Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sawa mkuuMfumo imara siyo mtu mmoja, ajiimarishe awe mbinafsi na imara!
Everyday is Saturday............................... 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuMfumo imara siyo mtu mmoja, ajiimarishe awe mbinafsi na imara!
Everyday is Saturday............................... 😎
Alexander wewe ni the great [emoji1433][emoji1433]Huo ni mtazamo wa Gazetti la The Economist, hata raia wanaojielewa ninaamini wana mtazamo huo huo pia.
Katika kitu natamani ndugu mwandishi, siku moja uje kuanzisha thread kuichambua REPORT YA CAG ya mwaka huu bila kuwa biased kwa kusaka uteuzi. Bwana mkubwa hayupo nasi tena. Cha kusikitisha bungeni hayupo Zitto wa kuichambua vizuri hio report.
Key points;
1) ATCL kuendeshwa kwa hasara ya Billion 60 tokea 2016 - 2021.
Au ndio tuseme CAG pengine ana mhujumu Marehemu Rais Magufuli alietuaminisha kwa nguvu kubwa sana kwamba shirika linafanya kazi kwa faida, kufikia hatua shirika kupewa tuzo ya usafiri bora wa mwaka kuliko Turkey Airlines na serikali kupewa Hundi Ya Gawio La Faida na shirika???
Na je, Rais Magufuli angekua hai, angepewa hii hii report ya CAG yenye kulikosoa shirika la ATCL na TTCL, au kuna report nyingine iliopo kwenye makabati yenye mahesabu yaliopikwa ndio angepewa kumtukuza na kutuficha raia???
2) Matumizi ya hela nyingi zilizokua zinapelekwa Wizara Ya TAMISEMI na kutokujulikana matumizi yake, kufikia Rais Samia kumsimanga Waziri Selemani Jafo wazi wazi mbele ya vyombo vya habari, na kumtaka awasilishe mahesabu ya Wizara yake ndani ya muda mfupi, ila kabla hata ya Waziri Jafo ya kuwasilisha hayo mahesabu alioamrishwa na Rais, Rais akaamua kumhamisha Wizara baada ya Siku Mbili (Pengine baada ya kujua kwamba mahesabu hayo akipelekewa hata ridhika nayo kabisa).
3) TPA kukoroga mambo kwenye matumizi ya hela (Kwa viashiria vya ufisadi uliokithiri) mpaka kufikia hatua Rais Samia kumsimamisha kazi Mkurugenzi TPA na TAKUKURU kumshikilia na kufanya upelelezi wa Mabillioni kupotea kwenye account za TPA (Za BOT na NMB).
4) Matumizi ya hela HAZINA kuchotwa hovyo na wachache kwa kigezo cha matumizi (Matumizi yasio na mashiko wala sababu wala kujulikana). Kupelekea Rais Samia kumpa maelekezo CAG afanye ukaguzi upya wa matumizi ya hela zilizotoka hazina kuanzia January 2021 - March 2021.
5) Mikopo mingi sana kuchukuliwa na serikali kimya kimya bila kupitia bungeni, mikopo hio ya kimya kimya mingine bila hata kupitia katika Account za serikali na hela kuwa deposited kwenye Account za contractors na wauzaji wa ndege. Kitu kilicho sababishia serikali kuwa na deni zaidi kwa ukubwa ndani ya miaka 5 kuliko miaka 10 ya Kikwete.
Rais Samia kifupi, ana mashaka makubwa na matumizi ya hazina kuanzia mwaka huu kuanza (Ni aibu kwa watendaji kumfanya Rais awe ana mashaka na taasisi zao) na ana mashaka makubwa hasa na TPA.
Tulikua tunaaminishwa katika utawala ya 2015 - 2021 kulikua hakuna ufisadi kabisa, na mafisadi walikomeshwa kisawasawa sambamba na kutothubutu kuifisadi nchi. Raia walifurahi na kushangilia sana kwa hilo kwani mpambanaji wa mafisadi hatimae alipatikana kuwatetea wanyonge.
Ila katika hali ya kushangaza, na haya yaliotokea hivi karibuni kuna sintofahamu na imani imeanza kubadilika kabisa, kwamba ufisadi ulikuwepo ila "VITISHO VYA KUOGOPA KUIKOSOA NA KUIHOJI SERIKALI YA AWAMU YA 5" ndio sababu ya raia kuaminishwa kwamba hakuna ufisadi na mengineyo, ila sasa raia wanaanza kuamini ufisadi ulikuwepo kama awamu zilizopita (Na wengine wakiamini ufisadi umezidi awamu zilizopita - tuvute subira).
Na sisi wengine tunaamini, waliokua wanapata taarifa za ufisadi (Hasa waandishi wa habari wa kipelelezi) walikua wakiogopa sana kuweka wazi taarifa hizo, kwa kuhofia kupotezwa kama kina Azory Gwanda au kupewa kesi za uhujumu uchumi. Kasoro waandishi mliokua mnasaka uteuzi kwa kusifia hata yasio sifika.
NOTE THAT: baada ya awamu ya 6 kuingia madarakani, ndani ya week moja tu baadhi ya magazeti (Mfano Raia Mwema) wameanza kuisaidia serikali kutoa taarifa za ufisadi unaofanyika katika taasisi za serikali, kama hela zilizotolewa hazina kuanzia January 2021 mpaka March 2021 kwa kuweka wazi mpaka Account Number za benki na kiasi cha pesa zilizokua zikitolewa bila maelezo.
Issue ya Makontena Ya Makinikia, imeanza kuchukua taswira mpya, leak zimeanza kusambaa kwamba tume ya Prof fulani baada ya kufanya uchunguzi, ili baini kwenye makontena ya mchanga ule katika kila kontena la 20Ft kulikua na 0.7% ya dhahabu na sio 7.0% kama walivyolazimishwa kuandika kwenye report na Marehemu Boss Kazi baada ya kuona alikurupuka kwenye maamuzi (For the sake of political sympathy and legal consequences).
Acacia, mtoto wa ndani ya ndoa ya Barrick alikua akilipia kodi ya 0.7% ya dhahabu katika kila kontena la 20Ft kama ilivyotakiwa kisheria, na baada ya Boss Kazi kukurupuka na kufanya maamuzi bila kujiridhisha kwa kuunda tume ya uchunguzi aliamua kuyazuia makontena yale, report ilivyotoka ya tume ilibidi data kugeuzwa na kupikwa kuwa 7.0% ya dhahabu katika kila kontena badala ya 0.7%, Acacia ndio wakakutwa wanakwepa kodi.
Tulisubiri sana, zile NOAH moja kwa kila Raia kutoka kwa Acacia, ila kimya kilitanda mpaka umauti ukamfika alietupa ahadi ile. Tuliogopa ku hoji kipindi cha uhai wake, kwani tulimzoea kwamba hapendi kubanwa kwenye kona kwa hoja zenye mashiko. Pia tulimzoea alivokua akimaanisha pindi anaongea kwa kutumia maneno kuhusiana na serikali ya awamu ya tano SERIKALI YANGU, MIMI NINATAKA, tofauti na Mama anavyotumia maneno hayo na jinsi alivyoyabadilisha SERIKALI YETU, SISI TUNATAKA.
Rasilimali gani alizodhibiti wizi kumbe mijitu mijinga bado mpoUbaya wa Magufuli ulikuwa kwa wakina nani? Yaani kudhibiti uwizi wa rasilimali zetu kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo ndio ubaya wake? Hata mjaribu vipi kumchafua dunia imeshashuhudia kuwa mwamba alikuwa ni kipenzi cha watanzinia kutokana na kazi zake.
Acheni hizi kwanini aendeleze Legacy ya Magufuli kwani yeye hana akili mpaka atumie akili ya mtangulizi wakePaskali bandiko lako kuhusu makala ya "The Economist" haina uongo bali kumtaka/kumwelekeza Rais SSH nini cha kufanya ili malengo yao yatimie. Madhara yake ni pale Rais atakapocheza ngoma yao hiyo.
Nina imani kubwa Rais SSH ataendeleza "legacy" ya Hayati Magufuli kuelekea Tanzania mpya, ambayo mtangulizi wake aliitazamia. Kwamba amemteua Dr Mpango kuwa Makamu wake, ni ushahidi wa hoja yangu.
Ila Magufuli kaharibu sana akili zenu hii Tanzania ya Kabudi kwenda ufaransa kuomba Hela ndio unasema Nchi Una uchumi huru kaaahNafikiri ulitizame kivingine. Kwamba rais SSH anaishi na kufanya kazi katika positive image iliyosababishwa na mwendazake.
Wakati Kikwete anaingia madarani alisema anafurahi kuingia madarakani akirithi nchi yenye uchumi imara. Sasa rais Samia, japo hajasema, anaingia madarakani huku akiwa amerithi nchi yenye uhuru kamili, ikiwemo wa kiuchumi.
Leo hii hakuna mtanzania anayefikiri kwamba maendeleo ya nchi yake yanategemea kudra au msaada nje ya nchi yake.
Na nimemsikia Mpango akimwagiza Mwigulu kuongeza wigo wa kukusanya kodi hadi wastani wa trillion 2 kwa mwezi. Si mwanzo mbaya!
A Titan in our JF fraternity.Wanabodi,
Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kwa mwaka huu, kwanza tutakiane heri ya mwaka mpya.
Pili tupeana pole sana kwa msiba mkubwa wa kumpoteza JPM.
Tatu, nitoe pongezi kwa President Samia kuwa rais wa JMT, kuongoza awamu ya Sita, hongera sana Mama Samia, umeanza vizuri kwa kuonyesha kuwa japo una nia ya kuyaenzi mazuri yote ya mtangulizi wako, umeonyesha kila mtu ana size yake ya viatu, sio vema kuvaa viatu vya mtu yoyote, bali viatu vyako vya size yako. Magufuli anazikwa na viatu vyake, huku ametuachia only mazuri yake ambayo ndio yanabebeka, na kwasababu he was a human being, lets carry only his good luggages, but not his baggages zake on his human side.
President Samia umeonyeshwa uwezo kwanza ni kwa kulibwaga hilo zigo ulilolikuta hapo mlangoni kwako Ikulu. Pia asante kutuletea a real diplomat pale MFA na sio yule Mwalimu wangu Orator mzuri tuu, pale hapahitaji oration ni diplomacy. Mtihani pekee mkubwa kwako ni kuukubali ukweli kuhusu Corona and do the right thing. Kwenye hili nimewahi kushauri mahali na hapa nashauri tena, "Kwavile Magufuli alikuwa hapendi kupangiwa na hatukumpangia, nawaombeni members humu, tusimpangie Samia". Samia Suluhu yuko vizuri sana, anajua nini cha kufanya, tumwache afanye vile anaona inafaa, please let's give her space ".
Kabla sikaanza, naomba kutoa angalizo muhimu. Kwa vile sasa Samia ndie rais, kuna watu sasa ndio wataanza kujipendekeza kwa Samia, hivyo kila mtu atakayeandika jambo lolote zuri kumhusu Samia akaonekana ana jipendekeza. Naomba usome bandiko hili uone nilisema nini kumhusu Samia na ni lini!.
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
Baada ya hayo sasa nije kwenye topic hii.
Kwanza mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, everything that happens, it happens for a reason, hivyo lolote likitokea, hakuna ubaya kulitafakari bila kumuuliza Mungu sababu, Mungu ana sababu zake kumchukua Magufuli na pia ana sababu zake kumleta Samia, we don't question God's authority.
Japo kifo cha rais Magufuli ni kazi ya Mungu, lakini pia kuna vitu vya kibinaadamu vimechangia, kama heshima kwa marehemu, naomba nisivitaje, lakini kama kuna kitu unakijua kumhusu Magufuli na kinaweza kuwa kimechangia, na sasa unakiona kinaanzishwa mdogo mdogo kuelekezwa kwa Samia, ukiweza kukizuia, kizuie, mimi sina uwezo wa kukizuia, ila nina uwezo tuu wa kukisema ili wenye uwezo wazuie, wakiona hakuna haja ya kuzuia ni kupuuzia tuu, let it be, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu, to inform.
Siku zote nimekuwa nikihubiri humu, kauli huumba, hakuna kitu kina nguvu humu duniani kama kauli. Pia nikasema uongo ukisemwa sana na kuachwa kujirudia rudia bila kukanushwa, huwa na mtindo sio wa kuonekana kama ukweli, bali kauli hizo za uongo kuumba huo uongo in reality na kuufanya ukatokea kweli.
Moja ya majarida makubwa kabisa ya kimataifa ya kibeberu, The Economist, kwa miaka yote mitano limekuwa likiandika makala za uongo mwingi na ukweli kidogo za kumsakama rais Magufuli. Uongo huu umekuwa ukirudiwa rudiwa bila kukanushwa, na matokeo yake ukaja kugeuka ukweli, sasa Magufuli hatunaye tena, sasa tuna Samia, jarida hili sasa linajipanga kuanza na Samia!. Jee Tanzania tuendelee kuacha uongo ukisemwa kuhusu taifa letu na viongozi wetu hatu lini?!. Hivi ni hatuna uwezo wa kukanusha, au ni tunapuuza kwa hoja kuwa wasomaji wao hawatuhusu, sisi wanaotuhusu ni Watanzania tuu?!. Sasa tunaishi kwenye global world, ulimwengu wa kiganjani, uongo ukisemwa popote unaingizwa kwenye social media, kila mtu anausoma, mkisingiziwa uongo, msipo kanusha, uongo huo unaonekana ndio ukweli. Tanzania ya Samia must do something on this.
Katika toleo lake la wiki inayoanzia April 3, The Economist limeibuka na makala hii kuihusu Tanzania ya Samia. Katika toleo hili this time angalau limeanza kwa kuonyesha Tumaini Jipya Tanzania: The Economist Baada ya Kumsakama Sana Rais Magufuli, Sasa Angalau Lina Matumaini na Rais Samia!, Laanza Nae Vizuri kwa kumtaka aachane na makosa ya Magufuli kwenye kudeal na Covid!. Yakwepa kuzungumzia chianzo cha kifo kilichotangazwa rasmi, waisingizia...
![]()
Hoping for change
Tanzania’s new president surely can’t be worse than the old one
Uongo humu ni upi na una madhara gani, endelea kuandamana nami.
Paskali
Ukiona mabeberu wanamsifia kwa dhati kabisa rais wako,basi jua kwamba rais wako hafai,ukiona mabeberu wanamchukia kwa dhati kabisa rais wako,basi tambua kwamba rais wako anafaa....usichukulie mambo juu juu ndugu yangu,fikiri kwa mapana zaidi...Wanabodi,
Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kwa mwaka huu, kwanza tutakiane heri ya mwaka mpya.
Pili tupeana pole sana kwa msiba mkubwa wa kumpoteza JPM.
Tatu, nitoe pongezi kwa President Samia kuwa rais wa JMT, kuongoza awamu ya Sita, hongera sana Mama Samia, umeanza vizuri kwa kuonyesha kuwa japo una nia ya kuyaenzi mazuri yote ya mtangulizi wako, umeonyesha kila mtu ana size yake ya viatu, sio vema kuvaa viatu vya mtu yoyote, bali viatu vyako vya size yako. Magufuli anazikwa na viatu vyake, huku ametuachia only mazuri yake ambayo ndio yanabebeka, na kwasababu he was a human being, lets carry only his good luggages, but not his baggages zake on his human side.
President Samia umeonyeshwa uwezo kwanza ni kwa kulibwaga hilo zigo ulilolikuta hapo mlangoni kwako Ikulu. Pia asante kutuletea a real diplomat pale MFA na sio yule Mwalimu wangu Orator mzuri tuu, pale hapahitaji oration ni diplomacy. Mtihani pekee mkubwa kwako ni kuukubali ukweli kuhusu Corona and do the right thing. Kwenye hili nimewahi kushauri mahali na hapa nashauri tena, "Kwavile Magufuli alikuwa hapendi kupangiwa na hatukumpangia, nawaombeni members humu, tusimpangie Samia". Samia Suluhu yuko vizuri sana, anajua nini cha kufanya, tumwache afanye vile anaona inafaa, please let's give her space ".
Kabla sikaanza, naomba kutoa angalizo muhimu. Kwa vile sasa Samia ndie rais, kuna watu sasa ndio wataanza kujipendekeza kwa Samia, hivyo kila mtu atakayeandika jambo lolote zuri kumhusu Samia akaonekana ana jipendekeza. Naomba usome bandiko hili uone nilisema nini kumhusu Samia na ni lini!.
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
Baada ya hayo sasa nije kwenye topic hii.
Kwanza mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, everything that happens, it happens for a reason, hivyo lolote likitokea, hakuna ubaya kulitafakari bila kumuuliza Mungu sababu, Mungu ana sababu zake kumchukua Magufuli na pia ana sababu zake kumleta Samia, we don't question God's authority.
Japo kifo cha rais Magufuli ni kazi ya Mungu, lakini pia kuna vitu vya kibinaadamu vimechangia, kama heshima kwa marehemu, naomba nisivitaje, lakini kama kuna kitu unakijua kumhusu Magufuli na kinaweza kuwa kimechangia, na sasa unakiona kinaanzishwa mdogo mdogo kuelekezwa kwa Samia, ukiweza kukizuia, kizuie, mimi sina uwezo wa kukizuia, ila nina uwezo tuu wa kukisema ili wenye uwezo wazuie, wakiona hakuna haja ya kuzuia ni kupuuzia tuu, let it be, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu, to inform.
Siku zote nimekuwa nikihubiri humu, kauli huumba, hakuna kitu kina nguvu humu duniani kama kauli. Pia nikasema uongo ukisemwa sana na kuachwa kujirudia rudia bila kukanushwa, huwa na mtindo sio wa kuonekana kama ukweli, bali kauli hizo za uongo kuumba huo uongo in reality na kuufanya ukatokea kweli.
Moja ya majarida makubwa kabisa ya kimataifa ya kibeberu, The Economist, kwa miaka yote mitano limekuwa likiandika makala za uongo mwingi na ukweli kidogo za kumsakama rais Magufuli. Uongo huu umekuwa ukirudiwa rudiwa bila kukanushwa, na matokeo yake ukaja kugeuka ukweli, sasa Magufuli hatunaye tena, sasa tuna Samia, jarida hili sasa linajipanga kuanza na Samia!. Jee Tanzania tuendelee kuacha uongo ukisemwa kuhusu taifa letu na viongozi wetu hatu lini?!. Hivi ni hatuna uwezo wa kukanusha, au ni tunapuuza kwa hoja kuwa wasomaji wao hawatuhusu, sisi wanaotuhusu ni Watanzania tuu?!. Sasa tunaishi kwenye global world, ulimwengu wa kiganjani, uongo ukisemwa popote unaingizwa kwenye social media, kila mtu anausoma, mkisingiziwa uongo, msipo kanusha, uongo huo unaonekana ndio ukweli. Tanzania ya Samia must do something on this.
Katika toleo lake la wiki inayoanzia April 3, The Economist limeibuka na makala hii kuihusu Tanzania ya Samia. Katika toleo hili this time angalau limeanza kwa kuonyesha Tumaini Jipya Tanzania: The Economist Baada ya Kumsakama Sana Rais Magufuli, Sasa Angalau Lina Matumaini na Rais Samia!, Laanza Nae Vizuri kwa kumtaka aachane na makosa ya Magufuli kwenye kudeal na Covid!. Yakwepa kuzungumzia chianzo cha kifo kilichotangazwa rasmi, waisingizia...
![]()
Hoping for change
Tanzania’s new president surely can’t be worse than the old one
Uongo humu ni upi na una madhara gani, endelea kuandamana nami.
Paskali
Katiba ni maandishi tu yaliyoandikwa na mwanadamu,maandishi hayana uwezo wa kutenda,atendaye ni binadamu....Naona dawa zimekusaidia kidogo mkuu, pia huyu mama hatafanya chochote cha ajabu sababu ya mfumo mbovu wa CCM pamoja na katiba yetu ikichangizwa na NEC ya ajabu ya Mahera, tatizo la nchi yetu hatuna mfumo imara isipokuwa tunategemea watu imara kama vile tuna mkataba na MUNGU, mwendazake watu walimchukia sababu ya tabia zake za kujiona yeye ni MUNGU mtu na nchi ilikuwa mali yake binafsi, ndiyo maana wapambe wake akina Bashiru leo wamevuna aibu kubwa sn. Tutengeneze mfumo imara na siyo mtu imara.
Acha kuniletea mawazo ya kijinga, Marekani wangekuwa kama huku kwetu Trump angekubali kuachia Ikulu? mahakama zao zipo huru, leo hii Ndugai anafanya anachotaka anavunja katiba na sheria waziwazi lakini amejiwekea kinga ya kutoshitakiwa, umeona Marekani kuna mtu hashitakiwi? mwisho nadhani beberu ni bibi yako kama sikoseiKatiba ni maandishi tu yaliyoandikwa na mwanadamu,maandishi hayana uwezo wa kutenda,atendaye ni binadamu....
Katiba ni upuuzi tu kama utampata kiongozi anayejielewa....maana atatenda kulingana na hali ilivyo kwa wakati huo....
Dini kama uislam na ukristo zina katiba zake ambazo ni quran na biblia...lakini leo hii watu wenye dini hizi ndio wanaofanya maovu kupindukia kuliko wasio na dini....
Je,haikuandikwa kwamba usizini? Je wewe hujawahi kuvunja katiba/yaani msahafu wako kwa kuzini?...hujawahi kutamani kisicho chako?...hujawahi kusema wongo?....huoni kama umevunja katiba yako kama muislam/mkristo?....sasa kama wana dini wanavunja katiba aliyoiweka Mungu wao,Je,kuna kitu gani cha kuogopwa zaidi ya Mungu?
Katiba is Bullshit like any other bullshit!
Marekani wenyewe hawafuati katiba yao kwenye mambo mengi sana ya muhimu....
Kwani wewe hujui kama kuundwa kwa FED ni kinyume na katiba ya Marekani?Sasa kama ni hivyo katiba ina umuhimu gani kama inaweza kukiukwa pale viongozi wanapoamua kufanya hivyo?
Acheni kufikiri kwa kutumia mawazo ya kibeberu,mabeberu wanatufanya tufikiri kwa tune yao ili tucheze mziki wao na tusahau wa kwetu.
Ni wachache sana humu wana level kama yako ya uelewa wa mambo....watu wanadhani habari za kweli zinaptikana BBC,FOX NEWS,ALJAZEERA au CNN...Unajua Paskal,the Economist ni mali ya akina Rothschild,ambao ndio wanao own Mossad,CIA,MI6 nk.Nimetaja Mossad kwanza kwa sababu ya uhusiano wao na Glencore na possibly kifo cha Rais wetu.
Unajua,angering Glencore in particular is a risky business. The commodities giant was originally founded by Marc Rich, an infamous asset for Israel’s Mossad.Sasa Magufuli aliwanyang'anya Glencore rights za Nickel mining at Kabanga,venture ambayo macho yote ya Glencore yalielekezwa hapo.Kwa ninavyo wajua Mossad,that was an extremely dangerous undertaking for Magufuli.Hawa jamaa wao kutengeneza cardiac arrest with or without a pace maker sio kazi sana kwao.
Sasa hawa wanapozungumza positively kuhusu Mama Samia,wanafanya hivyo kwa kudhani kwamba labda ata-reverse misimamo ya Comrade Magufuli kuhusu resources na C-19 hasa wakizingatia mahusiano ya nyuma.Kama hayo yatatokea sijui,ngoja tusubiri.
Unaweza kuniambia wale waliovunja katiba ya Marekani kwa kuunda FED walishtakiwa na nani?Acha kuniletea mawazo ya kijinga, Marekani wangekuwa kama huku kwetu Trump angekubali kuachia Ikulu? mahakama zao zipo huru, leo hii Ndugai anafanya anachotaka anavunja katiba na sheria waziwazi lakini amejiwekea kinga ya kutoshitakiwa, umeona Marekani kuna mtu hashitakiwi? mwisho nadhani beberu ni bibi yako kama sikosei
Swali juu ya swali: maendeleo ya Marekani yanafanana na ya Tanzania?Unaweza kuniambia wale waliovunja katiba ya Marekani kwa kuunda FED walishtakiwa na nani?
Swali moja hili linakutosha kupima uelewa wako.
Let's join hands mkuu basi kujaribu kutoa elimu.I know it's like a drop in the ocean,but something is better than nothing.Ni wachache sana humu wana level kama yako ya uelewa wa mambo....watu wanadhani habari za kweli zinaptikana BBC,FOX NEWS,ALJAZEERA au CNN...
Hongera sana kwa uelewa wako mpana na very sensitive.Ni wachache tu ndio wanaweza kuelewa usemacho...najua wengine watakimbilia tu kusema hii ni "conspiracy" ..ha ha haaa
Ukiona wazujgu wanakufurahia ujue lazima wana jambo laoWanabodi,
Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kwa mwaka huu, kwanza tutakiane heri ya mwaka mpya.
Pili tupeana pole sana kwa msiba mkubwa wa kumpoteza JPM.
Tatu, nitoe pongezi kwa President Samia kuwa rais wa JMT, kuongoza awamu ya Sita, hongera sana Mama Samia, umeanza vizuri kwa kuonyesha kuwa japo una nia ya kuyaenzi mazuri yote ya mtangulizi wako, umeonyesha kila mtu ana size yake ya viatu, sio vema kuvaa viatu vya mtu yoyote, bali viatu vyako vya size yako. Magufuli anazikwa na viatu vyake, huku ametuachia only mazuri yake ambayo ndio yanabebeka, na kwasababu he was a human being, lets carry only his good luggages, but not his baggages zake on his human side.
President Samia umeonyeshwa uwezo kwanza ni kwa kulibwaga hilo zigo ulilolikuta hapo mlangoni kwako Ikulu. Pia asante kutuletea a real diplomat pale MFA na sio yule Mwalimu wangu Orator mzuri tuu, pale hapahitaji oration ni diplomacy. Mtihani pekee mkubwa kwako ni kuukubali ukweli kuhusu Corona and do the right thing. Kwenye hili nimewahi kushauri mahali na hapa nashauri tena, "Kwavile Magufuli alikuwa hapendi kupangiwa na hatukumpangia, nawaombeni members humu, tusimpangie Samia". Samia Suluhu yuko vizuri sana, anajua nini cha kufanya, tumwache afanye vile anaona inafaa, please let's give her space ".
Kabla sikaanza, naomba kutoa angalizo muhimu. Kwa vile sasa Samia ndie rais, kuna watu sasa ndio wataanza kujipendekeza kwa Samia, hivyo kila mtu atakayeandika jambo lolote zuri kumhusu Samia akaonekana ana jipendekeza. Naomba usome bandiko hili uone nilisema nini kumhusu Samia na ni lini!.
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
Baada ya hayo sasa nije kwenye topic hii.
Kwanza mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, everything that happens, it happens for a reason, hivyo lolote likitokea, hakuna ubaya kulitafakari bila kumuuliza Mungu sababu, Mungu ana sababu zake kumchukua Magufuli na pia ana sababu zake kumleta Samia, we don't question God's authority.
Japo kifo cha rais Magufuli ni kazi ya Mungu, lakini pia kuna vitu vya kibinaadamu vimechangia, kama heshima kwa marehemu, naomba nisivitaje, lakini kama kuna kitu unakijua kumhusu Magufuli na kinaweza kuwa kimechangia, na sasa unakiona kinaanzishwa mdogo mdogo kuelekezwa kwa Samia, ukiweza kukizuia, kizuie, mimi sina uwezo wa kukizuia, ila nina uwezo tuu wa kukisema ili wenye uwezo wazuie, wakiona hakuna haja ya kuzuia ni kupuuzia tuu, let it be, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu, to inform.
Siku zote nimekuwa nikihubiri humu, kauli huumba, hakuna kitu kina nguvu humu duniani kama kauli. Pia nikasema uongo ukisemwa sana na kuachwa kujirudia rudia bila kukanushwa, huwa na mtindo sio wa kuonekana kama ukweli, bali kauli hizo za uongo kuumba huo uongo in reality na kuufanya ukatokea kweli.
Moja ya majarida makubwa kabisa ya kimataifa ya kibeberu, The Economist, kwa miaka yote mitano limekuwa likiandika makala za uongo mwingi na ukweli kidogo za kumsakama rais Magufuli. Uongo huu umekuwa ukirudiwa rudiwa bila kukanushwa, na matokeo yake ukaja kugeuka ukweli, sasa Magufuli hatunaye tena, sasa tuna Samia, jarida hili sasa linajipanga kuanza na Samia!. Jee Tanzania tuendelee kuacha uongo ukisemwa kuhusu taifa letu na viongozi wetu hatu lini?!. Hivi ni hatuna uwezo wa kukanusha, au ni tunapuuza kwa hoja kuwa wasomaji wao hawatuhusu, sisi wanaotuhusu ni Watanzania tuu?!. Sasa tunaishi kwenye global world, ulimwengu wa kiganjani, uongo ukisemwa popote unaingizwa kwenye social media, kila mtu anausoma, mkisingiziwa uongo, msipo kanusha, uongo huo unaonekana ndio ukweli. Tanzania ya Samia must do something on this.
Katika toleo lake la wiki inayoanzia April 3, The Economist limeibuka na makala hii kuihusu Tanzania ya Samia. Katika toleo hili this time angalau limeanza kwa kuonyesha Tumaini Jipya Tanzania: The Economist Baada ya Kumsakama Sana Rais Magufuli, Sasa Angalau Lina Matumaini na Rais Samia!, Laanza Nae Vizuri kwa kumtaka aachane na makosa ya Magufuli kwenye kudeal na Covid!. Yakwepa kuzungumzia chianzo cha kifo kilichotangazwa rasmi, waisingizia...
![]()
Hoping for change
Tanzania’s new president surely can’t be worse than the old one
Uongo humu ni upi na una madhara gani, endelea kuandamana nami.
Paskali
Huo ni mtazamo wa Gazetti la The Economist, hata raia wanaojielewa ninaamini wana mtazamo huo huo pia.
Katika kitu natamani ndugu mwandishi, siku moja uje kuanzisha thread kuichambua REPORT YA CAG ya mwaka huu bila kuwa biased kwa kusaka uteuzi. Bwana mkubwa hayupo nasi tena. Cha kusikitisha bungeni hayupo Zitto wa kuichambua vizuri hio report.
Key points;
1) ATCL kuendeshwa kwa hasara ya Billion 60 tokea 2016 - 2021.
Au ndio tuseme CAG pengine ana mhujumu Marehemu Rais Magufuli alietuaminisha kwa nguvu kubwa sana kwamba shirika linafanya kazi kwa faida, kufikia hatua shirika kupewa tuzo ya usafiri bora wa mwaka kuliko Turkey Airlines na serikali kupewa Hundi Ya Gawio La Faida na shirika???
Na je, Rais Magufuli angekua hai, angepewa hii hii report ya CAG yenye kulikosoa shirika la ATCL na TTCL, au kuna report nyingine iliopo kwenye makabati yenye mahesabu yaliopikwa ndio angepewa kumtukuza na kutuficha raia???
2) Matumizi ya hela nyingi zilizokua zinapelekwa Wizara Ya TAMISEMI na kutokujulikana matumizi yake, kufikia Rais Samia kumsimanga Waziri Selemani Jafo wazi wazi mbele ya vyombo vya habari, na kumtaka awasilishe mahesabu ya Wizara yake ndani ya muda mfupi, ila kabla hata ya Waziri Jafo ya kuwasilisha hayo mahesabu alioamrishwa na Rais, Rais akaamua kumhamisha Wizara baada ya Siku Mbili (Pengine baada ya kujua kwamba mahesabu hayo akipelekewa hata ridhika nayo kabisa).
3) TPA kukoroga mambo kwenye matumizi ya hela (Kwa viashiria vya ufisadi uliokithiri) mpaka kufikia hatua Rais Samia kumsimamisha kazi Mkurugenzi TPA na TAKUKURU kumshikilia na kufanya upelelezi wa Mabillioni kupotea kwenye account za TPA (Za BOT na NMB).
4) Matumizi ya hela HAZINA kuchotwa hovyo na wachache kwa kigezo cha matumizi (Matumizi yasio na mashiko wala sababu wala kujulikana). Kupelekea Rais Samia kumpa maelekezo CAG afanye ukaguzi upya wa matumizi ya hela zilizotoka hazina kuanzia January 2021 - March 2021.
5) Mikopo mingi sana kuchukuliwa na serikali kimya kimya bila kupitia bungeni, mikopo hio ya kimya kimya mingine bila hata kupitia katika Account za serikali na hela kuwa deposited kwenye Account za contractors na wauzaji wa ndege. Kitu kilicho sababishia serikali kuwa na deni zaidi kwa ukubwa ndani ya miaka 5 kuliko miaka 10 ya Kikwete.
Rais Samia kifupi, ana mashaka makubwa na matumizi ya hazina kuanzia mwaka huu kuanza (Ni aibu kwa watendaji kumfanya Rais awe ana mashaka na taasisi zao) na ana mashaka makubwa hasa na TPA.
Tulikua tunaaminishwa katika utawala ya 2015 - 2021 kulikua hakuna ufisadi kabisa, na mafisadi walikomeshwa kisawasawa sambamba na kutothubutu kuifisadi nchi. Raia walifurahi na kushangilia sana kwa hilo kwani mpambanaji wa mafisadi hatimae alipatikana kuwatetea wanyonge.
Ila katika hali ya kushangaza, na haya yaliotokea hivi karibuni kuna sintofahamu na imani imeanza kubadilika kabisa, kwamba ufisadi ulikuwepo ila "VITISHO VYA KUOGOPA KUIKOSOA NA KUIHOJI SERIKALI YA AWAMU YA 5" ndio sababu ya raia kuaminishwa kwamba hakuna ufisadi na mengineyo, ila sasa raia wanaanza kuamini ufisadi ulikuwepo kama awamu zilizopita (Na wengine wakiamini ufisadi umezidi awamu zilizopita - tuvute subira).
Na sisi wengine tunaamini, waliokua wanapata taarifa za ufisadi (Hasa waandishi wa habari wa kipelelezi) walikua wakiogopa sana kuweka wazi taarifa hizo, kwa kuhofia kupotezwa kama kina Azory Gwanda au kupewa kesi za uhujumu uchumi. Kasoro waandishi mliokua mnasaka uteuzi kwa kusifia hata yasio sifika.
NOTE THAT: baada ya awamu ya 6 kuingia madarakani, ndani ya week moja tu baadhi ya magazeti (Mfano Raia Mwema) wameanza kuisaidia serikali kutoa taarifa za ufisadi unaofanyika katika taasisi za serikali, kama hela zilizotolewa hazina kuanzia January 2021 mpaka March 2021 kwa kuweka wazi mpaka Account Number za benki na kiasi cha pesa zilizokua zikitolewa bila maelezo.
Issue ya Makontena Ya Makinikia, imeanza kuchukua taswira mpya, leak zimeanza kusambaa kwamba tume ya Prof fulani baada ya kufanya uchunguzi, ili baini kwenye makontena ya mchanga ule katika kila kontena la 20Ft kulikua na 0.7% ya dhahabu na sio 7.0% kama walivyolazimishwa kuandika kwenye report na Marehemu Boss Kazi baada ya kuona alikurupuka kwenye maamuzi (For the sake of political sympathy and legal consequences).
Acacia, mtoto wa ndani ya ndoa ya Barrick alikua akilipia kodi ya 0.7% ya dhahabu katika kila kontena la 20Ft kama ilivyotakiwa kisheria, na baada ya Boss Kazi kukurupuka na kufanya maamuzi bila kujiridhisha kwa kuunda tume ya uchunguzi aliamua kuyazuia makontena yale, report ilivyotoka ya tume ilibidi data kugeuzwa na kupikwa kuwa 7.0% ya dhahabu katika kila kontena badala ya 0.7%, Acacia ndio wakakutwa wanakwepa kodi.
Tulisubiri sana, zile NOAH moja kwa kila Raia kutoka kwa Acacia, ila kimya kilitanda mpaka umauti ukamfika alietupa ahadi ile. Tuliogopa ku hoji kipindi cha uhai wake, kwani tulimzoea kwamba hapendi kubanwa kwenye kona kwa hoja zenye mashiko. Pia tulimzoea alivokua akimaanisha pindi anaongea kwa kutumia maneno kuhusiana na serikali ya awamu ya tano SERIKALI YANGU, MIMI NINATAKA, tofauti na Mama anavyotumia maneno hayo na jinsi alivyoyabadilisha SERIKALI YETU, SISI TUNATAKA.
Mbona mimi ni mkulima tu lakini nakubaliana nao kwa asilimia mia, kuwa huyu mama kamwe hawezi kuwa mbaya zaidi ya meko?je na mimi nina ishu ya madini?!!acha hizo, eti zimeshaandikwa hiyo ni biblia??mangapi mazuri aliyakuta huyo meko, akaja kuyavuluga?jana bungeni umesikia juu ya sheria ya bodi ya mkopo??tayari wamekubali kuiangalia upya, pole pole tu, mambo mengi yalitungwa kwa ajili ya mtu mmoja tu.
Mayalla umepoteza mvuto
Ulikaa kimya kusubiria uteuzi bahati mbaya kwako dikteta ameishafukiwa sasa anza kutumia tena kichwa chako. Sukumagang linafumuliwa
Mungu akubariki sana mkuu Alexander The Great .Huo ni mtazamo wa Gazetti la The Economist, hata raia wanaojielewa ninaamini wana mtazamo huo huo pia.
Katika kitu natamani ndugu mwandishi, siku moja uje kuanzisha thread kuichambua REPORT YA CAG ya mwaka huu bila kuwa biased kwa kusaka uteuzi. Bwana mkubwa hayupo nasi tena. Cha kusikitisha bungeni hayupo Zitto wa kuichambua vizuri hio report.
Key points;
1) ATCL kuendeshwa kwa hasara ya Billion 60 tokea 2016 - 2021.
Au ndio tuseme CAG pengine ana mhujumu Marehemu Rais Magufuli alietuaminisha kwa nguvu kubwa sana kwamba shirika linafanya kazi kwa faida, kufikia hatua shirika kupewa tuzo ya usafiri bora wa mwaka kuliko Turkey Airlines na serikali kupewa Hundi Ya Gawio La Faida na shirika???
Na je, Rais Magufuli angekua hai, angepewa hii hii report ya CAG yenye kulikosoa shirika la ATCL na TTCL, au kuna report nyingine iliopo kwenye makabati yenye mahesabu yaliopikwa ndio angepewa kumtukuza na kutuficha raia???
2) Matumizi ya hela nyingi zilizokua zinapelekwa Wizara Ya TAMISEMI na kutokujulikana matumizi yake, kufikia Rais Samia kumsimanga Waziri Selemani Jafo wazi wazi mbele ya vyombo vya habari, na kumtaka awasilishe mahesabu ya Wizara yake ndani ya muda mfupi, ila kabla hata ya Waziri Jafo ya kuwasilisha hayo mahesabu alioamrishwa na Rais, Rais akaamua kumhamisha Wizara baada ya Siku Mbili (Pengine baada ya kujua kwamba mahesabu hayo akipelekewa hata ridhika nayo kabisa).
3) TPA kukoroga mambo kwenye matumizi ya hela (Kwa viashiria vya ufisadi uliokithiri) mpaka kufikia hatua Rais Samia kumsimamisha kazi Mkurugenzi TPA na TAKUKURU kumshikilia na kufanya upelelezi wa Mabillioni kupotea kwenye account za TPA (Za BOT na NMB).
4) Matumizi ya hela HAZINA kuchotwa hovyo na wachache kwa kigezo cha matumizi (Matumizi yasio na mashiko wala sababu wala kujulikana). Kupelekea Rais Samia kumpa maelekezo CAG afanye ukaguzi upya wa matumizi ya hela zilizotoka hazina kuanzia January 2021 - March 2021.
5) Mikopo mingi sana kuchukuliwa na serikali kimya kimya bila kupitia bungeni, mikopo hio ya kimya kimya mingine bila hata kupitia katika Account za serikali na hela kuwa deposited kwenye Account za contractors na wauzaji wa ndege. Kitu kilicho sababishia serikali kuwa na deni zaidi kwa ukubwa ndani ya miaka 5 kuliko miaka 10 ya Kikwete.
Rais Samia kifupi, ana mashaka makubwa na matumizi ya hazina kuanzia mwaka huu kuanza (Ni aibu kwa watendaji kumfanya Rais awe ana mashaka na taasisi zao) na ana mashaka makubwa hasa na TPA.
Tulikua tunaaminishwa katika utawala ya 2015 - 2021 kulikua hakuna ufisadi kabisa, na mafisadi walikomeshwa kisawasawa sambamba na kutothubutu kuifisadi nchi. Raia walifurahi na kushangilia sana kwa hilo kwani mpambanaji wa mafisadi hatimae alipatikana kuwatetea wanyonge.
Ila katika hali ya kushangaza, na haya yaliotokea hivi karibuni kuna sintofahamu na imani imeanza kubadilika kabisa, kwamba ufisadi ulikuwepo ila "VITISHO VYA KUOGOPA KUIKOSOA NA KUIHOJI SERIKALI YA AWAMU YA 5" ndio sababu ya raia kuaminishwa kwamba hakuna ufisadi na mengineyo, ila sasa raia wanaanza kuamini ufisadi ulikuwepo kama awamu zilizopita (Na wengine wakiamini ufisadi umezidi awamu zilizopita - tuvute subira).
Na sisi wengine tunaamini, waliokua wanapata taarifa za ufisadi (Hasa waandishi wa habari wa kipelelezi) walikua wakiogopa sana kuweka wazi taarifa hizo, kwa kuhofia kupotezwa kama kina Azory Gwanda au kupewa kesi za uhujumu uchumi. Kasoro waandishi mliokua mnasaka uteuzi kwa kusifia hata yasio sifika.
NOTE THAT: baada ya awamu ya 6 kuingia madarakani, ndani ya week moja tu baadhi ya magazeti (Mfano Raia Mwema) wameanza kuisaidia serikali kutoa taarifa za ufisadi unaofanyika katika taasisi za serikali, kama hela zilizotolewa hazina kuanzia January 2021 mpaka March 2021 kwa kuweka wazi mpaka Account Number za benki na kiasi cha pesa zilizokua zikitolewa bila maelezo.
Issue ya Makontena Ya Makinikia, imeanza kuchukua taswira mpya, leak zimeanza kusambaa kwamba tume ya Prof fulani baada ya kufanya uchunguzi, ili baini kwenye makontena ya mchanga ule katika kila kontena la 20Ft kulikua na 0.7% ya dhahabu na sio 7.0% kama walivyolazimishwa kuandika kwenye report na Marehemu Boss Kazi baada ya kuona alikurupuka kwenye maamuzi (For the sake of political sympathy and legal consequences).
Acacia, mtoto wa ndani ya ndoa ya Barrick alikua akilipia kodi ya 0.7% ya dhahabu katika kila kontena la 20Ft kama ilivyotakiwa kisheria, na baada ya Boss Kazi kukurupuka na kufanya maamuzi bila kujiridhisha kwa kuunda tume ya uchunguzi aliamua kuyazuia makontena yale, report ilivyotoka ya tume ilibidi data kugeuzwa na kupikwa kuwa 7.0% ya dhahabu katika kila kontena badala ya 0.7%, Acacia ndio wakakutwa wanakwepa kodi.
Tulisubiri sana, zile NOAH moja kwa kila Raia kutoka kwa Acacia, ila kimya kilitanda mpaka umauti ukamfika alietupa ahadi ile. Tuliogopa ku hoji kipindi cha uhai wake, kwani tulimzoea kwamba hapendi kubanwa kwenye kona kwa hoja zenye mashiko. Pia tulimzoea alivokua akimaanisha pindi anaongea kwa kutumia maneno kuhusiana na serikali ya awamu ya tano SERIKALI YANGU, MIMI NINATAKA, tofauti na Mama anavyotumia maneno hayo na jinsi alivyoyabadilisha SERIKALI YETU, SISI TUNATAKA.