Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
Bila shaka, malumbano kati ya speaker na rais Samia imeonyesha wazi kwamba, hakuna uhuru wa mihimili yetu ya uongozi.
Mahakama haina uhuru wake, Bunge halina uhuru wake na Speaker pia ameonyesha udhaifu mkubwa sana kuomba msamaha pasipo na sababu ya msingi, na Rais Samia ameonyesha udhaifu wa kutokupenda kukosolewa na pia ameonyesha kwamba ana madaraka makubwa zaidi ya Ndugai.
Hakuna tena uwezo wa bunge kulisimamia serikali..... Suluhisho ni katiba mpya itakayoleta uhuru wa mihimili.
CCM nabici tupiganie katiba mpya. Hii ndio suluhisho !
Mahakama haina uhuru wake, Bunge halina uhuru wake na Speaker pia ameonyesha udhaifu mkubwa sana kuomba msamaha pasipo na sababu ya msingi, na Rais Samia ameonyesha udhaifu wa kutokupenda kukosolewa na pia ameonyesha kwamba ana madaraka makubwa zaidi ya Ndugai.
Hakuna tena uwezo wa bunge kulisimamia serikali..... Suluhisho ni katiba mpya itakayoleta uhuru wa mihimili.
CCM nabici tupiganie katiba mpya. Hii ndio suluhisho !