Sammata anyimwa goli UEFA, mabeberu wahusishwa

Sammata anyimwa goli UEFA, mabeberu wahusishwa

Siku zote anayeamua kuwa liwe goli au hapana siyo VAR bali ni mtu anayesoma VAR.
Kiuhalisia lile ni goli halina utata na hakika litawaumbua LIVERPOOL na mwamzi kisha litampaisha Mbwana Sammatha wetu.
Wakipanga kukuzamisha Mungu hupanga kukuinua.
 
Mkuu yule mwanamke alishazaa naye watoto wawili,kuoa alikuwa anathibitisha tu kwahiyo hiyo Si sababu
Ni kweli linafahamika na yule mwanamke alikuwa anamchapa kipindi yupo TP MAZEMBE.

na anakaa kwenye hekalu lao pale kigamboni, mji mwema.
Lakini heshima kwake japo vidonda hupunguza kassi ya mpira uwanjani, maana goli moja ni saawa na kilometa 7
 
kwanza samatta alicheza vizuri sana na aliwaongoza wenzie vizuri mno,alikosa magoli 2 ya wazi kabisa kwa kukosa uzoefu wa kucheza uefa,lile goli wakati anaruka alimsukuma defender wa liverpool,haikuwa goli ila kijana kacheza vizuri mni na ni wazi atasajiliwa uingereza haraka sana
 
Sema angewagonga nyie siyo kutujumuisha na sisi wa kuwagongeni, mara nyingine uandike ukijua tunasoma na wanaume post yako.
SAwa boss, angewagonga wake zenu na watoto wenu to say so
 
Ni kweli linafahamika na yule mwanamke alikuwa anamchapa kipindi yupo TP MAZEMBE.

na anakaa kwenye hekalu lao pale kigamboni, mji mwema.
Lakini heshima kwake japo vidonda hupunguza kassi ya mpira uwanjani, maana goli moja ni saawa na kilometa 7

Wewe unaonekanwa udaku wa nchi nzima unao
 
Back
Top Bottom