Sammata aipasua ngome ya Liverpool iliyomshinda Messi

Itamsaidia sana, nawaza mechi hii imeonekana na watu wangapi ulimwenguni
Na maskaut wangapi kwenye ligi kubwa duniani , makocha wangapi wakubwa duniani,
 
Acheni kumlinganisha Lionel Messi "La Pulga" na Samata ...
 
Umesahau kusema ya Rais John Pombe Joseph Magufuli. Maana hata Sheikh Asad alikuwa na Serikali yake ya awamu ya 5 japo imeishia njiani kabla ya muda
Assad anawasumbua vichwa roho na mwili kweli
 
Huwezi kuvunja rekodi dhidi ya mtu mmoja tu. Rekodi inavunjwa dhidi ya ujumla, mfano dhidi ya binadamu wote kushindwa kuifunga Liverpool pale Anfield. Hapo labda useme amejiwekea rekodi, sio kuvunja rekodi ya Messi
[emoji23][emoji23] dah..bongo people
 
Sikujua Samatta yupo kwenye pay roll ya Magufuli. Nilifikiri analipwa na timu yake. Hawa wachezaji wa Argentina, Uk, Ujerumani na wengineo kama wa Kenya akina manyama watasema nini?
Mke shikamoo nimepata wazo tuzae mtoto aje kuwa zaidi ya samata nasi tupate la kusema!,waonaje..?😜
 
Anfield [emoji818]
 
Mke shikamoo nimepata wazo tuzae mtoto aje kuwa zaidi ya samata nasi tupate la kusema!,waonaje..?😜
Labda to adopt halafu wewe umtunze. Mimi wajukuu watoto sina uwezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…