upelelezi wa Mabillioni kupotea kwenye account za TPA (Za BOT na NMB).
4) Matumizi ya hela HAZINA kuchotwa hovyo na wachache kwa kigezo cha matumizi (Matumizi yasio na mashiko wala sababu wala kujulikana). Kupelekea Rais Samia kumpa maelekezo CAG afanye ukaguzi upya wa matumizi ya hela zilizotoka hazina kuanzia January 2021 - March 2021.
Rais Samia kifupi, ana mashaka makubwa na matumizi ya hazina kuanzia mwaka huu kuanza (Ni aibu kwa watendaji kumfanya Rais awe ana mashaka na taasisi zao) na ana mashaka makubwa hasa na TPA.
Tulikua tunaaminishwa katika utawala ya 2015 - 2021 kulikua hakuna ufisadi kabisa, na mafisadi walikomeshwa kisawasawa sambamba na kutothubutu kuifisadi nchi. Raia walifurahi na kushangilia sana kwa hilo kwani mpambanaji wa mafisadi hatimae alipatikana kuwatetea wanyonge.
Ila katika hali ya kushangaza, na haya yaliotokea hivi karibuni kuna sintofahamu na imani imeanza kubadilika kabisa, kwamba ufisadi ulikuwepo ila "VITISHO VYA KUOGOPA KUIKOSOA NA KUIHOJI SERIKALI YA AWAMU YA 5" ndio sababu ya raia kuaminishwa kwamba hakuna ufisadi na mengineyo, ila sasa raia wanaanza kuamini ufisadi ulikuwepo kama awamu zilizopita (Na wengine wakiamini ufisadi umezidi awamu zilizopita - tuvute subira).
Na sisi wengine tunaamini, waliokua wanapata taarifa za ufisadi (Hasa waandishi wa habari wa kipelelezi) walikua wakiogopa sana kuweka wazi taarifa hizo, kwa kuhofia kupotezwa kama kina Azory Gwanda au kupewa kesi za uhujumu uchumi. Kasoro waandishi mliokua mnasaka uteuzi kwa kusifia hata yasio sifika.
NOTE THAT: baada ya awamu ya 6 kuingia madarakani, ndani ya week moja tu baadhi ya magazeti (Mfano Raia Mwema) wameanza kuisaidia serikali kutoa taarifa za ufisadi unaofanyika katika taasisi za serikali, kama hela zilizotolewa hazina kuanzia January 2021 mpaka March 2021 kwa kuweka wazi mpaka Account Number za benki na kiasi cha pesa zilizokua zikitolewa bila maelezo.
Issue ya Makontena Ya Makinikia, imeanza kuchukua taswira mpya, leak zimeanza kusambaa kwamba tume ya Prof fulani baada ya kufanya uchunguzi, ili baini kwenye makontena ya mchanga ule katika kila kontena la 20Ft kulikua na 0.7% ya dhahabu na sio 7.0% kama walivyolazimishwa kuandika kwenye report na Marehemu Boss Kazi baada ya kuona alikurupuka kwenye maamuzi (For the sake of political sympathy and legal consequences).
Acacia, mtoto wa ndani ya ndoa ya Barrick alikua akilipia kodi ya 0.7% ya dhahabu katika kila kontena la 20Ft kama ilivyotakiwa kisheria, na baada ya Boss Kazi kukurupuka na kufanya maamuzi bila kujiridhisha kwa kuunda tume ya uchunguzi aliamua kuyazuia makontena yale, report ilivyotoka ya tume ilibidi data kugeuzwa na kupikwa kuwa 7.0% ya dhahabu katika kila kontena badala ya 0.7%, Acacia ndio wakakutwa wanakwepa kodi.
Tulisubiri sana, zile NOAH moja kwa kila Raia kutoka kwa Acacia, ila kimya kilitanda mpaka umauti ukamfika alietupa ahadi ile. Tuliogopa ku hoji kipindi cha uhai wake, kwani tulimzoea kwamba hapendi kubanwa kwenye kona kwa hoja zenye mashiko. Pia tulimzoea alivokua akimaanisha pindi anaongea kwa kutumia maneno kuhusiana na serikali ya awamu ya tano SERIKALI YANGU, MIMI NINATAKA, tofauti na Mama anavyotumia maneno hayo na jinsi alivyoyabadilisha SERIKALI YETU, SISI TUNATAKA.
Inategemewa kabisa kwamba baada ya Magufuli mitazamo kama hii, ya kuonekana awamu ya Magufuli ilikuwa si chochote wala si lolote, ingejitokeza. Utawala wa Magufuli ulikuwa nira nzito kwa watu wote wanaotaka serikali iwe "easy-going" katika utendaji wake, nikidesa msemo wa jarida la Economist.
Kama kuna ufisadi ulifanyika enzi ya Magufuli hauwezi kulinganishwa na awamu iliyopita. Na wala hakuna mwenye ndoto kwamba utawala wa Magufuli ulikuwa hauna kasoro kabisa.
Na wala hakuna utawala kamilifu, kama mtawala ni mwanadamu. Ila kitu kinachotanabaisha utawala wa Magufuli kama miongoni mwa tawala bora kabisa kuwahi kuwepo katika nchi yetu, ni utawala uliotuonyesha kwamba inawezekana, na kwamba kila kitu kiko ndani yetu, hatutaangalia nje kwa msaada.
Sasa, kuna watu kama the Economist wanaojaribu kukoleza doa utawala wa Magufuli, na kujaribu kubadlilisha mtazamo wa mama ili afuate nyendo potofu. Mama ni mwanadamu, na anaweza kupotoka, ila kuna nguvu kubwa nyuma yake ambayo haitakubali dhana potofu zipate nafasi. Ameonyesha dalili za kuanza vizuri, mfano hajakubali legacies za bosi wake (Magufuli), ikiwemo mtazamo wa bosi wake kuhusu uviko19, kuwa havina maana tena. Magufuli was no saint, lakini alikuwa anajua nini watanzania wanataka.
Na somo la Magufuli litumike kama somo kwa wanasiasa wote. Kama wanataka kuwa relevant katika siasa zao, mtanzania wa kawaida ndie mteja wao nambari one. Sisi watanzania wa kawaida tuna nguvu kubwa sana kuliko mnavyofikiria. Tunataka barabara safi, huduma za afya bora, na maisha bora kwa ujumla. Pia tunataka heshima yetu kama binadamu, tuna dignity. Hatutakubali kuona viongozi wetu wanatukuza kitu kingine chochote zaidi ya dignity ya utanzania na mtanzania.
Kwanza, ahsante kwa kurejea na kuua tetesi. Wapo waliosema ulionekana na sufuria la majani ukiwa umedhoofu, wengine wakisema ulionekana na suti mpya ya bluu maeneo karibu na wizara ya elimu zamani na mkoba umeandikwa designated DC n.k. Usiwajali waosha vinywa muhimu umerudi
Kuhusu Rais Samia, tukiri kuwa anaishi na kufanya kazi katika damage iliyosababishwa na mwendazake.
Mfano sheria zote zilizowekwa haraka haraka zingine zikilenga watu na si nchi zipo na zitaendelea kuwa na nguvu na kuwa abused na watu wasio na mapenzi mema. Moja ni hii ya 'Money Laundering'
Sijui Rais Samia atafanya nini kuhusu hizi sheria za hovyo.
Pili, ''recycling' ya watu wale wale waliotufikisha hapa haitamsaidia. Lini watu hao walitubu kuacha unafiki?
Tatu, kuna mambo yatakayomkwaza Rais Samia na nasikitika kuona hajayashugulikia.
Rais alitakiwa asafishe safu ya wapiga debe na ili kujipa nafasi ya kutenda
Rais angeanza na Mwanasheria mkuu kwanza kwani kuna kitu nakiona hakipo sawa.
Chama cha Wanasheria TLS kilitoa muongozo wa katiba katika Mazingira ya dharura kama ya kifo.
TLS walieleza kukoma kwa baraza la mawaziri na viapo visivyohamishika kutoka kiongozi kwenda mwingine.
Nashangaa kinachoendelea ni tofauti kabisa na kujiuliza hivi akina Rugemeleza Nshala na wenzake hawakusoma katiba vizuri au Mwanasheria mkuu hakusoma vizuri. Kuna tatizo mahali na sijui kama Mheshimiwa ameliona!
Moja ya makosa ya Mwendazake ni kitendo cha kutoheshimu katiba na kutaka yeye awe katiba na kila kitu
Zama hizo zimepita , swali je Rais Samia atarithi makando kando ?
...
Na somo la Magufuli litumike kama somo kwa wanasiasa wote. Kama wanataka kuwa relevant katika siasa zao, mtanzania wa kawaida ndie mteja wao nambari one. Sisi watanzania wa kawaida tuna nguvu kubwa sana kuliko mnavyofikiria. Tunataka barabara safi, huduma za afya bora, na maisha bora kwa ujumla. Pia tunataka heshima yetu kama binadamu, tuna dignity. Hatutakubali kuona viongozi wetu wanatukuza kitu kingine chochote zaidi ya dignity ya utanzania na mtanzania.
Mkuu zimmerman, hitimisho lako linaakisi matumaini ya Watanzania wengi na si ya hao wachache, na hasa wanasiasa wachumia tumbo. Hawa madai yao muda wote ni demokrasia yenye Uhuru usio na mipaka na Haki pasipo kuwajibika.
Hayati Magufuli katika mengi mazuri aliyoyafanya, na kwa kauli za Rais na Makamu wake, kwa sasa, yamegusa maslahi mapana ya kitaifa, km:
√ Uwajibikaji wa viongozi wa umma kwa wananchi; na
√ Kusimamia kwa weledi rasmali za nchi, ikiwa ni pamoja na makusanyo ya kodi na matumizi yake, kwa maendeleo ya nchi.
Hayo ndio mambo mawili makuu yanayomtofautisha Hayati Magufuli na watangulizi wake, hata Marais wengi barani Afrika. Matokeo yake, tumeshuhudia utekelezaji wa miradi mikubwa, yenye kuchochea kukua kwa uchumi, kwa fedha za ndani. Tumethibitishiwa kuwaTanzania ni tajiri hatuhitaji kutembeza bakuli la ombaomba.
Nafikiri ulitizame kivingine. Kwamba rais SSH anaishi na kufanya kazi katika positive image iliyosababishwa na mwendazake.
Wakati Kikwete anaingia madarani alisema anafurahi kuingia madarakani akirithi nchi yenye uchumi imara. Sasa rais Samia, japo hajasema, anaingia madarakani huku akiwa amerithi nchi yenye uhuru kamili, ikiwemo wa kiuchumi.
Leo hii hakuna mtanzania anayefikiri kwamba maendeleo ya nchi yake yanategemea kudra au msaada nje ya nchi yake.
Na nimemsikia Mpango akimwagiza Mwigulu kuongeza wigo wa kukusanya kodi hadi wastani wa trillion 2 kwa mwezi. Si mwanzo mbaya!
We Pascal Mayalla unajua wazi kuwa wenye akili ya kujiongeza walikuwa hawamkubali marehemu.
Marehemu aliwapenda wajinga wajinga... Unakumbuka lile swali lako kuhusu ukuu wa mihimili mitatu ya dola? Kama ulipewa majibu na ukaridhika naomba uwalaumu The Economist
Mkuu zimmerman, hitimisho lako linaakisi matumaini ya Watanzania wengi na si ya hao wachache, na hasa wanasiasa wachumia tumbo. Hawa madai yao muda wote ni demokrasia yenye Uhuru usio na mipaka na Haki pasipo kuwajibika.
Hayati Magufuli katika mengi mazuri aliyoyafanya, na kwa kauli za Rais na Makamu wake, kwa sasa, yamegusa maslahi mapana ya kitaifa, km:
√ Uwajibikaji wa viongozi wa umma kwa wananchi; na
√ Kusimamia kwa weledi rasmali za nchi, ikiwa ni pamoja na makusanyo ya kodi na matumizi yake, kwa maendeleo ya nchi.
Hayo ndio mambo mawili makuu yanayomtofautisha Hayati Magufuli na watangulizi wake, hata Marais wengi barani Afrika. Matokeo yake, tumeshuhudia utekelezaji wa miradi mikubwa, yenye kuchochea kukua kwa uchumi, kwa fedha za ndani. Tumethibitishiwa kuwaTanzania ni tajiri hatuhitaji kutembeza bakuli la ombaomba.
Nafurahi kuona kwamba kuna watanzania wengi wenye mtazamo kama wetu, kama wewe.
Kwa bahati mbaya baadhi ya watanzania wenzetu hawajatembea nchi za wenzetu, au kuinteract na watu wa nchi za magaharibi kupata ladha ya nini wanasema, kuwaza au kufanya kuhusu nchi zetu. Kama wangefanikiwa, bila shaka wangekuwa upande wa Magufuli.
Mfano, wazungu wengi wanafikiria kwamba waafrika ni watu wenye IQ ndogo sana, na hatuwezi kuendelea sisi wenyewe hivyo tunahitaji either kusaidiwa au kutawaliwa. Wamerank IQ za ethniticities kwamba wa kwanza ni Semitics na Asians (wayahudi na jamii ya wachina wakiwemo wahindi na wachina), wa pili ni Caucasians ( wazungu), na wa mwisho ni Africans.
Sasa mimi huchukia sana ninapoona baadhi ya watanzania na waafrika wenzetu kwa ujumla wanavyoonyesha live kwamba kweli race yetu pengine ni kweli ya mwisho kwenye IQ. Kwa mfano, ninapoona baadhi ya watanzania wenzetu wanavyopotezwa na narratives za wazungu kiasi cha kubeba kila kitu kinachoandikwa au kusimuliwa na vyombo vya habari vya wazungu kuhusu nchi zetu, au kufikia levels za kununuliwa na wazungu ili kufifisha juhudi za nchi yetu kujikwamua, huwa najiwazia kwamba nchi zetu zina watu wenye IQ ndogo.
Lakini pia natiwa moyo na watu kama wewe kwamba, hapana, nchi zetu bado zina watu ambao Mungu anaweza kuwatumia kuleta uamsho. After all binadamu wote ni sawa, na Mungu wetu ni mmoja, dunia yetu ni moja na Mungu hana upendeleo.
Kutoa data za corrona zinasaidia nini mataifa yanayotoa data corrona mbona ndo imepamba moto? Lockdown,vaccine,mask mbona hazijawaokoa?
Rais afuate msimamo uleule siyo kutaka kuwafurahisha mabeberu.
Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kwa mwaka huu, kwanza tutakiane heri ya mwaka mpya.
Pili tupeana pole sana kwa msiba mkubwa wa kumpoteza JPM.
Tatu, nitoe pongezi kwa President Samia kuwa rais wa JMT, kuongoza awamu ya Sita, hongera sana Mama Samia, umeanza vizuri kwa kuonyesha kuwa japo una nia ya kuyaenzi mazuri yote ya mtangulizi wako, umeonyesha kila mtu ana size yake ya viatu, sio vema kuvaa viatu vya mtu yoyote, bali viatu vyako vya size yako. Magufuli anazikwa na viatu vyake, huku ametuachia only mazuri yake ambayo ndio yanabebeka, na kwasababu he was a human being, lets carry only his good luggages, but not his baggages zake on his human side.
President Samia umeonyeshwa uwezo kwanza ni kwa kulibwaga hilo zigo ulilolikuta hapo mlangoni kwako Ikulu. Pia asante kutuletea a real diplomat pale MFA na sio yule Mwalimu wangu Orator mzuri tuu, pale hapahitaji oration ni diplomacy. Mtihani pekee mkubwa kwako ni kuukubali ukweli kuhusu Corona and do the right thing. Kwenye hili nimewahi kushauri mahali na hapa nashauri tena, "Kwavile Magufuli alikuwa hapendi kupangiwa na hatukumpangia, nawaombeni members humu, tusimpangie Samia". Samia Suluhu yuko vizuri sana, anajua nini cha kufanya, tumwache afanye vile anaona inafaa, please let's give her space ".
Kabla sikaanza, naomba kutoa angalizo muhimu. Kwa vile sasa Samia ndie rais, kuna watu sasa ndio wataanza kujipendekeza kwa Samia, hivyo kila mtu atakayeandika jambo lolote zuri kumhusu Samia akaonekana ana jipendekeza. Naomba usome bandiko hili uone nilisema nini kumhusu Samia na ni lini!.
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...
www.jamiiforums.com
Baada ya hayo sasa nije kwenye topic hii.
Kwanza mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, everything that happens, it happens for a reason, hivyo lolote likitokea, hakuna ubaya kulitafakari bila kumuuliza Mungu sababu, Mungu ana sababu zake kumchukua Magufuli na pia ana sababu zake kumleta Samia, we don't question God's authority.
Japo kifo cha rais Magufuli ni kazi ya Mungu, lakini pia kuna vitu vya kibinaadamu vimechangia, kama heshima kwa marehemu, naomba nisivitaje, lakini kama kuna kitu unakijua kumhusu Magufuli na kinaweza kuwa kimechangia, na sasa unakiona kinaanzishwa mdogo mdogo kuelekezwa kwa Samia, ukiweza kukizuia, kizuie, mimi sina uwezo wa kukizuia, ila nina uwezo tuu wa kukisema ili wenye uwezo wazuie, wakiona hakuna haja ya kuzuia ni kupuuzia tuu, let it be, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu, to inform.
Siku zote nimekuwa nikihubiri humu, kauli huumba, hakuna kitu kina nguvu humu duniani kama kauli. Pia nikasema uongo ukisemwa sana na kuachwa kujirudia rudia bila kukanushwa, huwa na mtindo sio wa kuonekana kama ukweli, bali kauli hizo za uongo kuumba huo uongo in reality na kuufanya ukatokea kweli.
Moja ya majarida makubwa kabisa ya kimataifa ya kibeberu, The Economist, kwa miaka yote mitano limekuwa likiandika makala za uongo mwingi na ukweli kidogo za kumsakama rais Magufuli. Uongo huu umekuwa ukirudiwa rudiwa bila kukanushwa, na matokeo yake ukaja kugeuka ukweli, sasa Magufuli hatunaye tena, sasa tuna Samia, jarida hili sasa linajipanga kuanza na Samia!. Jee Tanzania tuendelee kuacha uongo ukisemwa kuhusu taifa letu na viongozi wetu hatu lini?!. Hivi ni hatuna uwezo wa kukanusha, au ni tunapuuza kwa hoja kuwa wasomaji wao hawatuhusu, sisi wanaotuhusu ni Watanzania tuu?!. Sasa tunaishi kwenye global world, ulimwengu wa kiganjani, uongo ukisemwa popote unaingizwa kwenye social media, kila mtu anausoma, mkisingiziwa uongo, msipo kanusha, uongo huo unaonekana ndio ukweli. Tanzania ya Samia must do something on this.
Katika toleo lake la wiki inayoanzia April 3, The Economist limeibuka na makala hii kuihusu Tanzania ya Samia. Katika toleo hili this time angalau limeanza kwa kuonyesha Tumaini Jipya Tanzania: The Economist Baada ya Kumsakama Sana Rais Magufuli, Sasa Angalau Lina Matumaini na Rais Samia!, Laanza Nae Vizuri kwa kumtaka aachane na makosa ya Magufuli kwenye kudeal na Covid!. Yakwepa kuzungumzia chianzo cha kifo kilichotangazwa rasmi, waisingizia...
Hoping for change
Tanzania’s new president surely can’t be worse than the old one
Uongo humu ni upi na una madhara gani, endelea kuandamana nami.
Nafikiri ulitizame kivingine. Kwamba rais SSH anaishi na kufanya kazi katika positive image iliyosababishwa na mwendazake.
Wakati Kikwete anaingia madarani alisema anafurahi kuingia madarakani akirithi nchi yenye uchumi imara. Sasa rais Samia, japo hajasema, anaingia madarakani huku akiwa amerithi nchi yenye uhuru kamili, ikiwemo wa kiuchumi.
Leo hii hakuna mtanzania anayefikiri kwamba maendeleo ya nchi yake yanategemea kudra au msaada nje ya nchi yake.
Na nimemsikia Mpango akimwagiza Mwigulu kuongeza wigo wa kukusanya kodi hadi wastani wa trillion 2 kwa mwezi. Si mwanzo mbaya!
Tunawaza tofauti. Mimi nawaza maslahi ya nchi kwa ujumla wake. Yaani, ni kitu gani au sera gani ineleta impact ya kiuchumi kwa watanzania kwa ujumla wao, wewe unawaza mtu.
Sheria ya mihimili kutoshtakiwa haina shida. Tatizo lako unawaza mtu binafsi badala ya mhimili. Haina shida mhimili wa uraisi kutoshtakiwa. Urais ni alama ya utaifa, kushtaki urais ni kujishtaki kama taifa. Rais, kama mtu, akiwa mbovu kuna solutions zake. Ya kwanza ni kuwa voted out of the office. Ya pili ni kumaliza muhula na kusepa zake.
Mwinyi na Kikwete urais wao haukuwaridhisha watu wengi. Lakini walimaliza ngwe zao na wamebaki historia na funzo ya nini rais hapaswi kufanya. Trump amemaliza urais wake na akawa voted out. Wamejaribu kumimpeach lakini bila shaka kile kilikuwa kiinimacho. La kuzingatia ni kwamba tukifahamu maslahi ya nchi ni yepi, tutaweza kutofautisha kati ya mtu na kile anachokisimamia au kukihubiri.
Utapangiwa utake usitake. Hatuishi mbinguni, ugonjwa huu ni hatari. Ukikupata ndio utaujua au kuusahau moja kwa moja. Tatizo wewe hutaki kukubali ukweli. Ukimwi ukiupata ni wewe tu lakini huyu corona anakumaliza wewe au mimi na familia zetu. Tuendelee kuchukua tahadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.