Samofi: Mkojani ana matendo ya kishirikina, nimejitoa Mkojani Gang

Uchawi hupo Sana pwani, sema kusamehana tu, siku hizi kusoma albadili pia tunaoneana huruma,zamani watu walisoma sana tu.
 
Chumvi nyingi aendelee kivyake alijitahid kwenye fund umeme
 
WALE WAVUNJA MAKUNDI NA WASIOPENDA MUUNGANO WA WASANII WAMEFIKA NA UBAYA WAMEFANIKIWA.
 
Niliumia sana yule usefulyidiot kujitoa kwa crazy kennar , jamaa walikuwa na combination bomba sana , hii issue ya maslah ndo huwa tatizo , kipindi fulan Joti , Sopa , Kipande na Madame walitengeneza combination makini na ilimpaisha sana Joti , Badae wakavurugana tena na nafkri issue ni maslahi , sjui kwa nn huwa wanashindwa kuwekana sawa kulingana na kinachoingia, turudi kwenye kisa chako inaonekana we hukuwa mtu wa kujichanganya sana , sku zote mtu mkimya akiongea kitu huwa kinachukua attention sana , na watu hukichukulia serious
 

Watu huwa wanataka kupata ile hela
Peke yao wanaanza kujigawa kumbe group ndo lilikua linawatoa baadae wanakuja kupotea
 
Na hapo huja zaliwa Zenji.
 
Huyo sio mpemba kabisa alishawahi kufanyiwa interview ni mtu wa Dodoma
Hivi jina lake la ukoo si nzunda huyu au nimechanganya madesa[emoji848]
 
Wakijitoa tunaleta wengine. Naye si aloge mganga wa mkojanj? Aoni diamond anaroga watu wanaingia wakishindwa wanatoka
 
Isije ikawa hii taarifa bado wanaigiza tu
 
ulisoma mti safi? (umbwe secondary school)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…