Sammatta apata timu Ulaya

Sammatta apata timu Ulaya

kuna Genk mbili ambazo zinatofautishwa na herufi zinazofuata baada ya Genk,sikumbuki vema ila hiyo ya samatta aliwahi pia kucheza hazard wa chelsea

Ubelgiji Kuna Gent na Genk.
Anayoenda Samatta ipo nafasi ya tano katika ligi so sio timu ya Vilaza ni timu nzuri ambayo inaweza kumuuza zaidi.
 
Samattaapata timu Ulaya (dimba)
Mshambuliaji wa kimataifa waTanzaniaanayekipiga katika klabu yaTP Mazembeya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Mbwana Samattaamethibitisha kupata timu ya kwenda kucheza soka Ulaya na kuwa mipango yake inaenda vizuri?

Siwezi kusema mengi, kilichopo ni kuwa mipango inaendelea na kwa jinsi mambo yanavyokwenda sina wasiwasi wa kwenda Ulaya kusaka ulaji mpya, kilichobaki ni kuomba uhai?.

Kila lakheri samatta mwakilishi wetu
 
Back
Top Bottom