Samizi, ashiriki kama Mgeni rasmi kwenye sherehe ya Jubilee ya miaka 25 ya shule ya wasichana ya Bonoconsili Mabamba

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Mbunge wa Muhambwe mkoani Kigoma Mhe Florence George Samizi Jana Jumamosi Agosti 28, 2021 alishiriki kama Mgeni rasmi kwenye sherehe ya Jubilee ya miaka 25 ya shule ya wasichana ya Bonoconsili Mabamba.

Akiwa kwenye sherehe hiyo kama Mgeni rasmi Dkt. Samizi alizawadiwa na Askofu wa Jimbo la Kigoma zawadi ya keki huku uongozi wa shule hiyo ukimzawadia container ya shanga ya kutunzia vifaa vidogo vidogo.

#KaziInaendelea.







 
Huyu nae gaidi kma kada mwenzake hamza
 
Gaidi mamako ,nyie bavicha mnamatatizo Sana hapo kilicho kufanya umuite gaidi ninini?

USSR
Dada najua unawashwa mtaro mimi situmii,hamza kawainua sana wiki hii ccm mko kma shoga aliekosa bwana....ccm wote ni magaidi,mafisadi,wezi,wauza unga etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…