Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hujakutana na Watabe.. kuna mtu alitangaza kama wewe kesho yake wakabeba na Tranka(Sanduku) lote.
Hapo sijamtuhumu wala sijaconclude nilikuwa kama nauliza hivi ina maana yale anayoigiza ndio anayatenda kweli?Sema tu sikuweka alama ya kiulizo ndio maana imekuchanganyaHoja yako ni ipi? Unajipinga.
Hivi albadili ndio komesha ya wachawi?Uchawi hupo Sana pwani, sema kusamehana tu, siku hizi kusoma albadili pia tunaoneana huruma,zamani watu walisoma sana tu.
Niliumia sana yule usefulyidiot kujitoa kwa crazy kennar , jamaa walikuwa na combination bomba sana , hii issue ya maslah ndo huwa tatizo , kipindi fulan Joti , Sopa , Kipande na Madame walitengeneza combination makini na ilimpaisha sana Joti , Badae wakavurugana tena na nafkri issue ni maslahi , sjui kwa nn huwa wanashindwa kuwekana sawa kulingana na kinachoingia, turudi kwenye kisa chako inaonekana we hukuwa mtu wa kujichanganya sana , sku zote mtu mkimya akiongea kitu huwa kinachukua attention sana , na watu hukichukulia seriousBongo movie bila ya maudhui ya ushirikina hamna kitu cha Ubunifu.
Ndo maana Mussa banzi akishika soko kitambo kwa movies zake na watu walipenda sana.
Kujitoa ni kawaida kwanza kakosea kundi kuliita jina lake halisi eti "mkojani gang" ni makosa huyo jamaa ni mkubwa kwa kuigiza kama huyo mkojani so wasingeweza kabisa kukaa sehemu moja .
Kama unabisha fuatilia like kundi la "Tales of the crazy kennar" yule jamaa anajiitaa usefulyidioty alijitoa kwa sababu kwanza jina linaakisi mkubwa ni crazy kennar ,kingine ni ishu ya maslahi hamna cha uchawi wala nn wengi ni waoga.
Nilipokuwa advance niliibiwa paketi ya boxer zilikuwa tatu nilikuwa ndo nimetoka kununua basi ..wananijua mi fika ni mtu wa Pwani basi siku pale shule palikuwa na uwizi wa hatar ,mi nikajua hapa nishapigwa kabisa na sitopata maana ...Jioni tunakuwa na mda wa matangazo tukichukua chakula ile saa 12 nikaomba niongee kitu kwamba nimeibiwa ila natangaza siku 3 kitakachotokea tusipeane lawama.
Na ilikuwa likizo inakaribia kama wiki tusepe ..Dah siku ya tatu nimezikuta juu ya sanduku langu😂😂na zilikuwa zishafunguliwa yaani watu wa bara mnatuogopa sana ....Na huo uchawi ni nadharia wala haupo kabisa.
Nimesoma pale sijawahi kuibiwa mpaka namaliza form six ila nilikuwa nawapanga sana kwa story za uongo za uchawi 😂😂ikawa wananiogopa sana maana sio nipo serious nikitoka dormitory nipo msikitini au darasani yaani sina time kabisa
Wivu 🤣Ila watanzania tuna mioyo mipana sana, kwamba mkojani ana fans
Niliumia sana yule usefulyidiot kujitoa kwa crazy kennar , jamaa walikuwa na combination bomba sana , hii issue ya maslah ndo huwa tatizo , kipindi fulan Joti , Sopa , Kipande na Madame walitengeneza combination makini na ilimpaisha sana Joti , Badae wakavurugana tena na nafkri issue ni maslahi , sjui kwa nn huwa wanashindwa kuwekana sawa kulingana na kinachoingia, turudi kwenye kisa chako inaonekana we hukuwa mtu wa kujichanganya sana , sku zote mtu mkimya akiongea kitu huwa kinachukua attention sana , na watu hukichukulia serious
-( Uchawi, uwanga, ulozi, )
Sawa nimekupata-( Uchawi, uwanga, ulozi, )
- (Albadili, novena.)
Albadili Kama mtu kaibiwa au umefanyiwa dhuluma, sanasana mtu aliyeibiwa watu wamesonewa Sana zamani msikiti mkubwa Moro, siku hizi tunasamehe tu.
Na hapo huja zaliwa Zenji.Bongo movie bila ya maudhui ya ushirikina hamna kitu cha Ubunifu.
Ndo maana Mussa banzi akishika soko kitambo kwa movies zake na watu walipenda sana.
Kujitoa ni kawaida kwanza kakosea kundi kuliita jina lake halisi eti "mkojani gang" ni makosa huyo jamaa ni mkubwa kwa kuigiza kama huyo mkojani so wasingeweza kabisa kukaa sehemu moja .
Kama unabisha fuatilia like kundi la "Tales of the crazy kennar" yule jamaa anajiitaa usefulyidioty alijitoa kwa sababu kwanza jina linaakisi mkubwa ni crazy kennar ,kingine ni ishu ya maslahi hamna cha uchawi wala nn wengi ni waoga.
Nilipokuwa advance niliibiwa paketi ya boxer zilikuwa tatu nilikuwa ndo nimetoka kununua basi ..wananijua mi fika ni mtu wa Pwani basi siku pale shule palikuwa na uwizi wa hatar ,mi nikajua hapa nishapigwa kabisa na sitopata maana ...Jioni tunakuwa na mda wa matangazo tukichukua chakula ile saa 12 nikaomba niongee kitu kwamba nimeibiwa ila natangaza siku 3 kitakachotokea tusipeane lawama.
Na ilikuwa likizo inakaribia kama wiki tusepe ..Dah siku ya tatu nimezikuta juu ya sanduku langu[emoji23][emoji23]na zilikuwa zishafunguliwa yaani watu wa bara mnatuogopa sana ....Na huo uchawi ni nadharia wala haupo kabisa.
Nimesoma pale sijawahi kuibiwa mpaka namaliza form six ila nilikuwa nawapanga sana kwa story za uongo za uchawi [emoji23][emoji23]ikawa wananiogopa sana maana sio nipo serious nikitoka dormitory nipo msikitini au darasani yaani sina time kabisa
Hivi jina lake la ukoo si nzunda huyu au nimechanganya madesa[emoji848]Huyo sio mpemba kabisa alishawahi kufanyiwa interview ni mtu wa Dodoma
Wakati kukiwa na Sintofahamu kuhusu hatima ya series ya vichekesho ya Umbambamba inayoandaliwa na kundi la Mkojani Gani, mmoja mwa waigizaji wakuu wa tamthilia ya Umbambamba aitwaye Samofi ametangaza kujitoa kwenye kundi hilo.
Akizungumza na kipindi cha Refresh cha Wasafi TV, Samofi ametaja sababu ya kujitoa kuwa ni kutokana na maslahi huku sababu nyingine ikiwa ni Mkojani ambaye ni kiongozi wa kundi hilo kujihusisha na tabia za kishirikina.
Hii inakuja ikiwa ni siku chache toka waigizaji wengine mambwende na chumvi nyingi kujitoa kwenye kundi hilo pia.
Source: Wasafi media
Wakati kukiwa na Sintofahamu kuhusu hatima ya series ya vichekesho ya Umbambamba inayoandaliwa na kundi la Mkojani Gani, mmoja mwa waigizaji wakuu wa tamthilia ya Umbambamba aitwaye Samofi ametangaza kujitoa kwenye kundi hilo.
Akizungumza na kipindi cha Refresh cha Wasafi TV, Samofi ametaja sababu ya kujitoa kuwa ni kutokana na maslahi huku sababu nyingine ikiwa ni Mkojani ambaye ni kiongozi wa kundi hilo kujihusisha na tabia za kishirikina.
Hii inakuja ikiwa ni siku chache toka waigizaji wengine mambwende na chumvi nyingi kujitoa kwenye kundi hilo pia.
Source: Wasafi media
ulisoma mti safi? (umbwe secondary school)Bongo movie bila ya maudhui ya ushirikina hamna kitu cha Ubunifu.
Ndo maana Mussa banzi akishika soko kitambo kwa movies zake na watu walipenda sana.
Kujitoa ni kawaida kwanza kakosea kundi kuliita jina lake halisi eti "mkojani gang" ni makosa huyo jamaa ni mkubwa kwa kuigiza kama huyo mkojani so wasingeweza kabisa kukaa sehemu moja .
Kama unabisha fuatilia like kundi la "Tales of the crazy kennar" yule jamaa anajiitaa usefulyidioty alijitoa kwa sababu kwanza jina linaakisi mkubwa ni crazy kennar ,kingine ni ishu ya maslahi hamna cha uchawi wala nn wengi ni waoga.
Nilipokuwa advance niliibiwa paketi ya boxer zilikuwa tatu nilikuwa ndo nimetoka kununua basi ..wananijua mi fika ni mtu wa Pwani basi siku pale shule palikuwa na uwizi wa hatar ,mi nikajua hapa nishapigwa kabisa na sitopata maana ...Jioni tunakuwa na mda wa matangazo tukichukua chakula ile saa 12 nikaomba niongee kitu kwamba nimeibiwa ila natangaza siku 3 kitakachotokea tusipeane lawama.
Na ilikuwa likizo inakaribia kama wiki tusepe ..Dah siku ya tatu nimezikuta juu ya sanduku langu[emoji23][emoji23]na zilikuwa zishafunguliwa yaani watu wa bara mnatuogopa sana ....Na huo uchawi ni nadharia wala haupo kabisa.
Nimesoma pale sijawahi kuibiwa mpaka namaliza form six ila nilikuwa nawapanga sana kwa story za uongo za uchawi [emoji23][emoji23]ikawa wananiogopa sana maana sio nipo serious nikitoka dormitory nipo msikitini au darasani yaani sina time kabisa
ulisoma mti safi? (umbwe secondary school)