Samia unaingizwa chaka na wasaidizi wako, 2025 CCM itakuwa na kazi ngumu ya kuwashawishi wapiga kura

Samia unaingizwa chaka na wasaidizi wako, 2025 CCM itakuwa na kazi ngumu ya kuwashawishi wapiga kura

Umetoka sayari gani? Akina Mahera, Jecha, Zirro, Mutungu wa maji... watakuwa wapi? Bila katiba mpya ni bila bila tu...

Mama Samia unaingizwa chaka na wasaidizi wako, mwaka 2025 CCM itakuwa na kazi ngumu ya kuwashawishi wapiga kura. Wakina Mwigulu ni Wapambe wasaka tonge wa 2025.​


Kama kichwa cha habari kinavyosema katika kila serikali inapoingia madarakani inakuwa na watu wake yaani hao ndio chama chamani hakuna atakaesema kitu zaidi ya hao, mfano halisi katika serikali ya awamu ya kwanza walikuwepo watu ambao Mwalimu Nyerere asemi jambo bila wao kuwepo na kutoa baraka zao mfano wakina Kawawa, Macelea, vivyo hivyo awamu ya pili mzee Mwinyi nae alikuwa na jopo lake kuu la kazi, hii ni sawasawa na Mzee Mkapa nae wakina Basili Mramba hao ndio walikuwa wazee wa ndio mzee, ukiangalia kwa JK nae vivyo hivyo hata serikali ya awamu ya tano JPM alivyokuwa anawaamini wakina Profesa wa Majalalani, Polepole, Dkt. Bashiru, Mzee Kijazi pamoja na mzee wa madaraja.

Inashauriwa pia watu wa namna hii pia ukiwa kama kiongozi unatakiwa kuwa nao makini japo ni watu wako wa karibu kukurubuni , kukuingiza chaka, kufanya mabo kwa faida yao ni laisi sana kama tunakumbuka Mzee Malecela alivyomgeuka Mwalimu, Profesa alivyomuingiza chaka JPM na chanjo ya Madascar, Kikwete alivyoingizwa chaka juu ya mitambo ya kufua umeme, ndio mana nasema kila anaevaa sare ya chama sio lazima akufuate wewe 100%.

CCM ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma , zamani tulikuwa tunajua kuwa kuna tamko moja tu likitoka basi tunajua ni tamko la chama, lakini sio sasa hivi kila anaevaa sare ya CCM anatamko lake , kulikuwa na tamko la Mwalimu , baada ya hapo kukawa na tamko la Mwinyi, kukaja Mkapa baada ya hapo matamko ya JK yakawa feki feki hayana nguvu kwamaana alikuwa anazidiwa na wapambe wake, kukaja kuwa na tamko la nguvu zaidi na la kibabe kutoka kwa JPM, sasa hivi hakuna tamko lolote lenye kuonesha njia yaani ni hovyo tupu, kilichopo sasa ni kurumbana tu, huyu anasema chanjo mwingine anasema hakuna kitu yaani ngazi ya juu inasema alafu ngazi ya chini inapinga hii ni ishara ya kuwa watu wanasafiri katika boti moja lakini mtu anakituo chake bado kivuli chenye nguvu cha hayati kinatembea.

Hivi sasa watanzania wanaendelea kulipa kodi iliyopitishwa na Bunge la serikali ya awamu ya sita, maneno ya waziri wa fedha ya kusema jua liwake, mvua inyeshe, baridi ipige hizi tozo na kodi za e -money lazima Watanzania walipe. Maneno haya yanabebwa kwa utetezi kwamba tozo hizi zitajenga Zahanati, Mashule, Barabara, kuongeza huduma ya maji na Umeme nchi nzima , jua hilo ni deni kubwa kwa Samia Suluhu ifikapo 2025 Watanzania wawataka kuona na kupata ufafanuzi juu kodi zao unazoendelea kuwakata katika mafungu yao.

Kama usipo waonesha watanzania physicali na kuonesha tofauti ya serikali ya awamu ya tano na sita utapata tabu sana 2025, watanzania wanakusubiri kwa hamu sana na ukifanya mchezo CHADEMA watapa nafasi nzuri sana ya kuseti ajenda na wakitumia nafasi hiyo vizuri mambo yanaweza kuwa mazuri sana kwao hilo ni angalizo tu kumbuka 2025 sio mbali.

Watanzania watataka kuona matumizi ya kodi za mitandao ya simu mnayokata kila siku sio kuonesha blah blah na kwa hili watanzania wapo macho sana na nawashauri vyama pinzani hii mkikaa nayo vizuri basi ni mfereji mzuri wa kubebea kura 2025.

Mpaka sasa watanzania wengi sana wamepunguza imani na mama Samia kutokana na nchi kukaa bila ishara ya kuonesha nguvu ya Rais ipo wapi, mawaziri kuwa na nguvu kuliko Rais, Mawaziri kuwa na matamko makubwa kuliko Rais hizi ni dalili mbaya sana katika uongozi uliopo sasa.
 
Kwa tume hii ya Mahera na wa aina yake, sidhani kama atahitaji kura zenu.

Sirro na wenzake wapo watamtafutia kura idadi aitakayo. Hizo mtakazopiga nyie zitakuwa vifungio vya karanga zinazotembezwa na watoto. Katiba mpya ndio dawa.
Hivi Mahera alishafikishwa the Hegi?
 
Ni term moja huyo asili yke znz hawezi kua,hii term ya kwanza katiba ilimbeba mana rais kafariki...istoshe kama ingetokea jamaa kafariki 2023 sheria ni uchaguzi unafanyika upya

Labda Team Msoga wasiwepo, Ataongoza hii miaka minne ya hayati na atakuja kumalizia kipindi chake cha Pili then mtu wa mainland ndio atachukua nafasi mama akitoka
 
Labda Team Msoga wasiwepo, Ataongoza hii miaka minne ya hayati na atakuja kumalizia kipindi chake cha Pili then mtu wa mainland ndio atachukua nafasi mama akitoka
Kwa akili zake ccm asili wanamtupa mchana kweupe,wameshajua hamna mtu hapo
 

Mama Samia unaingizwa chaka na wasaidizi wako, mwaka 2025 CCM itakuwa na kazi ngumu ya kuwashawishi wapiga kura. Wakina Mwigulu ni Wapambe wasaka tonge wa 2025.​


Kama kichwa cha habari kinavyosema katika kila serikali inapoingia madarakani inakuwa na watu wake yaani hao ndio chama chamani hakuna atakaesema kitu zaidi ya hao, mfano halisi katika serikali ya awamu ya kwanza walikuwepo watu ambao Mwalimu Nyerere asemi jambo bila wao kuwepo na kutoa baraka zao mfano wakina Kawawa, Macelea, vivyo hivyo awamu ya pili mzee Mwinyi nae alikuwa na jopo lake kuu la kazi, hii ni sawasawa na Mzee Mkapa nae wakina Basili Mramba hao ndio walikuwa wazee wa ndio mzee, ukiangalia kwa JK nae vivyo hivyo hata serikali ya awamu ya tano JPM alivyokuwa anawaamini wakina Profesa wa Majalalani, Polepole, Dkt. Bashiru, Mzee Kijazi pamoja na mzee wa madaraja.

Inashauriwa pia watu wa namna hii pia ukiwa kama kiongozi unatakiwa kuwa nao makini japo ni watu wako wa karibu kukurubuni , kukuingiza chaka, kufanya mabo kwa faida yao ni laisi sana kama tunakumbuka Mzee Malecela alivyomgeuka Mwalimu, Profesa alivyomuingiza chaka JPM na chanjo ya Madascar, Kikwete alivyoingizwa chaka juu ya mitambo ya kufua umeme, ndio mana nasema kila anaevaa sare ya chama sio lazima akufuate wewe 100%.

CCM ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma , zamani tulikuwa tunajua kuwa kuna tamko moja tu likitoka basi tunajua ni tamko la chama, lakini sio sasa hivi kila anaevaa sare ya CCM anatamko lake , kulikuwa na tamko la Mwalimu , baada ya hapo kukawa na tamko la Mwinyi, kukaja Mkapa baada ya hapo matamko ya JK yakawa feki feki hayana nguvu kwamaana alikuwa anazidiwa na wapambe wake, kukaja kuwa na tamko la nguvu zaidi na la kibabe kutoka kwa JPM, sasa hivi hakuna tamko lolote lenye kuonesha njia yaani ni hovyo tupu, kilichopo sasa ni kurumbana tu, huyu anasema chanjo mwingine anasema hakuna kitu yaani ngazi ya juu inasema alafu ngazi ya chini inapinga hii ni ishara ya kuwa watu wanasafiri katika boti moja lakini mtu anakituo chake bado kivuli chenye nguvu cha hayati kinatembea.

Hivi sasa watanzania wanaendelea kulipa kodi iliyopitishwa na Bunge la serikali ya awamu ya sita, maneno ya waziri wa fedha ya kusema jua liwake, mvua inyeshe, baridi ipige hizi tozo na kodi za e -money lazima Watanzania walipe. Maneno haya yanabebwa kwa utetezi kwamba tozo hizi zitajenga Zahanati, Mashule, Barabara, kuongeza huduma ya maji na Umeme nchi nzima , jua hilo ni deni kubwa kwa Samia Suluhu ifikapo 2025 Watanzania wawataka kuona na kupata ufafanuzi juu kodi zao unazoendelea kuwakata katika mafungu yao.

Kama usipo waonesha watanzania physicali na kuonesha tofauti ya serikali ya awamu ya tano na sita utapata tabu sana 2025, watanzania wanakusubiri kwa hamu sana na ukifanya mchezo CHADEMA watapa nafasi nzuri sana ya kuseti ajenda na wakitumia nafasi hiyo vizuri mambo yanaweza kuwa mazuri sana kwao hilo ni angalizo tu kumbuka 2025 sio mbali.

Watanzania watataka kuona matumizi ya kodi za mitandao ya simu mnayokata kila siku sio kuonesha blah blah na kwa hili watanzania wapo macho sana na nawashauri vyama pinzani hii mkikaa nayo vizuri basi ni mfereji mzuri wa kubebea kura 2025.

Mpaka sasa watanzania wengi sana wamepunguza imani na mama Samia kutokana na nchi kukaa bila ishara ya kuonesha nguvu ya Rais ipo wapi, mawaziri kuwa na nguvu kuliko Rais, Mawaziri kuwa na matamko makubwa kuliko Rais hizi ni dalili mbaya sana katika uongozi uliopo sasa.
Haingizwi chaka mchezo wote anaujua vizuri. Mnamchukulia poa eeh!
 

Mama Samia unaingizwa chaka na wasaidizi wako, mwaka 2025 CCM itakuwa na kazi ngumu ya kuwashawishi wapiga kura. Wakina Mwigulu ni Wapambe wasaka tonge wa 2025.​


Kama kichwa cha habari kinavyosema katika kila serikali inapoingia madarakani inakuwa na watu wake yaani hao ndio chama chamani hakuna atakaesema kitu zaidi ya hao, mfano halisi katika serikali ya awamu ya kwanza walikuwepo watu ambao Mwalimu Nyerere asemi jambo bila wao kuwepo na kutoa baraka zao mfano wakina Kawawa, Macelea, vivyo hivyo awamu ya pili mzee Mwinyi nae alikuwa na jopo lake kuu la kazi, hii ni sawasawa na Mzee Mkapa nae wakina Basili Mramba hao ndio walikuwa wazee wa ndio mzee, ukiangalia kwa JK nae vivyo hivyo hata serikali ya awamu ya tano JPM alivyokuwa anawaamini wakina Profesa wa Majalalani, Polepole, Dkt. Bashiru, Mzee Kijazi pamoja na mzee wa madaraja.

Inashauriwa pia watu wa namna hii pia ukiwa kama kiongozi unatakiwa kuwa nao makini japo ni watu wako wa karibu kukurubuni , kukuingiza chaka, kufanya mabo kwa faida yao ni laisi sana kama tunakumbuka Mzee Malecela alivyomgeuka Mwalimu, Profesa alivyomuingiza chaka JPM na chanjo ya Madascar, Kikwete alivyoingizwa chaka juu ya mitambo ya kufua umeme, ndio mana nasema kila anaevaa sare ya chama sio lazima akufuate wewe 100%.

CCM ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma , zamani tulikuwa tunajua kuwa kuna tamko moja tu likitoka basi tunajua ni tamko la chama, lakini sio sasa hivi kila anaevaa sare ya CCM anatamko lake , kulikuwa na tamko la Mwalimu , baada ya hapo kukawa na tamko la Mwinyi, kukaja Mkapa baada ya hapo matamko ya JK yakawa feki feki hayana nguvu kwamaana alikuwa anazidiwa na wapambe wake, kukaja kuwa na tamko la nguvu zaidi na la kibabe kutoka kwa JPM, sasa hivi hakuna tamko lolote lenye kuonesha njia yaani ni hovyo tupu, kilichopo sasa ni kurumbana tu, huyu anasema chanjo mwingine anasema hakuna kitu yaani ngazi ya juu inasema alafu ngazi ya chini inapinga hii ni ishara ya kuwa watu wanasafiri katika boti moja lakini mtu anakituo chake bado kivuli chenye nguvu cha hayati kinatembea.

Hivi sasa watanzania wanaendelea kulipa kodi iliyopitishwa na Bunge la serikali ya awamu ya sita, maneno ya waziri wa fedha ya kusema jua liwake, mvua inyeshe, baridi ipige hizi tozo na kodi za e -money lazima Watanzania walipe. Maneno haya yanabebwa kwa utetezi kwamba tozo hizi zitajenga Zahanati, Mashule, Barabara, kuongeza huduma ya maji na Umeme nchi nzima , jua hilo ni deni kubwa kwa Samia Suluhu ifikapo 2025 Watanzania wawataka kuona na kupata ufafanuzi juu kodi zao unazoendelea kuwakata katika mafungu yao.

Kama usipo waonesha watanzania physicali na kuonesha tofauti ya serikali ya awamu ya tano na sita utapata tabu sana 2025, watanzania wanakusubiri kwa hamu sana na ukifanya mchezo CHADEMA watapa nafasi nzuri sana ya kuseti ajenda na wakitumia nafasi hiyo vizuri mambo yanaweza kuwa mazuri sana kwao hilo ni angalizo tu kumbuka 2025 sio mbali.

Watanzania watataka kuona matumizi ya kodi za mitandao ya simu mnayokata kila siku sio kuonesha blah blah na kwa hili watanzania wapo macho sana na nawashauri vyama pinzani hii mkikaa nayo vizuri basi ni mfereji mzuri wa kubebea kura 2025.

Mpaka sasa watanzania wengi sana wamepunguza imani na mama Samia kutokana na nchi kukaa bila ishara ya kuonesha nguvu ya Rais ipo wapi, mawaziri kuwa na nguvu kuliko Rais, Mawaziri kuwa na matamko makubwa kuliko Rais hizi ni dalili mbaya sana katika uongozi uliopo sasa.
Hayo ni mawazo yako

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Aliekuambia kuwa CCM huwa inategemea kura ya mtu ili kuchukua dola ni nani?
View attachment 1886332
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
JamiiForums1791349533.jpg
 

Mama Samia unaingizwa chaka na wasaidizi wako, mwaka 2025 CCM itakuwa na kazi ngumu ya kuwashawishi wapiga kura. Wakina Mwigulu ni Wapambe wasaka tonge wa 2025.​


Kama kichwa cha habari kinavyosema katika kila serikali inapoingia madarakani inakuwa na watu wake yaani hao ndio chama chamani hakuna atakaesema kitu zaidi ya hao, mfano halisi katika serikali ya awamu ya kwanza walikuwepo watu ambao Mwalimu Nyerere asemi jambo bila wao kuwepo na kutoa baraka zao mfano wakina Kawawa, Macelea, vivyo hivyo awamu ya pili mzee Mwinyi nae alikuwa na jopo lake kuu la kazi, hii ni sawasawa na Mzee Mkapa nae wakina Basili Mramba hao ndio walikuwa wazee wa ndio mzee, ukiangalia kwa JK nae vivyo hivyo hata serikali ya awamu ya tano JPM alivyokuwa anawaamini wakina Profesa wa Majalalani, Polepole, Dkt. Bashiru, Mzee Kijazi pamoja na mzee wa madaraja.

Inashauriwa pia watu wa namna hii pia ukiwa kama kiongozi unatakiwa kuwa nao makini japo ni watu wako wa karibu kukurubuni , kukuingiza chaka, kufanya mabo kwa faida yao ni laisi sana kama tunakumbuka Mzee Malecela alivyomgeuka Mwalimu, Profesa alivyomuingiza chaka JPM na chanjo ya Madascar, Kikwete alivyoingizwa chaka juu ya mitambo ya kufua umeme, ndio mana nasema kila anaevaa sare ya chama sio lazima akufuate wewe 100%.

CCM ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma , zamani tulikuwa tunajua kuwa kuna tamko moja tu likitoka basi tunajua ni tamko la chama, lakini sio sasa hivi kila anaevaa sare ya CCM anatamko lake , kulikuwa na tamko la Mwalimu , baada ya hapo kukawa na tamko la Mwinyi, kukaja Mkapa baada ya hapo matamko ya JK yakawa feki feki hayana nguvu kwamaana alikuwa anazidiwa na wapambe wake, kukaja kuwa na tamko la nguvu zaidi na la kibabe kutoka kwa JPM, sasa hivi hakuna tamko lolote lenye kuonesha njia yaani ni hovyo tupu, kilichopo sasa ni kurumbana tu, huyu anasema chanjo mwingine anasema hakuna kitu yaani ngazi ya juu inasema alafu ngazi ya chini inapinga hii ni ishara ya kuwa watu wanasafiri katika boti moja lakini mtu anakituo chake bado kivuli chenye nguvu cha hayati kinatembea.

Hivi sasa watanzania wanaendelea kulipa kodi iliyopitishwa na Bunge la serikali ya awamu ya sita, maneno ya waziri wa fedha ya kusema jua liwake, mvua inyeshe, baridi ipige hizi tozo na kodi za e -money lazima Watanzania walipe. Maneno haya yanabebwa kwa utetezi kwamba tozo hizi zitajenga Zahanati, Mashule, Barabara, kuongeza huduma ya maji na Umeme nchi nzima , jua hilo ni deni kubwa kwa Samia Suluhu ifikapo 2025 Watanzania wawataka kuona na kupata ufafanuzi juu kodi zao unazoendelea kuwakata katika mafungu yao.

Kama usipo waonesha watanzania physicali na kuonesha tofauti ya serikali ya awamu ya tano na sita utapata tabu sana 2025, watanzania wanakusubiri kwa hamu sana na ukifanya mchezo CHADEMA watapa nafasi nzuri sana ya kuseti ajenda na wakitumia nafasi hiyo vizuri mambo yanaweza kuwa mazuri sana kwao hilo ni angalizo tu kumbuka 2025 sio mbali.

Watanzania watataka kuona matumizi ya kodi za mitandao ya simu mnayokata kila siku sio kuonesha blah blah na kwa hili watanzania wapo macho sana na nawashauri vyama pinzani hii mkikaa nayo vizuri basi ni mfereji mzuri wa kubebea kura 2025.

Mpaka sasa watanzania wengi sana wamepunguza imani na mama Samia kutokana na nchi kukaa bila ishara ya kuonesha nguvu ya Rais ipo wapi, mawaziri kuwa na nguvu kuliko Rais, Mawaziri kuwa na matamko makubwa kuliko Rais hizi ni dalili mbaya sana katika uongozi uliopo sasa.
Kiukweli alianza vizuri, ila Sasa anaharibu, kingine mlimsakama anashauriwa na muungwana kikwete, Sasa amehamua afuate ushauri wa wapambe wa Dikteta
 
Ni term moja huyo asili yke znz hawezi kua,hii term ya kwanza katiba ilimbeba mana rais kafariki...istoshe kama ingetokea jamaa kafariki 2023 sheria ni uchaguzi unafanyika upya
matumaini hewa unajipa, pole sanaaaa
 
Chama kilipitisha sheria mwenyekiti hapingwi sasa hapo kumshawishi nani? Kura zenyewe ziko traced na usalama.

Mama kawalipa wajumbe wa nyumba kumi ,wenyeviti mishahara na posho za madiwani nk nani anaweza mpinga wakati kote huko waliotangulia walishindwa?
 
Chama kilipitisha sheria mwenyekiti hapingwi sasa hapo kumshawishi nani? Kura zenyewe ziko traced na usalama.

Mama kawalipa wajumbe wa nyumba kumi ,wenyeviti mishahara na posho za madiwani nk nani anaweza mpinga wakati kote huko waliotangulia walishindwa?
Tatizo halipo huku chini shekh kwenye kiti ndo kuna jihad war
 

Mama Samia unaingizwa chaka na wasaidizi wako, mwaka 2025 CCM itakuwa na kazi ngumu ya kuwashawishi wapiga kura. Wakina Mwigulu ni Wapambe wasaka tonge wa 2025.​


Kama kichwa cha habari kinavyosema katika kila serikali inapoingia madarakani inakuwa na watu wake yaani hao ndio chama chamani hakuna atakaesema kitu zaidi ya hao, mfano halisi katika serikali ya awamu ya kwanza walikuwepo watu ambao Mwalimu Nyerere asemi jambo bila wao kuwepo na kutoa baraka zao mfano wakina Kawawa, Macelea, vivyo hivyo awamu ya pili mzee Mwinyi nae alikuwa na jopo lake kuu la kazi, hii ni sawasawa na Mzee Mkapa nae wakina Basili Mramba hao ndio walikuwa wazee wa ndio mzee, ukiangalia kwa JK nae vivyo hivyo hata serikali ya awamu ya tano JPM alivyokuwa anawaamini wakina Profesa wa Majalalani, Polepole, Dkt. Bashiru, Mzee Kijazi pamoja na mzee wa madaraja.

Inashauriwa pia watu wa namna hii pia ukiwa kama kiongozi unatakiwa kuwa nao makini japo ni watu wako wa karibu kukurubuni , kukuingiza chaka, kufanya mabo kwa faida yao ni laisi sana kama tunakumbuka Mzee Malecela alivyomgeuka Mwalimu, Profesa alivyomuingiza chaka JPM na chanjo ya Madascar, Kikwete alivyoingizwa chaka juu ya mitambo ya kufua umeme, ndio mana nasema kila anaevaa sare ya chama sio lazima akufuate wewe 100%.

CCM ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma , zamani tulikuwa tunajua kuwa kuna tamko moja tu likitoka basi tunajua ni tamko la chama, lakini sio sasa hivi kila anaevaa sare ya CCM anatamko lake , kulikuwa na tamko la Mwalimu , baada ya hapo kukawa na tamko la Mwinyi, kukaja Mkapa baada ya hapo matamko ya JK yakawa feki feki hayana nguvu kwamaana alikuwa anazidiwa na wapambe wake, kukaja kuwa na tamko la nguvu zaidi na la kibabe kutoka kwa JPM, sasa hivi hakuna tamko lolote lenye kuonesha njia yaani ni hovyo tupu, kilichopo sasa ni kurumbana tu, huyu anasema chanjo mwingine anasema hakuna kitu yaani ngazi ya juu inasema alafu ngazi ya chini inapinga hii ni ishara ya kuwa watu wanasafiri katika boti moja lakini mtu anakituo chake bado kivuli chenye nguvu cha hayati kinatembea.

Hivi sasa watanzania wanaendelea kulipa kodi iliyopitishwa na Bunge la serikali ya awamu ya sita, maneno ya waziri wa fedha ya kusema jua liwake, mvua inyeshe, baridi ipige hizi tozo na kodi za e -money lazima Watanzania walipe. Maneno haya yanabebwa kwa utetezi kwamba tozo hizi zitajenga Zahanati, Mashule, Barabara, kuongeza huduma ya maji na Umeme nchi nzima , jua hilo ni deni kubwa kwa Samia Suluhu ifikapo 2025 Watanzania wawataka kuona na kupata ufafanuzi juu kodi zao unazoendelea kuwakata katika mafungu yao.

Kama usipo waonesha watanzania physicali na kuonesha tofauti ya serikali ya awamu ya tano na sita utapata tabu sana 2025, watanzania wanakusubiri kwa hamu sana na ukifanya mchezo CHADEMA watapa nafasi nzuri sana ya kuseti ajenda na wakitumia nafasi hiyo vizuri mambo yanaweza kuwa mazuri sana kwao hilo ni angalizo tu kumbuka 2025 sio mbali.

Watanzania watataka kuona matumizi ya kodi za mitandao ya simu mnayokata kila siku sio kuonesha blah blah na kwa hili watanzania wapo macho sana na nawashauri vyama pinzani hii mkikaa nayo vizuri basi ni mfereji mzuri wa kubebea kura 2025.

Mpaka sasa watanzania wengi sana wamepunguza imani na mama Samia kutokana na nchi kukaa bila ishara ya kuonesha nguvu ya Rais ipo wapi, mawaziri kuwa na nguvu kuliko Rais, Mawaziri kuwa na matamko makubwa kuliko Rais hizi ni dalili mbaya sana katika uongozi uliopo sasa.
Sasa wewe husikii raha CCM itoke? Yaani unaandika as if sio CCM halafu unaishauri CCM[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kwa tume hii ya Mahera na wa aina yake, sidhani kama atahitaji kura zenu.

Sirro na wenzake wapo watamtafutia kura idadi aitakayo. Hizo mtakazopiga nyie zitakuwa vifungio vya karanga zinazotembezwa na watoto. Katiba mpya ndio dawa.
Ostichegg acha uchochezi huo, Tume ipo huru na inafanya kazi za ke kwa weredi na kwa kufuata Sheria za Uchaguzi. Uchaguzi ukufanyika kila Mgombea hupata kura zake kwa uwazi na Mshindi hutangazwa kwa uwazi na si kificho .
 
Back
Top Bottom